kenya

Kenya
Jamhuri ya Kenya ni nchi iliyoko Afrika Mashariki katika ikweta, kando ya Bahari ya Hindi.

Kenya imepakana na Ethiopia (kaskazini), Somalia (kaskazini mashariki), Tanzania (kusini), Uganda na Ziwa Victoria (magharibi), kisha Sudan Kusini (kaskazini magharibi).

Kenya ni nchi mwanachama wa Jumuiya ya Afrika ya Mashariki na wa miundo mingine mbalimbali ya kimataifa.

Mji mkuu ni Nairobi.
  1. Analogia Malenga

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kenya: Polisi sita kushtakiwa kwa mauaji waliyotekeleza wakati wa 'marufuku ya kutembea usiku'

    Wakenya wapatao 15 wameuawa na polisi nchini Kenya katika kipindi hiki ambacho kumewekwa marufuku ya kutembea usiku ili kudhibiti maambukizi ya virusi vya corona, ripoti huru ya mamlaka inayoangazia makosa ya polisi katika taifa hilo (IPOA) imesema. Polisi sita sasa watashtakiwa kwa makosa ya...
  2. Chachu Ombara

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Serikali Kenya yatangaza wagonjwa wapya 127 wa COVID 19 na kufikisha idadi ya 2,989

    127 more people have tested positive for coronavirus in Kenya bringing the total to 2,989. Health CAS Rashid Aman said 2,247 samples were tested in the last 24 hours. 124 of the new cases are Kenyans while three are foreigners: 84 are male and 33 are female. The youngest patient is a...
  3. J

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Why is Kenya more famous than most other African countries? Is this true or exaggeration

    Why is Kenya more famous than most other African countries? This is an interesting question, I’ve also found myself wondering why Kenya is so well known compared to most other African countries, so I did a bit of digging, and here’s what I found: History It is considered the cradle of...
  4. T

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mapambano ya Corona: Kenya yapata msaada wa $78M kutoka Umoja wa Ulaya (EU)

    Katika kupambana na madhara ya corona Kenya imeendelea kupokea misaada kutoka nchi mbali mbali Duniani ili kusaidia sekta ambazo zitaathirika zaidi. Hadi sasa Kenya imeshapokea msaada wa Dollar Millions 350 kutoka umoja wa ulaya na nchi moja moja za ulaya zimeichangia Kenya Dollar Million 33...
  5. Influenza

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wagonjwa 95 waongezeka, baada ya sampuli 1,096 kupimwa ndani ya saa 24. Jumla ya visa yafikia 2,862

    Health Chief Administrative Secretary Dr. Rashid Aman on Monday announced that a record 97 patients were in the last 24 hours discharged from various health facilities in the country after recovering from COVID-19. Dr. Aman, speaking during the daily coronavirus briefings at Afya House in...
  6. Dr Akili

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ona katiba mpya ya Kenya inavyowatesa Wakenya

    Kamwe fahari wawili hawawezi kaa zizi moja. Katiba yao mpya iliweka fahari zaidi ya watatu katika zizi moja. Ona sasa mambo ya utawala wa nchi unavyokuwa mgumu.
  7. Kevin85ify

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kenya: Technical Colleges giving Universities a run for their money

    Over 2500 students who qualified to go to University in the class of 2019, have opted to go to technical colleges and pursue diplomas Kenyan Technical colleges have also started gaining recognition globally with Railway Training Institute in Nairobi undergoing a major refurbishment into the...
  8. joto la jiwe

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Madereva wa Kenya waomba Serikali yao kuingilia kati kumaliza mgogoro na Tanzania

    Trucks caring goods are parked at Isebania border at Kenya customs parking yard on May 19, 2020. Six truck drives from Kenya were denied access to Tanzania, [Caleb Kingwara, Standard] Kenyan truck drivers urge the state to intervene and facilitate their release after being detained in...
  9. MK254

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kenya yanusuru mabaharia saba wa Tanzania waliokuwa wanazama

    Walikua wanasafiri kutokea Tanga kuelekea Pemba............ Seven Tanzanian fishermen escaped death by a whisker after Kenyan government rushed to their rescue when their boat capsized in the Indian ocean. The group made a distressed call near Mtwapa along the Kenyan Coastline after their...
  10. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kenya acha wizi wa mlima Kilimanjaro, tumeamua kukuumbua

