Kenya tumieni takwimu kwenye lockdown ya CORONA

kavulata

JF-Expert Member
Aug 2, 2012
12,307
12,604
COVID-19 imeua watu 55 Kenya tangu Mwezi March 2020 hadi May 2020.

Kabla ya kuendelea na lockdown ya CORONA toweni takwimu ya vifo kutokana na magonjwa mengine Kama Malaria, TB, HIV, ajali za bodaboda katika kipindi Cha kuanzia March- May 2020 same period ili kuona Ni ugonjwa gani umeua wakenya wengi zaidi.

Huenda Malaria imeua Sana wakenya March- May kuliko COVID-19.

Huenda lockdown ya Sasa ina address the wrong problem.
 
Ya Kenya yanakuhusu nini wewe? Mambo ya Kenya waachie wakenya wenyewe.

Wewe ujinga na umasikini umeshindwa kukutoka unashughulikia mambo ya Kenya? Shughulikia matatizo yako.
 
Kila mwezi wanakufa wakenya 170 kwa malaria lkn rais wao alivomsanii kakomaa na vijimafua visivyoweza kuua hata kuku.
 
Watoe takwimu wanao kufa kwa njaa kutokana na kukosa chakula kipindi hiki cha lockdown.Wengine wanalalamika kupewa chakula kilichokuwa na sumu.
Screenshot_20200526-200735.png


Screenshot_20200526-201307.png
 
Rais Kenyatta angekuwa sahihi kama angelockdown pia usafiri wa bodaboda maana unaua wakenya wengi kuliko covid 19. Shida ya watawala wetu they think locally and act globally badala ya ku think globally and act locally.
 
Back
Top Bottom