Duuuuuuuh
SHERIA 13 ZA BOLI WAKATI TUKIWA WATOTO.
1. dogo mnene lazima awe Golikipa
2. Mwenye mpira ataamua nani acheze na nani asicheze.
3. Penati itatokea tu pale mchezaji akiumia sana na kutoka damu.
4. Mechi itaisha kama kila mchezaji atakua amechoka.
5. Hakuna free kick, kitu kama...