Dabi ya Simba na Yanga kesho mashakani

Dabi ya Simba na Yanga kesho mashakani

Sasa ni saa 11:28 jioni, Dar es salaam jua limewaka la kutosha na hatuoni hiyo update uliyoahidi.
Derby iko pale pale Isamuyo, muda ule ule
 
Kwa ule uwanja, ulivyo hifazi maji na hadhi ya mechi hii bora wahairishe, wakicheza pale itakuwa mwendo wa kubutua butua.

df.webp
 
Libase na Mpanzu uwanja unawazuia kuonesha ubora wao.
 
Back
Top Bottom