dogman360
JF-Expert Member
- Oct 15, 2018
- 214
- 354
Mdogo wangu alikuwa kapata chuo Kozi ya Udaktari wa Binadamu (MD)Katika chuo cha Mwanza university. Tukawa tunasubiri dogo apate mkopo ndio tumkamilishie usajili. Dogo bana si akapangiwa mkopo, sasa nikawasiliana na chuo kwamba nakuja wakasema generate control number ufanye malipo kumbe hio siku TCU wakakifungia chuo.
Tumeenda chuo ndugu yangu anaambiwa hatambuliki na chuo, na TCU hawawezi kumsaidia kumhaamisha kwenda chuo kingine sababu alikuwa hajafanya usajili chuoni hapo
Hii sio haki kabisa maana kuna baadhi ya vyuo usajili bado unaendelea hadi tarehe 12 (MUHAS) why huku mseme hawezi saidiwa?
Dogo yuko nyumbani haelewi na hatujui tufanyaje, kama TCU watasoma hili embu watende haki kwa wote waliokuwa wamepata nafasi hapo MZU.
Tumeenda chuo ndugu yangu anaambiwa hatambuliki na chuo, na TCU hawawezi kumsaidia kumhaamisha kwenda chuo kingine sababu alikuwa hajafanya usajili chuoni hapo
Hii sio haki kabisa maana kuna baadhi ya vyuo usajili bado unaendelea hadi tarehe 12 (MUHAS) why huku mseme hawezi saidiwa?
Dogo yuko nyumbani haelewi na hatujui tufanyaje, kama TCU watasoma hili embu watende haki kwa wote waliokuwa wamepata nafasi hapo MZU.