kisarawe

Kisarawe is one of the six districts of the Pwani Region of Tanzania. It is bordered to the East by Dar es Salaam Region, to the north by the Kibaha District, to the east by the Mkuranga District, to the south by the Rufiji District and to the west by the Morogoro Region.
According to the 2002 Tanzania National Census, the population of the Kisarawe District was 95,614.

View More On Wikipedia.org
  1. radhiya

    Plot For Sale in Kigamboni Kisarawe 2

    Plot Available For Sale. Location: Kigamboni Kisarawe 2, Mwasonga road. Descriptions: *12km from main road (Kibada road), 2km from Mwasonga road. *It's near to box factory and Dar es Salaam zoo. *It's 9.6 acre's which is equal to 39,507.11SQM. *Suitable for industrial, commercial or residential...
  2. radhiya

    Plot for sale in Kigamboni Kisarawe 2 Mwasonga road

    Plot Available For Sale. Location: Kigamboni Kisarawe 2, Mwasonga road. Descriptions: *12km from main road (Kibada road), 2km from Mwasonga road *It's near to box factory and Dar es Salaam zoo. *It's 9.6 acre's which is equal to 39,507.11SQM. *Suitable For industrial, commercial or residential...
  3. Just Pray

    DC Magoti asema hakuna wa kuhoji, aagiza waliouziwa eneo la serikali wajisalimishe

    Wananchi wa Kijiji cha Homboza wilayani Kisarawe mkoani Pwani, wameiomba Serikali iingilie kati mgogoro wa ardhi uliopo na watu kupata vitisho na kujeruhiwa mara kwa mara sababu kubwa ikiwa ni kuuziwa ardhi eneo la Serikali. Wameyasema hayo mbele ya Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe Bw. Petro Magoti...
  4. radhiya

    Plot for sale in Kigamboni Kisarawe 2

    Plot Available For Sale. Location: Kigamboni Kisarawe 2, Mwasonga road. Descriptions: *12km from main road (Kibada road), 2km from Mwasonga road *It's near to box factory and Dar es Salaam zoo. *It's 9.6 acre's which is equal to 39,507.11SQM. *Suitable For industrial, commercial or residential...
  5. radhiya

    Plot Available For Sale in Kigamboni Kisarawe 2 Mwasonga

    Hello! Plot Available For Sale. *Along tarmac road,16km from ferry. Price: Tsh 600 Million. For further details or to arrange a viewing, kindly contact us. A small viewing fee will apply. Contacts: 0784 829565 or 0767 833345 @prathlimited
  6. Stephano Mgendanyi

    Waziri Mavunde azindua kiwanda cha uBaruti na vilipuzi - Kisarawe, Pwani

    ▪️Kiwanda kuzalisha tani 22,000 za baruti na vilipuzi milioni 15 kwa mwaka ▪️Ni matokeo ya kazi ya Rais Samia mazingira kuvutia uwekezaji ▪️ Zaidi ya ajira 300 za moja kwa moja na 1000 zisizo za moja kwa moja kuzalishwa KISARAWE, PWANI Serikali inaendelea na utekelezaji wa mkakati wake wa...
  7. KUNGUNIMSOMI

    Pongezi, Petro Magoti kwa kutatua migogoro ya ardhi Kisarawe

    Katika kuendelea na juhudi za kutatua migogoro ya ardhi, Mkuu wa Wilaya, Petro Magoti, amekuwa akifanya mikutano ya mara kwa mara na jamii, ambapo anawapa fursa wananchi kutoa maoni yao kuhusu masuala ya ardhi. Mikutano hii inasaidia kujenga uelewa wa pamoja na kuimarisha ushirikiano kati ya...
  8. L

    Kisarawe, iliyoko mkoa wa Pwani Tanzania, inakabiliwa na changamoto za barabara mbovu toka miaka ya 60

    Wananchi wanalia kila siku, mfano maguruwe barabara mbovu kama mazingira ya mwezi, lakini DC na TARURA wamejikita kwenye viti vyao vya starehe, wakisikiliza kilio cha wana nchi kama wimbo wa kawaida! Hii ni dhuluma ya wazi – pesa za walipa kodi zinapotea kwenye miradi ya karatasi, wakati...
  9. radhiya

    Plot Available For Sale in Kigamboni Kisarawe 2

    Plot Available For Sale. Location: Kigamboni Kisarawe 2, Mwasonga road. Descriptions: *12km from main road (Kibada road). *It's near to box factory (Kiwanda cha maboksi) and Dar es Salaam zoo. *It's 9.6 acre's which is equal to 39,507.11SQM. *Suitable For industrial, commercial or residential...
  10. upupu255

