kuelekea 2025

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Waufukweni

    PreGE2025 CCM Dodoma: Kauli ya Rais Samia dhidi ya Wanaharakati ilikuwa sahihi na ilipaswa kuwa Kali zaidi

    Katibu Mwenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Dodoma, Jawadu Mohamed, amesema matamshi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, dhidi ya wanaharakati yalikuwa sahihi kwa kuwa, kama kiongozi, ni jukumu lake kuhakikisha tunu za taifa zinalindwa. Jawadu ameyasema...
  2. Waufukweni

    PreGE2025 Umoja wa Machinga Dar kufanya Kongamano kubwa kumpongeza Rais Samia Mei 24

    Wakuu! Hawa Chawa wa Rais Samia wanajitahidi sana kufosi mambo ili ionekane Rais anapendwa 🤯 == Generation Samia kwa kushirikiana na Umoja wa Machinga Dar es Salaam wameandaa Kongamano kubwa sana kwa ajili ya kumpongeza Rais Samia Suluhu Hassan kwa mambo makubwa na mazuri anayowafanyia...
  3. Mshana Jr

    PreGE2025 ACT- WAZALENDO lieni kimyakimya msipige kelele

    Kazi mliyotumwa ya kuifubaza CUF mliifanya kwa weledi mkubwa sana kiasi kwamba kwasasa CUF si lolote si chochote mbele ya siasa za Tanganyika nachelea kusema na visiwani pia..! Vema msijisahau kwamba ile ilikuwa ni kandarasi na mlilipwa.. Ilikuwa ni biashara japo ya kificho kwakuwa haikuwa na...
  4. BLACK MOVEMENT

    Natabiri baada ya Uchaguzi, wana ACT wengi na hao CHAUMA(CCM C) wata isapoti CHADEMA na kuona ilikuwa sahihi kugomea huu usanii

    Ukiniambia ni jimbo gani kwa sasa upinzani wanaweza shinda kwa hii tume silioni huwa najaribu sana kutafuta majimbo ya wapinzani kuweza kushinda kwa hii tume siyaoni kabisa labda nyie mnisaidie. Kwa hii tume sijui ni jimbo la CCM kupoteza halipo sioni. Kumbuka kwa yale majimbo ambayo wabunge...
  5. Stephano Mgendanyi

    PreGE2025 Mbunge Dkt. Florence Samizi ashauri viwanda vya mbolea vipatiwe Ruzuku

    Mbunge wa Jimbo la Muhambwe lililopo mkoani Kigoma Dkt. Florence Samizi ameishauri Serikali kuvipatia fedha za ruzuku kwa wakati viwanda vya mbolea ili mbolea ifike kwa wakulima ikiwa tayari ina ruzuku, hali itakayovisaidia viwanda hivyo kujijengea uwezo wa kujiendesha na kuzalisha zaidi ajira...
  6. upupu255

    PreGE2025 Mavunde agawa Matofali 41,000 na Saruji mifuko 2,050 kwa Kata zote za Dodoma Mjini kwa Miradi ya maendeleo

    Waziri wa Madini ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Dodoma Mjini, Anthony Mavunde, amegawa matofali 41,000 na mifuko ya saruji tani 102 (sawa na mifuko 2,050) kwa kata zote 41 za jimbo hilo kwa ajili ya utekelezaji wa miradi ya maendeleo kupitia Mfuko wa Jimbo. Akizungumza wakati wa zoezi hilo...
  7. Waufukweni

    PreGE2025 Ubalozi wa Uganda nchini Tanzania umeomba kujua sababu za kukamatwa na kushikiliwa kwa raia wake, Agather Atuhaire

    Ubalozi wa Juu wa Uganda nchini Tanzania umeomba taarifa rasmi kuhusu kukamatwa na kushikiliwa kwa raia wake, Bi. Agather Atuhaire, katika Kituo Kikuu cha Polisi jijini Dar es Salaam. Kwa mujibu wa taarifa kutoka Ubalozi huo, Bi. Atuhaire alikuja nchini Tanzania kwa shughuli mbalimbali ambazo...
  8. Waufukweni

    PreGE2025 Aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu CHADEMA Zanzibar apokelewa tena CHADEMA, wakanusha madai ya waliohama Chama

    Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Zanzibar kimekanusha madai yaliyotolewa na baadhi ya waliokuwa wanachama na viongozi wa chama hicho, ambao hivi karibuni walitangaza kujiondoa, wakidai kuwa chama hicho kimepoteza mwelekeo na kinakosa stahiki za uendeshaji wa kimamlaka kwa upande wa...
  9. W

    PreGE2025 Nape asema hakuna haja ya kubadilisha viongozi kama mashati kwani Rais Samia kazi kaiweza na dunia inamsifu

    Mbunge wa Jimbo la Mtama, Nape Moses Nnauye, amewataka wananchi wa jimbo hilo kuelekeza kura zao zote kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, katika Uchaguzi Mkuu ujao mwezi Oktoba, akisisitiza kuwa Rais Samia amedhihirisha uwezo mkubwa wa kiuongozi katika...
  10. Erythrocyte

    PreGE2025 Kamati Kuu ya Chadema Kukutana Jijini D'Salaam kujadili Ajenda Tatu zitakazofuatiwa na Hotuba kwa Taifa

    Taarifa ya Chama hicho iliyosambazwa kote Duniani hii hapa
  11. Waufukweni

    PreGE2025 PICHA: Halima Mdee ashindwa kuchagua upande, aonyesha alama ya CHADEMA na CHAUMMA kwa pamoja Bungeni

    Mbunge wa Viti Maalumu, Halima Mdee akionyesha alama zinazotumiwa na vyama vya vya Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma) na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) alipokuwa ndani ya ukumbi alipohuduria kikao cha 30 cha mkutano wa 19 wa Bunge la Bajeti, jijini Dodoma leo Mei 22, 2025. Kulia...
  12. Cute Wife

    PreGE2025 Jambo TV kuweka tangazo la kuzuia content zao kutumika bila kupewa ruhusa na mmiliki; kuna kibunda kimetembea mpaka wanavimba kichwa?

