kuelekea 2025

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. M

    PreGE2025 Serikali ya Samia yazidi kuanikwa dunia nzima-Maria Sarungi atoa presentation kali kuieleza dunia yanayojiri Tanzania

    Aisee mambo yanazidi kubamba, Kitanzi kinazidi kukaza, na hali imekuwa si hali tena, kiufupi hamkani si shwari tena. Huku wajinga wakiamini kuwa kwa kuteka na kupoteza watu sauti ya kudai haki na mabadiliko ya msingi itanyamazishwa, lakini ukweli na haki siku zote huwa havipendwi...
  2. Mkalukungone Mwamba

    PreGE2025 Video: Hii sasa tuseme ni uchawa wa CCM au ni ushamba wa watu wao

    Wakuu kuna mambo yanafurahisha sana kama ni uchawa basi tumefika pambaya sana Kuna baadhi ya Mambo hata CCM yenyewe inatushangaa maana imetupa nafasi alafu tunachofanya no TOFAUTI na ilichotutuma
  3. DR HAYA LAND

    PreGE2025 Kosa la CCM ni kukubali kupeleka bidhaa mbili sokoni ambazo haziuziki kwa haraka hii itawasumbua sana watu wa sales and marketing wamekosea

    Katika Biashara huwa kuna Aina mbili za bidhaa kwa upande wa mauzo na masoko. Kuna bidhaa zinazotoka sana au huitwa Fast Moving products Pia huwa kuna bidhaa zinazotoka taratibu Sana huitwa Slow moving products. Hivyo ukiwa Kama mfanya-biashara ukiwa unamiliki bidhaa ambayo haitoki kwa...
  4. Stephano Mgendanyi

    Mbunge: Condester: Ametaka kujua mpango wa dharura wa Serikali wa kudhibiti utoroshaji wa bidhaa nje ya nchi kwa njia za magendo

    Naibu Waziri wa Fedha, Mhe. Hamad Hassan Chande (Mb) ametoa agizo kwa Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kuhakikisha anaimarisha doria kwenye mipaka hususani maeneo yanayotumika kupitisha bidhaa kwa njia ya magendo Wilayani Momba mkoani Songwe kwa kushirikiana na wadau wengine...
  5. Stephano Mgendanyi

    PreGE2025 Mitaa 58 Halmashauri ya Mji wa Tarime Imefikiwa na Umeme

    Naibu Waziri wa Nishati, Mhe Judith Kapinga amesema Serikali imefikisha umeme kwenye mitaa 58 ya Mji wa Halmashauri ya Wilaya ya Tarime kati ya mitaa 81 ya Halmashauri hiyo. Mhe. Kapinga ameyasema hayo Mei 26, 2025 bungeni jijini Dodoma wakati akijibu swali la la Mbunge wa Tarime Mjini, Mhe...
  6. GoldDhahabu

    PreGE2025 Kwa hili, Bishop Gwajima kathibitisha yeye ni akili kubwa

    Kama angeyaeleza hayo bungeni, asingefanikiwa. Lazima angefanyiwa mizengwe na wabunge wenzake kwa kumpiga taarifa, n.k. Kama angesema akayaibue chamani, ukinzani ambao angekutana nao humo ungekuwa mkubwa zaidi kuliko wa bungeni. Gwajima alilizungumzia suala la utekaji kwa namna ambavyo hata...
  7. Magufuli 05

    PreGE2025 Nileteeni Gwajima, nileteeni Gwajima!

    Hongera Gwajima. Acha wajinga wakushambulie lakini watanzania wenye akili tumekuelewa Gwajima ameagana na nyonga kabla ya kukimbia. Haikuwa rahisi kujitokeza hadharani kwa desturi ya nchi yetu kwa mbunge tena wa chama tawala kuzungumza jambo linalogusa maisha ya watanzania kwa kiasi kile. Na...
  8. chiembe

    PreGE2025 Jerry Murro: Gwajima njoo jimbo la Kawe ueleze wananchi boti za uvuvi ulizoahidi Kawe ziko wapi, amtaka aachane na kuandaa michezo ya rede jimboni

    Wapiga kura wameanza kuitisha majalada yao. Gwajima aliahidi kuwapeleka Birmingham wakazi wote wa Kawe ambao kwa idadi ni malaki. Mpaka leo hajawapa hata passport. Akaahidi boti za uvuvi kwa kila mtu, bahari iko palee, haina hata boti moja. Aliahidi kuwapeleka vijana Japan, mpaka leo hakuna...
  9. Carlos The Jackal

    Tarimba kawatusi Watanzania ,Wazazi wote na hata Rais mwenyewe. Uchungu wa Samia Kwa Abdul, ndio Uchungu wa Wazazi walotekewa watoto wao!

    Kwamba, Kwa Mfano Abdul akitobolewa macho , Ni uchungu sana Kwa Mzazi. Ila Mdude kavunjiwa Nyumba, kabebwa, kapigwa ,Damu zimetapakaa nyumba nzima, Mzee Kibao kauwawa, Hawa wote sio kitu Kwa WAZAZI NA FAMILIA ZAO?. CCM Kuna wakati muwe mnawaita Wabunge wenu kwanza na Wanachama, mnawapiga msasa...
  10. Knock life

    Wana -CCM kwakuwa muda bado haujatuacha badilsheni mgombea wa nafasi ya U-Rais haraka kabla hali haijawa mbaya

    Wakuu sisi wana Ccm tubadilishe Mgombea . Mama hauiziki Lile tabaka la chini halimkubali Tabaka ambalo hutoa muelekeo wa nchi miaka yote. Hatujachelewa twende na mgombea anayeuzika. Ambaye Ana mikono misafi. (clean hands)
  11. ChoiceVariable

