Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 18,173
- 27,223
Mkuu wa wilaya Mh.Nikkj wa Pili ameweza kushawishi mabalozi wa shelisheli na Canada kwenda Kisarawe na kuwekeza.
Hii ni zaidi ya hatua, Mh. Nikki wa Pili ameonyesha njia na uwezo mkubwa kioungozi kwa kushawishi wanadiplomasia wakubwa kwenda kuwekeza kisarawe.
Hili ni Jambo la kupongezwa na kuunga mkono naa kila mtu.
Haya ndio mambo sasa, hakika mkuu wa wilaya huyu anaacha alama kubwa Sana ya uongozi hapa nchini.
#kisarawe mpya#
#nipo na mama 2025#
#kazi iendelee#
Hii ni zaidi ya hatua, Mh. Nikki wa Pili ameonyesha njia na uwezo mkubwa kioungozi kwa kushawishi wanadiplomasia wakubwa kwenda kuwekeza kisarawe.
Hili ni Jambo la kupongezwa na kuunga mkono naa kila mtu.
Haya ndio mambo sasa, hakika mkuu wa wilaya huyu anaacha alama kubwa Sana ya uongozi hapa nchini.
#kisarawe mpya#
#nipo na mama 2025#
#kazi iendelee#