    PreGE2025 DC Magoti atamani Mwamposa akajenge Kanisa (nyumba ya ibada) Kisarawe

    Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe, Peter Magoti, amempongeza Mtume Boniface Mwamposa kwa huduma yake ya kiroho na misaada anayoitoa kwa watu wenye mahitaji mbalimbali. Magoti alisema kuwa Mtume Mwamposa amesaidia watu wengi wenye shida mbalimbali na kutokana na mchango wake mkubwa, alimwomba kuja...
  11. USSR

    Rais Samia ikukupendeza tuondolee DC Magoti hapa Kisarawe, amefeli kila kitu

    Watu hatuna maji yeye analeta story za uchaguzi. Tuliambiwa kuwa hapo ikulu alikufelisha na wewe ukaamua kuturushia huku Kisarawe huku ni majanga kabisa . Hapa Kisarawe wilaya nzima hatuna maji yeye yuko size na ishu za uchaguzi utadhani anagombea Barabara mbovu kila sehemu yeye yupi size na...
  12. radhiya

    Plot for sale in Kigamboni Kisarawe II

    Plot available for sale. Location: Kigamboni Kisarawe 2, Mwasonga road. Descriptions: *12km from main road(Kibada road). *It's near to Box Factory(Kiwanda cha maboksi) and Dar es Salaam Zoo. *It's 9.6 acres which is equal to 39,507.11SQM. *Suitable for Industrial, Commercial or Residential...
  13. radhiya

    Plot for sale in Kigamboni Kisarawe II

    Plot available for sale. Location: Kigamboni Kisarawe 2, Mwasonga road. Descriptions: *12km from main road(Kibada road). *It's near to Box Factory(Kiwanda cha maboksi) and Dar es Salaam Zoo. *It's 9.6 acres which is equal to 39,507.11SQM. *Suitable for Industrial, Commercial or Residential...
  14. M

    KERO Dar: Barabara Kisarawe II Wilaya ya Kigamboni haijafanyiwa matengenezo tangu mvua za Mwaka 2024

    Ni toka mvua za mwaka jana 2024 mpaka leo barabara za Kichangani kuanzia Shule, Kisimani hadi Msikiti wa Mzee Nandule, kote huko njia hazipo ni kama vile Serikali imesahau kuwa kuna watu wanaishi huko. Mbali ya kuwa Wananchi wamejichanga na kutafuta vifusi ila mkandarasi wa Barabara ya Kibada -...
  15. radhiya

    Plot for sale in Kigamboni Kisarawe II

    For further details or to arrange a viewing, kindly contact us. 0784 829565 0767 833345 @prathlimited
  16. Mkalukungone Mwamba

    PreGE2025 DC Magoti wa Kisarawe: Avaa vazi la Samia style kama sehemu ya kumpongeza kwa kazi nzuri anayoifanya

    Uchawa unanguvu sana! Na bila shaka hii yote kwenye kutetea ugali wao. Sasa Mkuu wa wilaya ya Kisarawe Petro Magoti ameamua kuvaa vazi la Samia style kama sehemu ya kumpongeza Rais Samia kwa kazi nzuri anayoifanya katika kuendelea kuwaletea wananchi maendeleo.
  17. radhiya

    Plot available for sale in Kigamboni Kisarawe II

    Plot available for sale. Location: Kigamboni Kisarawe 2, Mwasonga road. Descriptions: *12km from main road(Kibada road). *It's near to Box Factory(Kiwanda cha maboksi) and Dar es Salaam Zoo. *It's 9.6 acres which is equal to 39,507.11SQM. *Suitable for Industrial, Commercial or Residential...
  18. Mkalukungone Mwamba

    Ajifanya Mkuu wa Wilaya na kutapeli viwanja Homboza, Kisarawe

    Mtu mmoja (jina limehifadhiwa) anadaiwa kufoji nyaraka na kujifanya mwakilishi wa mmoja wa Wakuu wa Wilaya waliowahi kuongoza Wilaya ya Kisarawe, akidai kuuza viwanja kwa niaba ya mkuu huyo wa wilaya aliyepita. Tuhuma hizi zilibainishwa na Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe, Petro Magoti, wakati...
  19. X

    Shamba Ekari 1 na robo linauzwa Marumbo Kisarawe 1.2m

    Eneo linafaa kwa Ufugaji,mto unapita jirani,kilimo cha kumwagilia. Lakini pia kilimo cha mihogo,machungwa na Maembe. Nicheki 0782971984
  20. Cute Wife

    PreGE2025 DC Magoti akabidhi kipaza sauti kitangaze mikutano yake

    Wakuu, Vitu vingine mpaka vinachekesha, ni zaidi ya vituko!:BearLaugh::BearLaugh::BearLaugh: ===== Kupata taarifa na matukio ya kimkoa kuhusu Uchaguzi Serikali za Mitaa ingia hapa: LGE2024 - Special Thread: Orodha ya Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa...
Back
Top Bottom