Mambo ya IMANI yapinge Kwa IMANI
Mambo ya SAYANSI Kwa SAYANSI
Falsafa Kwa falsafa.
Kinyume na hapo hakuna kinachofanyavkazi unabaki na mtazamo wako na wao mtazamo wao.
Ukipingana kwa falsafa au fact za kisayansi, Kwa WATU WA Imani, mara nyingi watu wa imani hawatakubali kwa sababu msingi wao si “ushahidi wa maabara” bali ni:
Maandiko
Mapokeo
Mafundisho ya kidini na
Uzoefu wa kiroho vile Wana experience.
Mfano: Kama unajadili mafundisho ya Biblia, ni rahisi kushawishi waumini kwa kutumia vifungu vingine vya Biblia kuliko kutumia nadharia ya Aristotle au tafiti za kisayansi.
Aya naenda kunywa chai nilale.
Mambo ya SAYANSI Kwa SAYANSI
Falsafa Kwa falsafa.
Kinyume na hapo hakuna kinachofanyavkazi unabaki na mtazamo wako na wao mtazamo wao.
Ukipingana kwa falsafa au fact za kisayansi, Kwa WATU WA Imani, mara nyingi watu wa imani hawatakubali kwa sababu msingi wao si “ushahidi wa maabara” bali ni:
Maandiko
Mapokeo
Mafundisho ya kidini na
Uzoefu wa kiroho vile Wana experience.
Mfano: Kama unajadili mafundisho ya Biblia, ni rahisi kushawishi waumini kwa kutumia vifungu vingine vya Biblia kuliko kutumia nadharia ya Aristotle au tafiti za kisayansi.
Aya naenda kunywa chai nilale.