    PreGE2025 Matiko : Wakati Mbowe yuko ndani hatukuona matusi kwa Rais, haya ya sasa kuna jambo

    My Take 1.Huu ni ujumbe Kwa vibaraka. 2.Ujumbe Kwa mabwana zao 3.Ujumbe Kwa wale Qanaolazimisha Kibaraka Atolewe Jela licha ya Kutoa Kauli za Uasi. 4.Ujumbe Kwa kina Gwajima & Wanaharaki wengine . Rais apunguze uungwana wanataka kumzoea vibaya. Pia hapa kuna vita za mfumo dume,dini nk so...
  12. B

    PreGE2025 Kikwete akabidhi gari kwa kikundi cha mshikamano cha kata ya Mandera

    Aendelea kuwakumbusha Wananchi wa Chalinze kuchangamkia mikopo inayoendelea kutolewa na Halmashauri hiyo. Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu- Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Ridhiwani Kikwete Jana Mei 24, 2025 amekabidhi gari kwa kikundi cha Wajasiriamali cha Mshikamano kutoka Kata...
  13. chiembe

    PreGE2025 Tarimba ataka CCM kumchukulia hatua Askofu Gwajima

    Ameongea kwa uchungu mkubwa sana leo Bungeni. Na mimi naunga mkono. CCM Kinondoni iandae kongamano la kumlaani Gwajima, hata mimi ntachangia gharama za mkutano huo. Ajibiwe na ngazi ya wilaya na mkoa tu ili ajue hiyo ni level yake, akiwa anataka ajibiwe na ngazi ya taifa. CCM Wilaya inamtosha...
  14. Mkoba wa Mama

    PreGE2025 Rais ajaye atumie muundo huu wa baraza la mawaziri

    Kwa muundo wa Baraza la Mawaziri la sasa naona kuna haja kubwa ya kufanya maboresho ili kuziweka pamoja sekta zinazohusiana na kupungunza wingi wa Wizara usio na tija lakini pia baadhi ya sekta kusimama zenyewe. Kwa mfano; Kuna Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, wakati huohuo kuna...
  15. C

    PreGE2025 Nilitegemea kwenye Bajeti ya Wizara ya mambo ya ndani wabunge wakemee vitendo vya utekaji lakini kimya, tumekwisha!

    Leo nilitarajia kwenye wasilisho la bajeti ya wizara ya mambo ya ndani, wabunge wangekemea masuala mbalimbali ya utekaji na kupotea kwa baadhi ya raia, lakini sijasikia. Nani atatutetea sasa jamani? Niseme tu baaaaaasi, Tumekwisha!!
  16. Zanzibar-ASP

    PreGE2025 Hoja za Askofu Gwajima ni mbili tu, wanaotaka kumjibu zingatieni hayo kwanza ili tuwaelewe

    Askofu Gwajima kwa ujasiri mkubwa kabisa amekuja hadharani na kupasua jipu kwa watanzania kuhusu kitendawili cha matukio ya utekaji hapa Tanzania. Gwajima amejenga hoja katika mambo mawili. 1. Kwanini kuna muendelezo wa matukio ya utekaji hapa Tanzania licha ya kuwepo vyombo vya dola vyenye...
  17. MamaSamia2025

    PreGE2025 Ifike wakati CCM izuie makada wake kufanya press conference kiholela. Jerry Muro kaharibu sana

    Mimi ni mwanaCCM niliye na kadi hai ila napinga vikali tabia ya makada kuandaa mikutano na waandishi wa habari wakiwa hawajajipanga. JERRY MURO kaharibu sana zaidi ya kujenga. Kakurupuka mno na kuongea uharo mtupu. Ishu ya Gwajima ni sensitive na ya kujibiwa kiakili kwa sababu Gwajima pia ni...
  18. Erythrocyte

    PreGE2025 Watu duni wenye uwezo mdogo na Wasio na Ushawishi wowote hawataweza kuzima hoja Kabambe za Askofu Gwajima

    Tunafahamu kwamba ili upate uteuzi kwa serikali ya CCM unapaswa kujipendekeza kwa kiwango cha kutia aibu bila kujali namna utakavyodhalilisha familia yako, Yaani ili Mamlaka ya Uteuzi ikuone unafaa unapaswa kudhalilika kwanza kwa kupinga hata Ukweli. Mifano ni Mingi, Jerry Silaa alipata Uwaziri...
  19. McLaren

    PreGE2025 Jerry Muro: Gwajima umevua nafasi ya Ubunge, ushindane na Rais. Hata kama Rais wetu ni wa hovyo kiasi gani, ni lazima tumtii

    Wakuu, "Tunajua Rais naye kuna saa anahemewa. Lakini mzee, sisi tuko kwa ajili ya kumlinda Rais wetu. Hebu kaa sawasawa. Sitaki kukujibu kwa sababu nitakukosea adabu. Naogopa kushindana na wewe, najua mashindano yako. Najua unapenda mashindano. Najua umeshahindana na watu wengi huko ulipotoka...
  20. Carlos The Jackal

    PreGE2025 Watu aina ya Jerry Muro ni wakupigwa vita kila mahali, huwezi kutumia utekaji wa nyuma kuhalalisha utekaji wa sasa

    Hili lijitu baada ya kukuona limesahauliwa na Uongozi wa Kifisadi wa Awamu ya Sita sasa limeona like na Ujuha na Upumbavu wa kijinga ili lionekane linatetea Awamu ya Sita. Huwezi kuhalalisha UTEKAJI na UUAJI unaoendelea nchini, Kwa kusema Et "Toka Enzi za kambona watu waliotekwa". Swali la...
Back
Top Bottom