kisarawe

Kisarawe is one of the six districts of the Pwani Region of Tanzania. It is bordered to the East by Dar es Salaam Region, to the north by the Kibaha District, to the east by the Mkuranga District, to the south by the Rufiji District and to the west by the Morogoro Region.
According to the 2002 Tanzania National Census, the population of the Kisarawe District was 95,614.

View More On Wikipedia.org
  1. Frumence M Kyauke

    Diwani wa Wilaya ya Kisarawe Pwani alalamika uhaba wa kondomu

    Diwani wa Kata wa Kibuta wilayani Kisarawe mkoani Pwani Mhandisi Mohamed Kilumbi, amesema kuwa Kata ya Mbuyuni wilayani humo inakabiriwa na upungufu mkubwa wa Condom na kuiomba kamati ya kupambana na UKIMWI kuchukulia kwa uzito jambo hilo na kuhakikisha bidhaa hizo zinafika kwa haraka.
  2. Countrywide

    Mkuu wa wilaya Kisarawe, Nikki wa Pili akiwa na balozi wa Shelisheli na Canada

    Mkuu wa wilaya Mh.Nikkj wa Pili ameweza kushawishi mabalozi wa shelisheli na Canada kwenda Kisarawe na kuwekeza. Hii ni zaidi ya hatua, Mh. Nikki wa Pili ameonyesha njia na uwezo mkubwa kioungozi kwa kushawishi wanadiplomasia wakubwa kwenda kuwekeza kisarawe. Hili ni Jambo la kupongezwa na...
  3. Jamii Opportunities

    Nafasi za Kazi Halmashauri ya Kisarawe

    Executive Officers / WATENDAJI at KISARAWE District Council July, 2021. Kisarawe is one of the six districts of the Pwani Region of Tanzania. It is bordered to the East by Dar es Salaam Region, to the north by the Kibaha District, to the east by the Mkuranga District, to the south by the Rufiji...
  4. Baba jayaron

    Rais Samia, tunahuzunika kumuondoa Kisarawe DC Jokate

    Asaalaam Aleykum wabarakatu! Awali ya wote nikupongeze kwa kazi nzuri mama yetu Mh. Rais pia nikupepole kwa kazi hio ngumu. Niende kwenye mada mama, nakuomba au nnaimani umepita pita mitandaoni nakuona comments za raia wako walivotoa maoni yao juu ya teuzi (mkeka) wa ma DC. Leo sitotaka...
  5. JOHNGERVAS

    Jokate Mwegelo hakustahili kuhamishwa Kisarawe, aliatakiwa apandishwe cheo

    Habari wakuu, Kwa Maoni yangu Mimi Kama Mtanzania naona Jokate Mwegelo hakustahili kuhamishwa Kisarawe bali aliatakiwa apandishwe cheo na kuwa Mkuu wa Mkoa wa Pwani au eneo Jingine has a remote areas. Kwa sababu moja Kuu, Jokate ni Mbunifu sana na kwa nafasi take kwanza kama Mtu maarufu mwebye...
Back
Top Bottom