kuelekea 2025

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Waufukweni

    PreGE2025 Jerry Muro anena kwa lugha katikati ya press akimchana Askofu Gwajima, asema angetumia Uaskofu wake kumwombea Rais

    Jerry Muro anena kwa lugha katikati ya press akimchana Askofu Gwajima, asema angetumia Uaskofu wake kumwombea Rais
  2. R

    PreGE2025 Jerry Muro unatafuta uteuzi?

    Ulipotea kwenye ulingo wa siasa, now you want to maka use of this "opportunity" to impress Samia na hivyo akukumbuke. Jaribu unaweza kupata bahati! Pia soma: Pre GE2025 - Askofu Gwajima: Wakuu wa Vyombo vya Usalama wasiondolewe kwenye nafasi zao kwa mapenzi ya mwanasiasa aliyewaweka
  3. McLaren

    PreGE2025 Jerry Muro: Hata Dr Slaa alishawahi kusema kuna vyama vya siasa vinateka watu ili kuichafua Serikali. Tujiulize nini kilimuua Chacha Wangwe!

    Wakuu, Jerry Muro kwenye press amesema kuwa Gwajima anatakiwa arudi kwa Dkt Slaa amuulize yaliyomo kwenye kitabu chake cha nyuma ya pazia. Muro amesema kuwa hata Dkt Slaa alishawahi sema kuwa kuna baadhi ya vyama vya siasa vinateka watu ili kuichafua serikali ambapo katika press yake amemtaja...
  4. W

    Sasa hivi Ruto anajisemea angalau Jirani amejua aina ya watu ninaodeal nao, huku hakuna wafu kuna vichaa walioelimika

    Nipo mjini huko youtube, wanaharakati wachache waliokamatwa huku kwetu wamezua balaa na umoja wa ajabu kukemea tukio hilo, huwa tunasega IME - BACKFIRE. Kweli ile nchi kuiongoza ni ngumu, Kuna watu walioelimika na wana ukichaa flani hivi linapokuja suala la kutetea haki zao. Ni juzi tu hapo...
  5. G Sam

    PreGE2025 Hasheem Rungwe asema sasa analindwa, kila kitu kimebadilika na usafiri mpya amepewa. Asema mshenga alikuwa John Mrema

    Mzee wa Ubwabwa mzee Rungwe kasema mambo wazi kwenye hii video. Friji limeanza kuyeyusha. Anasema pia aliyekuwa mshenga wa uhamisho ni John Mrema. Kitu nampemdea huyu mzee huwa hafichi.
  6. P

    PreGE2025 Jerry Muro aitisha press kumjibu Gwajima kuhusu utekaji

    Kwahiyo hapa huyu Jerry anamjibu Gwajima kama nani wakati wakuu wake wameufyata? Wao si ndio walikuwa waje kujibu na kutoa ufafanuzi kama wanachukua ushauri wake ama lah? Ndio anatafuta teuzi kwa nguvu? https://www.youtube.com/live/yxNmWDyh7IY?si=5XhLpYUAZTHZeV6I "Luhaga Mpina akinyimwa...
  7. figganigga

    Tuungane kama Nchi kuangamiza kikundi kinachoteka na kuua Watanzania. Nahisi ni Magaidi

    Rais Samia yupo Madarakani Miaka Mitano hata akishinda, atatoka madarakani. Hiki kikundi kilichoundwa kwenye Uongozi wake, tuungane kama Nchi kukiangamiza. Uongozi wa Samia utaisha ukiacha Wajane na Mayatia wengi waliopatikana katika harakati za kuhakikisha anakaa Madaraka bila kubugudhiwa...
  8. I

    Gwajima na Heche mmechelewa, Watanzania ndio waamuzi kwa sasa

    Katika kipindi hiki si jambo la kushangaza kuona wanasiasa wakijaribu kujipatia umaarufu kupitia propaganda, hofu na siasa za mihemko. Kauli za John Heche na Josephat Gwajima zinaangukia hapa. Gwajima ambaye kipindi chake cha ubunge kinamalizika ameanza kutafuta umaarufu mwepesi baada ya...
  9. Waufukweni

    PreGE2025 Mbunge CCM ataka Udhibiti mkali wa Mitandao: Tumevumilia, lakini tumechoka

    Mbunge wa Viti Maalum (CCM) Mkoa wa Magharibi, Tauhida Cassian Galoss, amehoji udhibiti wa matumizi mabaya ya mitandao nchini, akieleza kuwa hali hiyo inaweza kuathiri amani na usalama wa taifa. Akichangia makadirio ya mapato na matumizi ya Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi kwa mwaka wa fedha...
  10. K

    Dear Gwajima, soma Danieli 5:25. Mene, mene, tekeli, na peresi. Ubunge wako huwezi kuulinda kwa kuzitisha mamlaka

    Mama, Amiri Jeshi Mkuu, Mheshimiwa Rais na Mwenyekiti wangu wa chama Dk Samia Suluhu Hassan. Kawe kuna Mbunge anaitwa Gwajima. Anajiita Askofu na ana kanisa lake. Huwa anajinadi kuponya vilema na kufufua wafu japo hataki kwenda Muhimbili kuponya walemavu wala makaburini kufufua. Mwigizaji pia...
  11. W

    PreGE2025 Mbunge Msambatavangu: Mtu mkorogo umedunda, sijui alisahau kupaka poda anataka kuja kutuchonganisha

