PostGE2025 Mwigulu acha ubabe kipindi hiki, haulipi

PostGE2025 Mwigulu acha ubabe kipindi hiki, haulipi

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections

Retired

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2016
Posts
51,392
Reaction score
99,670
Kipindi hiki ubabe haujengi, unabomoa.
Unaweza kuilinda nchi nchi kwa diplomasia na wànanchi ambao ndio wenye nchi!
20251208_145724.jpg
 
Hahaha Jamaa wanalinda nchi kwa gharama yoyote. Ni sawa na baba na mama wanaolinda mji huku wakiua watoto. Wengine watatoroka na kwenda mbali na kubadiri ka kuwa maadui wa familia. Hapo itakuwa ngumu.
 
HAKUNA NASEMA HAKUNA kucheka na hawa kima Waziri mkuu shikilia hapo hapo tena ongeza ukali mpaka wakimbie nchi.
 
HAKUNA NASEMA HAKUNA kucheka na hawa kima Waziri mkuu shikilia hapo hapo tena ongeza ukali mpaka wakimbie nchi.
ila vimada wa abdul mna ujinga! Hogo la abdul limewachanganya kwelikweli!
 
Yule ukimwondolea ubabe hana kingine, anabaki mweupe kama sanda. Kwa hiyo anajifichia kwenye kubwata
 
HAKUNA NASEMA HAKUNA kucheka na hawa kima Waziri mkuu shikilia hapo hapo tena ongeza ukali mpaka wakimbie nchi.
kama kaamua kuwa mkali, basi asipoe...
ila jua halitakuchwa atakuja na kauli kama Muliro
 
HAKUNA NASEMA HAKUNA kucheka na hawa kima Waziri mkuu shikilia hapo hapo tena ongeza ukali mpaka wakimbie nchi.
Mjaze tu, meza ikigeuka moja ya wahalifu wakuu itakuwa Mwigulu. Huyu ana record ya kufanya uhalifu toka enzi za kina Tesha. Huyo ana hofu kubwa maana anajua uovu wake uko peupe. Hivyo vitisho ni kinga ili wasitoke madarakani maana yeye atakuwa muhanga namba moja wa mabadiliko ya kweli.
 
Kipindi hiki ubabe haujengi, unabomoa.
Unaweza kuilinda nchi nchi kwa diplomasia na wànanchi ambao ndio wenye nchi!
View attachment 3513014
Sema watalinda ulaji wao kwa nguvu yoyote siku ikifika zamu yetu kutumia nguvu yoyote kuwatoa mafisadi na wala nchi na wala rushwa atatafuta chaka maana hakuna jiwe litasalia
 
Back
Top Bottom