Nguvu ya Taifa lolote ni Wananchi wake, viongozi waliotokana na ridhaa ya Wananchi wake, utawala unaojali zaidi hali ya maisha ya watu wake na kesho yao, utawala ukiwa haujatokana na ridhaa ya Wananchi ni ngumu kufikia agenda za maendeleo kwa sababu kutakuwa na mpasuko baina ya watawala na...