Matayo 6:11
1)* Utupatie leo riziki yetu ya kila siku.*
2)Mathayo 6:34
Msiisumbukie kesho. Kwa kuwa kesho itajisumbukia yenyewe. Kila siku ina mahangaiko yake ya kutosha.
3)
Luka 12:25
Ni nani kati yenu kwa kuwa na wasiwasi sana anaweza kuongeza kidogo urefu wa maisha yake? Basi, kama...