Niliwahi kuandika kuhusu huyu Waziri wa Fedha anajiitaga mchumi wa daraja la kwanza! Huyu ni miongoni mwa mawaziri ambao ni mzigo kwa Watanzania!
Leo Bwana Mwigulu akiwa Bungeni amewatangaza watu watatu kuwa mabalozi wa kodi, Mobeto, Samata na Edo Kumwembe. Sasa twende taratibu, tatizo la kodi...