    Bila aibu kwa miaka mingi sana sasa, Wakenya wana watangazia wazungu na wote duniani mlima Kilimanjaro upo Kenya. Wazungu wote waliodanganywa hivyo wamechukia sana baada ya kuwalazimu kulipia viza za nchi mbili na kupoteza muda mwingi na pesa zao. Huu ni ushenzi wa kijinga na wivu mkubwa...
  11. Trubarg

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania SGR Kenya yakalia kuti kavu: Wafanyabiashara Uganda wakataa kulazimishwa kutumia Naivasha ICD

    Wakati serikali ya kenya wakitoa waraka wakutaka matumizi ya ICD ya Naivasha yawe lazima kwa mizigo inayoelekea Kampala ili kuboost matumizi ya SGR yao ambayo Sasa imekua Kama White Elephant. CURBING VIRUS SPREAD: Transport CS James Macharia joins other government officials in...
  12. MK254

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hawa hapa ndio wenye elimu Tanzania, hadi aibu, halafu ndio wanalilia na kung'ang'ania kuingia Kenya bila kupimwa

    Jana Rais Magufuli alihutubia kongomano la walimu waliosongamana na kupumuliana full mijasho bila tahadhari yoyote kama wanavyoonekana kwenye hii picha, hamna cha barakoa au kuzingatia umbali wa kila mmoja, hawa hapa ndio utategemea wawe na kauelewa kiaina kuhusu sayansi na masuala ya kirusi...
  13. Magonjwa Mtambuka

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wizi wakithiri saa za curfew huko Kenya

    Hawa wakenya (manyang'au) akili yao sijui ikoje. Sasa wanaanza kulia lia kwa sababu wezi wanafanya yao nyakati za curfew. Ni hasara tupu wanajipa.
  14. vulcan

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ukulima wa kisasa Kenya

  15. vulcan

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Tazama mambo yanayoendelea Kenya

    Kiambu na maeneo yake ==== Kambu is a Town just some few kilometres from the city of Nairobi, it inhabited mostly by the a Gikuyu community. The Town has some expansive coffee and Tea farms on the outskirts of the town even though most of the farm land are being converted to real estate.
  16. vulcan

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kenya Tops Angola as Sub-Saharan Africa’s No. 3 Economy

    Kenya surpassed Angola as sub-Saharan Africa’s third-largest economy in dollar terms, according to International Monetary Fund estimates. Angola has contracted every year since 2016 as oil output declined, and the kwanza was devalued in 2019 while Kenya’s shilling held steady. The coronavirus...
  17. Teargass

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kenya doubles Tanzania in agriculture

    Kenya's output worth in agriculture is twice that in Tanzania. Even after so many Tanzanians have been bragging here that they produce more agricultural products than Kenya, luckily the truth is out.
  18. gango2

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Covid 19: Kenya mnazidi kupaa kwenye Worldmeter, hongereni

    Haya bana, Wakenya hongereni sana! Kwenye WORLDMETERS mnazidi kupaa tu, now mmefika nafasi ya 90. Mkiingia 10 bora mtuambie basi. Sisi wenzenu Dar es Salaam tumebakiza wagonjwa 4 tu! tena wana afya nzuri! PIGENI NYUNGU nyungu nyie, acheni kushangaa, korona itawatesa, wenzenu huku Bongo...
  19. MK254

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Shukrani sana wataalam na wakuu wa Kenya kwa kuendelea kuwapima Watanzania hata wakija na makaratasi eti vyeti

    Hawa majirani tunaowajua sio wa kuchekwa nao, lazima uwe makini, vyeti watafoji kariokoo na kuja navyo eti wamepimwa, au hata wapewe tu na mamlaka zao huko bila kupimwa, kwa sasa wameshajidanganya hawana corona, hivyo utakuta hata vipimo vyenyewe hawavifanyi ili wasimuaibishe rais kwa kauli zake...
  20. Miss Zomboko

    JamiiForums Tanzania Mpaka wa Namanga wafungwa kwa muda baada ya Kenya kuwazuia madereva malori kutoka Tanzania kwa kutokuamini vipimo vyao vya #Corona

    MPAKA wa Namanga upande wa Tanzania umesitisha shughuli zote za kibiashara na nchi jirani ya Kenya kwa muda kutokana na nchi hiyo kutoamini vyeti vya ugonjwa wa Covid -19 unaosababishwa na virusi vya corona vya madereva wa malori wa Tanzania vinavyoonyesha kuwa hawajaambukizwa. Mkuu wa Wilaya...
Back
Top Bottom