    Wakuu, Kwakwlei sijawahi kuona hili likifanyika hasa ukizingatia ni chombo cha habari! Maana lengo la chombo cha habari ni kuhabarisha umma na kutaka taarifa zisambae kadri inavyowezekana. Hapo inakuwa inaongeza visibility ya chombo, na kadri watu wanavyoshea content yako mfano kwa youtube...
  13. W

    PreGE2025 Kigaila: Mkutano wa CHAUMMA umechangiwa na wadau

    Naibu katibu mkuu wa CHAUMMA Benson Kigaila amefafanua wanaohoji kuhusu ukubwa wa mkutano wa kuwakaribisha wanachama wapya wa CHAUMMA ambao umefanyika kwa ukubwa na wadau wengi wamepata wasiwasi chama hicho kimepata wapi fedha hizo. Kigaila anasema wadau waliokuwa wamewaamini wakiwa CHADEMA ndio...
  14. Stephano Mgendanyi

    PreGE2025 Mbunge Martha Mariki akabidhi taarifa ya Utekelezaji Mkoa wa Katavi 2020 - 2025

    Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Katavi, Mhe. Martha Festo Mariki tarehe 21 Mei, 2025 amekabidhi rasmi Taarifa ya Utekelezaji wa Majukumu ya Mbunge kwa kipindi cha miaka mitano, 2020-2025 kwenye Baraza la UWT Mkoa wa Katavi. Akizungumza wakati akiwasilisha Taarifa yake katika Baraza hilo, Martha...
  15. W

    PreGE2025 CCM Arusha yapinga madai ya kuifadhili CHAUMMA, Yasema kama ni kuiua CHADEMA ingewekeza nguvu kwa Zitto Kabwe

    Chama Cha Mapinduzi (CCM) kupitia Katibu Mwenezi wake wa Mkoa wa Arusha, Saipulani Ramsey, kimepinga vikali madai yanayoenezwa mitandaoni kuwa kinakiwezesha Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA), hususan kiuchumi. Baadhi ya watumiaji wa mitandao wamehoji chanzo cha fedha za CHAUMMA na kasi ya...
  16. Cute Wife

    PreGE2025 Maagizo aliyotoa Rais Samia kwa vyombo vya dola kuhusu wanaharakati ni 'Call to Action', je, tutegemee wasiojulikana kuongezeka?

    Wakuu, Majuzi Rais Samia alivyochamba 'wanaharakati' waliokuja kwaajili ya uangalizi wa kesi ya Lissu, aliviambia vyombo vya dola vichangamke katika kutoa majibu pale madai yanapozuka lakini pia aliwaambia vyombo hivyo viwadhibiti hawa watovu wa nidhamu, waishia kutovuka huko walipotokea na si...
  17. Waufukweni

    PreGE2025 Waliosafirishwa kujaza Mkutano wa CHAUMMA walalamika kutopewa malipo waliyoahidiwa

    Wakuu! Inadaiwa CHAUMMA wamengia mitini na kushindwa kulipa watu waliowasafisha kwenda kwenye Mkutano Mkuu uliofanyika jana Mei 21 jijini Dar es Salaam, walalamikaji wanasema waliapewa ahadi ya pesa lakini hawakupewa pesa zao, walalamikaji wanasema fedha zao zimeliwa na waliosimamia mgao.
  18. Waufukweni

    PreGE2025 Rais wa Yanga, Injinia Hersi Said aboresha taarifa zake za Mpiga Kura Kigamboni

    Rais wa Klabu ya Yanga, Injinia Hersi Said, ameungana na Watanzania wengine katika zoezi la kuboresha taarifa za Mpiga Kura kwa mwaka 2025, ambapo leo ameboresha taarifa zake katika shule ya Amani Gomvu, iliyopo Mtaa wa Minondo, Kata ya Somangila, wilayani Kigamboni. Kupitia ukurasa wake wa...
  19. Waufukweni

    PreGE2025 CPA Makalla: Hakuna mwenye ubavuwa wa kuzuia Uchaguzi Mkuu 2025, awataja Lissu na Heche

    Katibu wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama cha Mapinduzi (CCM) CPA. Amos Makalla amesema hakuna Chama au Kikundi Chochote Chenye Uwezo wa Kuzuia Kufanyika kwa Uchaguzi Mkuu wa Mwezi Oktoba Mwaka huu. Makalla ametoa Kauli hiyo mei 21, 2025 akizungumza na Wananchi Jijini Mwanza kupitia...
  20. Ojuolegbha

    PreGE2025 Balozi Nchimbi aboresha taarifa zake kwenye Daftari la kudumu la Wapga Kua

    BALOZI NCHIMBI ABORESHA TAARIFA ZAKE DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi, akiwa kwenye kituo cha uandikishaji wapiga kura kilichopo katika Ofisi ya Mtendaji wa Kata ya Kilimani, Mtaa wa Kilimani, jijini Dodoma, kwa ajili...
Back
Top Bottom