hakuna kitu kinaitwa laana,Ona hizi fix.

hakuna kitu kinaitwa laana,Ona hizi fix.

Red black

JF-Expert Member
Joined
Nov 29, 2019
Posts
16,443
Reaction score
52,598
Mara ooh mama yako akikwambia maneno mabaya utateseka sana kwenye hii Dunia , uongo

Baba yako akivua ngua akanyoosha uume juu huku akisema kama kweli wewe ni mwanangu nimekuzaa ufe ahivi unakufa hapohapo , uongo

Dada yako akikasirika akavua chupi akakupiga nayo utateseka maisha yako yote, uongo

Usipowasaidia wazazi wako,ndugu wakikasirika na kukunenea maneno mabaya basi lazima utese tu, uongo

#Be open minded
 
Mara ooh mama yako akikwambia maneno mabaya utateseka sana kwenye hii Dunia , uongo

Baba yako akivua ngua akanyoosha uume juu huku akisema kama kweli wewe ni mwanangu nimekuzaa ufe ahivi unakufa hapohapo , uongo

Dada yako akikasirika akavua chupi akakupiga nayo utateseka maisha yako yote, uongo

Usipowasaidia wazazi wako,ndugu wakikasirika na kukunenea maneno mabaya basi lazima utese tu, uongo

#Be open minded
Usipompa Mchungaji wako asilimia 10 ya kipato chako maisha yako yatavurugika
 
Kinachoweza kuwa na nguvu ni imani na hofu, ukiamini sana ume laaniwa, unaweza kuishi kwa hofu, msongo na kutafsiri kila jambo baya kama uthibitisho wa laana.

Kwa kifupi: maneno yanaweza kukuumiza kisaikolojia, lakini si uchawi unaohakikisha hatima yako.
 
“Tatizo ni kuchanganya laana na matokeo ya maisha. Mtu anaweza kumkosea mzazi na maisha yake yakawa magumu kwa sababu ya tabia, kukosa msaada wa familia au migogoro—lakini hiyo si ushahidi kwamba ametupiwa laana. Kama kila maneno mabaya ya mzazi yangekuwa lazima yatimie, basi dunia ingekuwa imejaa watu waliolaaniwa na wazazi wao. Heshimu wazazi, wasaidie, lakini usiishi kwa hofu ya laana.”
 
“Tatizo ni kuchanganya laana na matokeo ya maisha. Mtu anaweza kumkosea mzazi na maisha yake yakawa magumu kwa sababu ya tabia, kukosa msaada wa familia au migogoro—lakini hiyo si ushahidi kwamba ametupiwa laana. Kama kila maneno mabaya ya mzazi yangekuwa lazima yatimie, basi dunia ingekuwa imejaa watu waliolaaniwa na wazazi wao. Heshimu wazazi, wasaidie, lakini usiishi kwa hofu ya laana.”
Point
 
Kinachoweza kuwa na nguvu ni imani na hofu, ukiamini sana ume laaniwa, unaweza kuishi kwa hofu, msongo na kutafsiri kila jambo baya kama uthibitisho wa laana.

Kwa kifupi: maneno yanaweza kukuumiza kisaikolojia, lakini si uchawi unaohakikisha hatima yako.
Uko sahihi
 
Binafsi huwa naamini hata kwenye kinachoitwa cha uongo kunaweza kuwa na chembe ya ukweli.
Uko sahihi.

Kuna tofauti kati ya ukweli na tafsiri ya ukweli.

Laana inaweza isiwe na nguvu za kimiujiza, lakini maneno yanaweza kumuumiza mtu kisaikolojia na kubadili maisha yake.

Kwa hiyo, hata kwenye uongo unaweza kuwepo ukweli mdogo tatizo ni watu kuujengea maana kubwa kuliko ushahidi wake.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom