Jamhuri ya Kenya ni nchi iliyoko Afrika Mashariki katika ikweta, kando ya Bahari ya Hindi.
Kenya imepakana na Ethiopia (kaskazini), Somalia (kaskazini mashariki), Tanzania (kusini), Uganda na Ziwa Victoria (magharibi), kisha Sudan Kusini (kaskazini magharibi).
Kenya ni nchi mwanachama wa Jumuiya ya Afrika ya Mashariki na wa miundo mingine mbalimbali ya kimataifa.
Law Society of Kenya na Amnesty International Kenya wametoa taarifa kuhusu kuokolewa kwa mwanaharakati wa Tanzania, Mshabaha Mshabaha Hamza, aliyedaiwa kutekwa nchini Kenya.
Kwa mujibu wa taarifa hiyo, Hamza aliokolewa Februari 22, 2026 baada ya polisi kuingilia kati. Watu watatu walikamatwa...
The third round of the 2026 World Rally Championship returns to Kenya, and this time the spotlight shifts fully to Naivasha for four straight days of adrenaline from March 12 to 15.
For years, the rally has balanced an urban ceremonial start in Nairobi with the rugged action in Naivasha. But the...
Kwenye List ya Africa : Kenya sasa namba 6 kutoka 7 na tanzania imeshuka namba 11 kutoka 10. Kujilingalisha ni sawa na kusema muuza genge Tanzania hata tukukuwa kwa 6% kwa mwaka ni ndogo kuliko 4% ya mwenye. M super market . Mama Samia anafikia zanzibar , familia na rushwa kila siku...
The passport of the Russian man who was accused of filming African women without their consent was released by Ghana. They identified him as Vladislav Liulkov, 36, following discussions with the Russian ambassador as it attempts to extradite him to prosecute him.
The government of Kenya on its...
Kenya imeanzisha rasmi sindano mpya ya PrEP inayokulinda dhidi ya HIV kwa miezi sita mfululizo.
Dawa hii, inayojulikana kama Lenacapavir, inachomwa mara mbili tu kwa mwaka – no more kumeza vidonge kila siku.
Tofauti na PrEP ya vidonge kama Truvada, hii ni rahisi, discreet na inafaa kwa watu...
Eee mungu tusaidie tanzania
Aibu hii isitukutute maana n shida
Kuna sakata la amrussia kukula wake za watu 400 kenya
Yaan toka majuzi ndoa zinazidi kuparqnganyika na leo wanasehria 10 wamejitolea rasmi kusaidia wanaume wanaotaka kuachana na wake zai walionyongoreshwa na mrussia wawezw...
The Russian Baltazar checked into the hotel where she works as a manager. He flirted with her briefly at the front desk before she returned to her duties. Later, he called down to complain about a faulty microwave. She went up to check it — and within minutes, GUESS WHAT?..... they were already...
Lela Said Idi became the first woman in Kenya and East Africa to earn International Boxing Association Star 3 Refereree Certification, the highest certification in amateur boxing refereeing course.
The government has issued a fresh announcement, revealing how applicants will be contacted once their driving licences, national identity cards (IDs), and birth certificates are ready.
In a brief notice on Thursday, February 12, Huduma Kenya disclosed that members of the public who applied for...
After weeks of uncertainty, the Social Health Authority (SHA) has announced it will begin paying for patients seeking treatment abroad by the end of February.
SHA CEO Mercy Mwangangi told Parliament that the delay was caused by procurement requirements under the new law, which demands formal...
This week, as the world focuses on matters of drug abuse and substance use prevention, Kenya cannot ignore the silent link between alcohol, drugs, and Gender-Based Violence (GBV). Behind many closed doors in our estates, villages, and even gated communities, substance abuse is fueling violence...
Kenya has announced plans to confront Russia over what it calls the “unacceptable” involvement of Kenyan nationals in armed conflicts abroad.
Nairobi condemned reports that its citizens are being used as combatants, warning that such actions violate international norms and could strain...
Mkutano wa Uwekezaji katika Sekta ya Madini Afrika (Mining Indaba) ni tukio kubwa zaidi duniani la uwekezaji wa madini barani Afrika, linalofanyika kila mwaka katika Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Cape Town (CTICC) nchini Afrika Kusini.
Tukio la Sasa: Mining Indaba 2026
Tarehe: Februari...
When you're younger than eighteen.
When you don't have a valid Kenyan passport or the original ID card.
When, over the previous five years, you were alleged to have committed any election offence or found guilty by an election court.
If you are deemed mentally incompetent by a competent court.
Kando ya kingo za Mto Nzoia magharibi mwa Kenya, mabadiliko ya kimya kimya yanaendelea kuonekana na kukita mizizi. Mashamba ambayo hapo awali yalikuwa matupu, yakikauka kwa ukame na kuathiriwa na mafuriko yasiyotabirika, sasa yamenawiri huku yakiwa yamesheheni safu zilizostawi za mazao, kutokana...
Mashirika ya Ujasusi ya Mataifa ya Rwanda, Kenya, Marekani na Uingereza sasa yanapambana kuyafanya Mataifa yao kama maeneo ya msingi ya kukamata Uchumi wa kikanda na Kidunia.
Kwenye vyombo mbalimbali vya habari sasahivi, habari zinazotrend ni namna wakuu wa mashirika ya kujasusi ya Mataifa ya...
Mapendekezo katiba mpya: Lazima kuwe na Bunge la Senate kama Kenya na USA.
Idadi ya wabunge ipunguzwe na iendane na idadi ya watu. Kila mkoa uwe na maseta wawili tu. Senate vilevile itasaidia kwa wale watakao laumu wana wabunge wachache.
Haya Sasa wale wa Who are you na wale wakutaka kuishambulia Kenya ili waweze ku access bahari ya Hindi kazi kwenu.
https://youtu.be/PyRCz88qKio?si=efd4OUPBTT9cv64d
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.