Unakuta mtu anafanya kazi au biashara Kariakoo lakini anaishi Kibaha, Bunju, Kitunda, Vikundu, Vingunguti n.k ambapo ukimuuliza anakwambia kule vyumba bei nafuu labda elfu 50k, lakini ukimshauri alipie 200k chumba maeneo ya karibu labda Magomeni, Kinondoni, Fire n.k anakataa anasema ni gharama...