Kesho Yvonne Scott (born 1953) is associate professor of American Studies and Sociology at Grinnell College. Scott received her M.A. in political sociology at the University of Detroit and received her Ph.D. in American Studies from the University of Iowa in 1988. After receiving her doctoral degree she became Distinguished American Studies Scholar in Residence at Pennsylvania State University in Harrisburg (1989), visiting professor at Nanjing University in China (1994), and Fulbright visiting professor at Addis Ababa University in Ethiopia (2001–2002). Scott's interests include black women in America, multiculturalism, and unlearning racism.
She is the first African-American woman to receive tenure at Grinnell.
Mimi ni Mwanahabari na Mtanzania Nasema ...
Kuna huzuni nzito inayotanda ndani ya vyumba vya habari nchini,siyo huzuni ya kukosa vifaa au teknolojia, bali ni huzuni ya kuona taaluma yetu ikigeuzwa kuwa "kipaza sauti" cha upande mmoja, huku misingi ya uhuru wa kutoa maoni na kuchambua ukweli...
Iran kwa washia pamoja na vita vyao kesho wanaangusha ngamia MashaAllah nako Saudia chimbuko la sunni nako kesho ni shughuli yani middle east yote kesho ni bata batani
Inashangaza tanzania imekuwa kawaida kusherekea sikukuu hizi siku ambazo ni tofauti na tunaowaangalia kama ndio chimbuko la...
Kesho kila mtu atajifanya alikua rafiki wa JPM hata maadui zake kesho wanaenda kutumia karata ya uzalendo wa JPM na wao kujifanya wanasisitiza watanzania kua wazalendo wakati ni kinyume chake. Kesho tunaenda kuona na kushudia hata wale waliosema...
Kesho kila mtu atajifanya alikua rafiki wa JPM hata maadui zake kesho wanaenda kutumia karata ya uzalendo wa JPM na wao kujifanya wanasisitiza watanzania kua wazalendo wakati ni kinyume chake.
Kesho tunaenda kuona na kushudia hata wale waliosema bahari imetulia au waliosema wabaya hawafi nao...
Kesho baba EWURA tunakuomba utuvushe sisi wauza mafuta kuanzia vituo vya mafuta mpaka wauza vidumu
Tunakuomba upige kwenye mshono kwa pigo takatifu hii itasaidia kupanda kwa bei za usafiri na bidhaa ili tuweze kujipatia faida juu ya faida.
Kwa wale washangiliaji, mtakatifu Trump amewasikia...
Hii ni kauli ya Karia,kwahiyo siku hizi masuala ya mpira yanapelekwa mahakamani? Wakati jamaa fulani walikuwa wanapeleka kesi mahakami,si mlipiga kelele kuwa masuala ya mpira hayapelekwi mahakamani,sasa imekuwaje?
Kero yangu ni kwa watu wa NSSF, nilikuwa nafuatilia mafao yangu ya ukomo wa kazi kwenye statement yangu kuna shilingi 7,000,000 kazini nilikuwa nalipwa 600,000, hivyo NSSF nilikuwa nawekewa 120,000 sasa imefika wakati wa kufatilia nakuja kulipwa Shilingi 198,000.
Sasa hiyo hela mimi naifanyia...
Anonymous (9713)
Thread
kesho
kulipwa
milioni
mwaka
nssf
nyingine
wanajua
yangu
Mh Waziri Mkuu,
Hongera kwa Mungu kukupa nafasi uliyonayo na kazi unayoifanya. Pongezi kubwa kwako.
Nianze kutoa malalamiko yangu kuhusu yanayoendelea Kipunguni. Wananchi wa Kipunguni wanakusubiri urudi waje ofisini kupiga magoti. Wanaumizwa na majambazi, wanakufa kwa presha, kisukari na...
Wadau, taarifa hii ni kwa mujibu wa uchambuzi wa vyanzo mbalimbali vya uhakika duniani na taarifa za ndani, hivyo uwezekano mkubwa ni alfajiri ya kuamkia jumapili tarehe 22.2.2026 kwa saa za Marekani. Shambulio hilo malengo ni kuuangusha utawala wa Kiislamu wa AYATOLLAH KHAMENEI. Kibali...
Pichani ni Dorothy Muoma aliyekuwa mwanasheria mashuhuri nchini Kenya ambaye aliwahi kuhudumu kama Hakimu katika Mahakama ya Kitale. Katika kilele cha taaluma yake, alijulikana kwa mamlaka yake makubwa, utajiri, na maisha ya kifahari.
Hata hivyo, maisha yake yalibadilika ghafla baada ya...
Pombe kweli haina kalenda 😂
Nilisema “nakunywa mbili tu, kesho ninaamka mapema.”
Zile “mbili” zikawa 3, zikawa, 4, zikawa 6
asubuhi:
Alarm inalia → nainyamazisha kwa hasira
Kichwa kinapiga ngoma ya mdundiko
Mdomo una ladha kama niliweka betri 🌚
Nilifika kazini nikitembea kama Wi-Fi isiyo...
Wito wangu ni huo. Ya 29/10 yanaweza kujirudia.
Siwatii woga hapana. HAKUNA WOGA, Chukua tahadhali!
Nendeni kwa wingi kwa tahadhali. Kila mtu awe na simu ya kuchukua matukio. Ikitokea wakaua, basi kuwa na ushahidi.
MUNGU WETU NI MWEMA KILA WAKATI
MUNGU WETU AWE NA NABII , MTAKATIFU LISU.
AMEN
J. Cole - The Fall-Off Album Tracklist
Expected February 6, 2026
DISC 29
1. 29 Intro
2. Two Six
3. SAFETY
4. Run a Train
5. Poor Thing
6. Legacy
7. Bunce Road Blues
8. WHO TF IZ U
9. Drum n Bass
10. The Let Out
11. Bombs in the Ville / Hit the Gas
Bonus: 12. Lonely at the Top
DISC 39
1. 39...
Pesa za dhahabu zitakwisha kesho tu! Je watauza nini ?
Mradi wa gas ambao una nukia ufisadi mkubwa ndiyo sehemu pekee ambayo bado haijauzwa kwasababu wamiliki wa EU na USA wamegoma kutoa rushwa. Hawataki kutoa 10% maana kisheria kwa hawa hasa USA ukitoa rushwa kama kampuni unapigwa fine kubwa...
Yanga tuna akili. Ule uwanja wa Mkapa tuliuenyea. Simba hawezi pata matokeo Chanya na baada ya kuunyea tukahamia Zanzibar.
Tulihamia Zanzibar sababu Uwanja wa Mkapa tumeuharibu. Haufai hata kwetu kwa matches za Kimataifa. Why? Una uchafu. Tulichofukia hatusemi ila nyie Mikia mtaona. Hamwendi...
Padre ananiambia niache uzinzi, anahubiri anasema mimi ni mdhambi sababu nawatolesha Mimba mademu ambao nawagegeda kisha wakipata mimba solution ni moja. Toa.
Haya mambo ni kupangiwa na mabeberu wananionea wivu sababu mimi ni kidume cha mbegu. Wanataka waafrika tuwe wachache wao wawe wengi...
Tunawakumbuka waliouawa, waliojeruhiwa, walioumizwa, waliopewa ulemavu wa kudumu na serikali haramu ya Samia siku ya tarehe 29/10/2025.
Vijana GenZ na Watanzania wote ili kuwaenzi wahanga itapendeza ukivaa nguo nyeusi ikiwezekana yenye picha za wahanga.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.