Amani iwe pamoja nasi sote!
Tukiachilia matatizo yanayoendelea; cambodia, pakistan, gaza, yemen, drc, ukraine, sahel, gen z, brics, iran, Lisu, Pole Pole, gwajima, mchujo CCM na bilion ya Taifa stars.... hebu tuangazie pia la ngozi yangu.
Wajuvi wa ngozi za kiume.
Nipo dar.
Kipindi hiki napauka...