kiwanja

  1. Dalali wa Mjini

    Nauza kiwanja Luguluni milion 500

    Habari wakuu. Kwa wale maboss zangu wawekezaji nimewaleta kiwanja ambacho kipo Luguluni mkabala na nyumba ya mkuu wa wilaya ya Ubungo. Kiwanja kina sifa sifuatizo. (1) Hati ya wizarani matumizi ya makazi au biashara (2) Sqm 1380 (3)Kiwanja kinatazamana na...
  2. W

    Natafuta dalali wa kiwanja

    TANGAZO: NATAFUTA DALALI WA KIWANJA Natafuta dalali wa kusaidia kuuza kiwanja changu kilichopo Bukoba Mjini. Kiwanja kina eneo zuri, kipo kwenye mahala pazuri kwa makazi au biashara, na kina hati halali. Dalali anayejua soko la viwanja Bukoba na anaweza kupata mteja haraka awasiliane nami...
  3. Supu ya kokoto

    Nahitaji kiwanja bajeti 4ml

    Nahitaji kiwanja Buswelu,mwanza kwa bajeti tajwa hapo juu. Asante
  4. Mshamba wa kusini

    Natafuta kiwanja Kitunda Magole

    Habari Wakuu naomba connection ya kiwanja KITUNDA MAGOLE nahitaji ninunue
  5. DalaliBinamu

    Plot4Sale Kiwanja kilichopimwa Mbezi Beach Juu

    Ukubwa wa Kiwanja 500 sqm ( 25 Mita × 20 Mita ), Bei Tshs 35 Milioni Contact _ 0716442950 | 0687614981 Kama unahitaji kikubwa zaidi, unaweza kuchukua viwanja viwili vilivyopakana, Vipo viwanja vingi.
  6. Dalali wa Mjini

    Plot4Sale Kiwanja Kinauzwa Mbezi Beach Sqm 12,000

    Habari maboss. Hiki kiwanja kipo Mbezi Beach Tangi Bovu. Kutoka eneo la kiwanja hadi barabara kuu ya bagamoyo Road ni umbali wa Mita 200 Kiwanja hiki kilikuwa ni kiwanda cha mkonge na bado kina hati kwajili ya matumizi ya kiwanda. Kiwanja hiki kinafaa kwajili ya kwajili ya matumizi ya...
  7. Bosspraise

    Mbezi beach kiwanja kinauzwa

    KIWANJA HIKI HAPA KINAFAA SANAA KWA MAKAZI NA HATA BIASHARA UJENZI WA APARTMENTS Kiwanja kipo ushuani sanaa, Ni mbezi Beach kwa Mwamnyange Mitaa safi, ukijenga nyumba ya kuishi au Ukijenga apartments basi zitakuletea faida kwa haraka sana Ukubwa wa kiwanja ni sqm 900 Kina Hati safi Bei milion...
  8. DalaliBinamu

    Plot4Sale Kiwanja Kilichopimwa Kinauzwa Mbezibeach Juu

    Viwanja vimepimwa vina mawe. Ukubwa 500 sqm - Tshs 40,000,000/= Ukubwa 1000 sqm - Tshs 80,000,000/= Call or Whatsapp 0716442950
  9. DalaliBinamu

    Plot4Sale KINAUZWA KIWANJA CHENYE HATI DAR ES SALAAM

    Ukubwa wa Kiwanja - 1100 sqm Mahali - Goba centre Bei - Tshs 70,000,000/= Hati ya wizara ipo Call - 0716442950 or 0687614981
  10. WENYELE

    Kiwanja kinahitajika Moshi

    Natafuta kiwanja, kiwe medium or low density area. Niko Moshi. Kisiwe 20x20, kianzie 30 x40 au 40×40. Asante, PM.me kama una connection
  11. DELETED ACCOUNT

    Haujengi kwenye kiwanja chako kwa sababu uliyemkabidhi akulindie kakichezea

    Haya maono niliyapata kitambo sana ila leo nimeamua kuyawasilisha. Watu wengi wana mtindo wa kununua maeneo halafu wanatafuta mwenyeji wa pale wanamkabidhi awalindie. Wanamruhusu "mlinzi wao" alime na kinachopatikana achukue. Kinachotokea yule unayemkabidhi ananogewa na fursa ya kulima na...
  12. Dalali wa Mjini

    Kiwanja Kwa matumizi ya sheli kinauzwa.