    Wakuu leo bungeni kumewaka naona wanatumia muda wote 'kuwachamba' Wakenya === Mbunge wa Iringa Mjini, Jesca Msambatavangu wakati akichangia kwenye bajeti ya wizara ya mambo ya ndani amegusia suala la Martha Karua kuja nchini na kile kilichotokea. "Mama mtu mzima aliyesoma sheria anaondoka...
  12. Waufukweni

    PreGE2025 Musukuma: Wanaharakati wa Kenya na Uganda mliwarudisha wa nini? Wangepelekwa kulima mashambani

    Mbunge wa Geita Vijijini Joseph Musukuma ameshangaa Mamlaka ya Uhamiaji kuwarudisha Wanaharakati wa Kenya na Uganga nchini kwao, amedai wangepelekwa kulima masmbani. Musukuma amesema vyombo vya ulinzi na usalama vinapaswa kuwashughulikia wanaharakati wa Kenya wanaokuja nchini kufanya majaribio...
  13. Lancashire

    PreGE2025 Rais Samia diplomasia uliyojigamba Kuifungua nchini Tanzania inakwenda kuzama Rasmi kuanzia Leo

    Nimetazama kwa ufupi sana majadiliano ya wabunge katika Bajeti ya wizara ya mambo ya ndani. Kiukweli sijui kama hawa wabunge wanatambua wanachokifanya. Ni mashambulizi dhidi ya serikali ya Kenya, viongozi wa Kenya , Wananchi wa Kenya huku baadhi ya wabunge kama msukuma akijigamba kwamba Tanzania...
  14. Stephano Mgendanyi

    Mbunge wa Viti Maalum Janejelly Ntate apewa tuzo na Chama cha Wafanyakazi wa Serikali na Afya Tanzania

    Mbunge wa Viti Maalumu, Mwakilishi wa Wafanyakazi, Mhe. Janejelly Ntate amewashukuru wanachama wa Chama cha Wafanyakazi wa Serikali na Afya Tanzania (TUGHE) mkoa wa Dar kwa niaba ya TUGHE - Taifa, kwa kumpa tuzo ya ufanisi na kusema kuwa tuzo hiyo si yake bali ni ya Rais wa Jamhuri ya Muungano...
  15. Waufukweni

    PreGE2025 Mbunge ataka muswada kuzuia ng'ombe kupigwa, lakini vipi kuhusu muswada wa watu kutekwa na kupotea?

    Mbunge Shally Josepha Raymond akichangia Bajeti ya Wizara ya Kilimo amehoji ni lini utapelekwa muswada Bungeni kwa kuzia Wafugaji kuwapiga viboko Ng'ombe na kusababisha Nyama kupoteza ladha. "Leo mlipokuwa mnaonyesha makamera hapa nimeona Ng'ombe wanapigwa mpaka moyo wangu unauma, ni lini...
  16. McLaren

    SI KWELI PreGE2025 Heche: Tunasitisha kampeni za No Reforms No Election kwa muda

  17. S

    PreGE2025 Alichokosea Mchungaji Gwajima ni kuilenga Kamati ya Uteuzi ya Rais kwa Vyombo vya Ulinzi

    Kwa kweli ameshindwa kuwasilisha au kuwakilisha alichokikusudia na badala yake anaelekeza kwenye kamati ya Raisi inayojihusisha na uteuzi ,ambapo hapa Gwajima amepaona ndiopo penye ukakasi wa wakuu wa ulinzi kwa ujumla wao kusitishwa kuendelea na uchunguzi utekelezaji au ufuatiliaji endapo kuna...
  18. Mkalukungone Mwamba

    PreGE2025 Nasra: Dar es salaam sio lango la wanaharakati uchwara

    Mwenyekiti wa UVCCM mkoa wa Dar es Salaam, Ndg. Nasra Mohammed amekemea baadhi ya Wanaharakati uchwara kutoka nchi za jirani kuingia jijini humo kuingilia masuala ya nchi ya Tanzania. Kauli hiyo imekuja baada ya hivi karibuni kuwepo baadhi ya wanaharakati ambao waliwasili jijini Dar es Salaam...
  19. M

    PreGE2025 Mwaka huu Tanzania inahitaji Rais kama Ibrahim Traore

    Hatuwezi kuendelea tena kudanganywa na kupumbazwa na watawala waliovimbiwa utajiri wa Nchi hii. Mwaka huu tunahitaji Rais kama alivyo Ibrahim Traore. Inakuwaje kijana mdogo tu Ibrahim Traore ndani ya muda mfupi amefanya Maendeleo makubwa kabisa katika Nchi yake lakini sisi watu wazima bado...
  20. Mkalukungone Mwamba

    PreGE2025 Dkt. Biteko: Milango ya Rais Samia iko wazi, anataka Tanzania moja ya watu wanaopendana na kushirikiana

    "Niwahakikishie kuwa milango ya Mhe. Rais Samia iko wazi, anataka Tanzania moja ya watu wanaopendana na kushirikiana ili kuifikisha nchi mbele kimaendeleo,” amesema Dkt. Biteko Ametaja jitihada za Rais Samia kwaajili ya kuleta amani, umoja na ushirikiano nchini kuwa ni pamoja na mikutano yake...
Back
Top Bottom