Hapa na zungumzia usafi wa kuoga na kutumia mafuta.
Ukiangalia kwa jicho la tatu yani una toa uchafu ulicho kitumia na uchafu wako kisha unajipaka uchafu.
Mafuta tunayopaka unakuta yame changanywa na maziwa,mafuta yametoka vyanzo vya leo tuna tumia kwenye vyombo vya moto,wanyama,matunda...