    Habari wanandugu wa Jua na AC. Nauza kiwanja Kwa matumizi ya sheli. Limepimwa kwajili ya matumizi ya sheli na wizara ya Ardhi. Kipo katika barabara kuu ya East Africa Kiwanja kipo Tanga Korogwe. Sqm 2000 Bei milion 105 Nipigie simu #dalaliwamjini 0754693556
  13. V

    Plot4Sale Kiwanja kinauzwa Kange Tanga

    Nauza kiwanja changu chenye hati ,huduma muhimu zipo umeme/maji. Kipo Kasera Kange na ukubwa wa zaidi ya ft 650.Bei Tsh 9500000.00. Simu 0712652110
  14. Dalali wa Mjini

    Kiwanja kwajili ya sheli sqm 1000

    Habari zenu wanandugu. Nauza kiwanja kwajili ya sheli Kiwanja kipo Buza Sqm 1000 Tank tatu Za Lita 30000 kila koja na tayari tank zimewekwa. Kiwanja kina documents zote za sheli. Bei ni milion 350 za Kitanzania. Nipigie simu 0754693556
  15. Kazanazo

    Napataje mkopo kwa dhamana ya kiwanja

    Nahitaji mkopo wa million 3 nipo na kiwanja 20×20 kipo kigamboni naomba miongozo Note: isiwe hizi microfinance
  16. Dr. Zaganza

    Kiwanja Chenye Hati na Nyumba Yake Kinauzwa Kibaha

    Nauza kiwanja changu, Namba 30 kipo jirani na hospitali ya wilaya, eneo la Lulanzi ,kata ya Picha ya ndege, Manispaa ya Kibaha. Hospitali kilometa moja kulia na shule ya pyramid English medium ,mita 800 kushoto. Kilomita 3 toka barabara ya Morogoro to Dar es Salaam.Pia kilomita 3 toka...
  17. M

    Kiwanja chenye square meters 290 kinatosha kujenga?

    Habari za wakati huu wana JF Hivi kiwanja cha 290 sq meters kinaweza kujenga nyumba ya vyumba vitatu, sebule, dinning, choo na bafu?
  18. S

    Nauza kiwanja changu Zinga Bagamoyo

    HABARI, NAKIWANJA CHANGU ZINGA(BAGAMOYO ROAD)UKUBWA 2780 SQM NATAKA MTEJA WA UHAKIKA NAJAMBO LANGU BEI SASA NATAKA OFFER NZURI TU KINA HATI FIKA SITE TUZUNGUMZE JANUARY HII,FRAME 5 NA UKUTA NI NYUMA YA SOKO.MTEJA SERIOUS TUWASILIANE TAFADHALI killuminatejr@gmail.com
  19. Mathematician

    Kiwanja kinauzwa (Lingato Kigamboni Dar es Salaam)

    Ninauza kiwanja cha sqm 4400 - 5000 kiko Lingato ambayo iko wilaya ya Kigamboni Dar es Salaam mpakani na Lugwadu ambayo iko Mkuranga Pwani. Ni maeneo jirani na kwa Pinda Kigamboni. Bei maelewano nicheki 0783677210
  20. J

    Plot4Sale Nauza kiwanja

    Kiwanja kipo kigamboni mwasonga tulivu kina ukubwa wa sqm 480 kipo mpaka mmoja na shule majira wawili watatu wapo kiwanja ni changu mwenyewe hakina dalali nina shida na ndio maana nauza Bei 3.2Milioni Maongezi kidogo yapo Cantact 0687536389
Back
Top Bottom