habari wakuu naitaji kiwanja cha kununua maeneo ya kiluvya, kibamba, kimara, hata gobaau madale ndani ndani huko mashart ya kiwanja
1. kiwanja kiwe kinamilikiwa na mwenye kiwanja kihalali.
2. sqmt zianzie 400
3. budget iwe haizidi milion 5
4. gari liwe linafika hadi kwenye kiwanja
5.maji umeme...
Kiwanja kinauzwa goba tegeta "A" kwa bedui
Dakika 5 tukutoka kwa bedui center
Dakika 7 tuu mpaka goba centre
Dakika 10 tuu mpaka madale mwisho
Kiwanja kina sqm 722 (Upana wastani wa 19m and urefu ni mita 38)
Kuna barabara unafika na gari bila tatizo
Eneo limejengeka vizuri sana. Kiwanja...
Kiwanja kipo karibu na kanisa la Sabato dakika 5 kutoka barabara inayoelekea Goba mpakani. Kiwanja kina mapana yafuatayo. Upande unapakana na barabara ni mita 16 na marefu yake ni mita 38. Upande wake wa nyuma ni mita 22. Bei yake kuanzia TZS26 milioni. Maongezi yapo tuwasiliane
Habari.. nauza kiwanja kipo kifuru kingazi ni sqm 700 kwa ml 9.5 tu, mwanzon bei ilkuw ml 11. Ni bei ya ofa hii ni barabara ya Tabata kinyerezi ni dkk 5 Toka main road kufika kiwanja kilipo. Karibu kwa maelezo zaidi hakina dalali 0764423726
Habari waungwana...
Nauza kiwanja kipo kifuru kingazi ni barabara ya Tabata kinyerezi. Ni sqm 700 kwa ml 9.5 tu bei ya mwanzon ilkuw ni ml 11. Umbali Toka main road ni dakika 5 tu.. ni offer karibun hakina dalali unaongea na mmiliki mwenyewe. 0764423726
Wakuu ndiyo ipo hivyo
Baba yangu mkwe alibahatika kuwa na uwanja mkubwa sana hivyo aliamua kuufanya uwanja huo kuwa ni uwanja wa familia yake hivyo aliamua kuwagawia kiwanja hicho watoto wake wote kila mtoto wake na kipande chake.
Watoto wake wenyewe wapo sita hivyo kila mmoja akamkatia...
Katibu Msaidizi Sekretarieti ya Maadili Kanda ya Kusini, Bw. Filotheus Manula amewaambia Viongozi wa Umma kuwa Maadili kwa kiongozi wa Umma hayapimwi kwa kiongozi kuwa masikini au tajiri, kwani kiongozi anaweza kuwa masikini na akawa hana Maadili na kiongozi anaweza kuwa tajiri na akawa na...
Kijana, kabla ya mwaka Kuisha, songa mbele hatua moja ujenzi
Hii ni nyumba moja tuliyoandaa ya vyumba vitatu, compact Fulani kwa mtu anayetaka something classy - vyumba vitatu na open kitchen
Ukubwa - 91sqm
Urefu - 12.3m
Upana - 8.5m
Gharama Ujenzi Boma
- Msingi, kuta, plasta, Paa = TSh...
WAHI UJIPATIE KIWANJA KIZURI SANA, BEI 3 Million.
ENEO: BUKAGA, KISHIRI
KIMEPIMWA, KUNA BIKONI KABISA. Hatua 21 kwa 17.
NYARAKA: HATI YA MAUZIANO
BARABARA INAPITIKA VIZURI NI KIWANJA CHA TATU TOKA BARABARA KUU YA UELEKEO WA Kona ya FELA.
MIUNDOMBINU YA MAJI NA UMEME NI UHAKIKA.
MAWASILIANO...
Wanaosema kuolewa ni bahati huwa wanajifariji tu!
Ukweli ni kwamba kuwa mke wa mtu ni vigezo na sifa maalum ambavyo siyo kila mwanamke anavyo!
Kutokuwa malaya haina maana unasifa moja kwa moja kuwa mke wa mtu bali hii ni tabia njema ingawa siyo tiketi ya kuolewa!
Mwanamke mwenye sifa ya...
Wakuu natafuta kiwanja Dar es Salaam cha million 4. Aisee nataka na mimi niwe na kwangu nimechoka kupanga kumfaidisha mwenye nyumba pesa. Nipo serious.
Habari wakuu nauza kiwanja chenye hati ( SURVEYED PLOT) MBWENI MPIJI (Block No 09,Plot 139)
UKUBWA WA KIWANJA SQM 820
KUNA BANDA KUBWA LA VYUMBA VINNE LENYE WAPANGAJI
BEI: 110M
MAWASILIANO:0621973591
Kwa video na picha zaidi nichek Whatsap.
Nb: Kiwanja hakina udalali nauza mwenyewe ila dalali...
Habari zenu wana JF!
Baada ya kuwaza sana kuhusu hivi viwanja vya mikopo vinavyouzwa, vyenye ukubwa wa Futi 50 Kwa 40 kama je, vinatosha kujenga nyumba?
Kwangu Mimi nimeona itatosha endapo pale mnunuzi atakua hana mambo mengi.
Kama vile kujenga vyumba vinne, choo cha ndani na sebule Kwa...
Kiwanja kilichopimwa kinauzwa Mjini Nzega,bei 5m.Kipo Mita 150 toka Rami,Mita 600 toka Stand Kuu ya Mabasi,Ujazo SQM 876,kuna Maji na Umeme.Matumizi ni biashara hususani Lodge/Hotel,Godown, Conference Facilities.Kiwanja kipo Tambarare.
Habari wakuu, nina kiwanja changu maeneo ya tegeta kituo cha polisi, kina ukubwa wa 19 kwa 21. Hakijakaa square, kipo flat na hakijai maji.
Kipo karibu na shule ya msingi na kituo cha polisi Tegeta. Gari inafika vizuri. Kutoka barabari ni dakika 5 kwa kutembea kwa miguu.
Sasa nataka nikiuze...
Wakuu habarini!!
Nimeoa katika familia ya mzee mmoja msitafu,huyu mke wangu ni mtoto wa mwisho kwao...
Leo nimeshangaa ameniita kwenda kuangalia kiwanja akasema kama nimekipenda nichukue.
Ninachogopa ni kuwa kiwanja nilichopewaa na Baba mkwe wangu nitakosa nguvu kama kidume Cha familia...hata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.