Jamhuri ya Kenya ni nchi iliyoko Afrika Mashariki katika ikweta, kando ya Bahari ya Hindi.
Kenya imepakana na Ethiopia (kaskazini), Somalia (kaskazini mashariki), Tanzania (kusini), Uganda na Ziwa Victoria (magharibi), kisha Sudan Kusini (kaskazini magharibi).
Kenya ni nchi mwanachama wa Jumuiya ya Afrika ya Mashariki na wa miundo mingine mbalimbali ya kimataifa.
https://youtu.be/txvRnIcB9tc?si=DI7EpxtR-jnsGoai
Kumekuwa na matukio ya kushangaza tokea lile sekeseke la Wanaharakati wa Kenya kuja Tanzania kusikiliza kesi ya Mhe. Tundu Antipas Lissu, Mwenyekiti wa Chama kikuu cha upinzani CHADEMA.
Wanaharakati hao baadaye walikamatwa na Polisi wa Tanzania...
Nimekuwa nikifuatilia maandamano ya Kenya kwa karibu sana,yanayoendelea ni yale yale matokeo ya kutotii mamlaka na madhara yake wote tumeyashuhudia.
Kilichonifanya nitie kalam yangu ni uhusiano uliopo kati ya CHADEMA,EALS,na wanaharakati wa haki za binadamu wasiofahamu panapodaiwa haki kuna...
Dah.. Boniface Kariuki, yule muuza barakoa, aliyepigwa risasi kichwani na polisi wakati wa maandamano ya Juni 17, 2025. Kulingana na msemaji wa familia, Emily Wanjira, madaktari katika Hospitali ya Taifa ya Kenyatta wamesema kuwa ubongo wa Kariuki umekufa (brain death), ingawa viungo vyake...
Kwa miaka mingi Tangu nyakati za Uhuru Kenyatta na sasa Ruto serikali ya Kenya ilikuwa katika bonanza la kukopa pesa ndani na nje ya nchi kwa pupa huku ikiwaaminisha raia wake deni lao ni himilivu na kwa ajili ya maendeleo yao. Umefika wakati sasa madeni yameiva, theluthi mbili(60%) ya mapato...
Anaandika Mkurugenzi wa mkuu wa Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) kupitia ukurasa wake wa Facebook
===
Naangalia yanayotokea kwa jirani zetu Kenya; najiuliza: ni nani alitudanganya kwamba hiyo ndiyo maana ya demokrasia?
Ni kweli na ni sahihi kwamba ni lazima wananchi wahoji mamlaka pale...
Umoja wa Mataifa umesema kuwa una wasiwasi sana na vurugu zilizotokea wakati wa maandamano nchini Kenya ambapo takriban watu 16 walifariki huku wengine wakiwa na majeraha huku wakitoa wito wa utulivu na kujizuia
Maandamano ya Jumatano yalianza kwa amani lakini yakaishia kuwa machafuko huku...
https://youtu.be/05F_thApmuY?si=2FY_ab04Lot3yoUn
Hili limetafsiriwa tofauti na wananchi waliokuwa wanamsikiliza. Waziri Murkomen ameliambia jeshi la polisi la Kenya kama atatokea mtu anataka kukudhuru, kuchoma kituo cha polisi au kupora bunduki basi askari wamuwahi kabla.
Ni mda sasa kumekuwa na harakati za gen z kutoka kenya ila tokea wanaanza walijitanabaisha kama ni leaderless hili lilikuwa kosa la kimkakati
Kwenye historia ya dunia kwenye movement yeyote ile lazima kuwe na mbeba maono au kìongozi
Movement yeyote ikikosa kiongozi ambaye sio wa kuchaguliwa...
1. Ilianza na Finance Bill, ikabadilishwa to take care of their demands.
2. Loss of life inaendelea. jana wamekufa 8
3. Rutto amesema watulie atawasikiliza, hawataki
Sasa wanataka nini?
Kamwe msipuuze Wananchi. Wananchi wakipuuzwa na wakakasirika hugeuka kuwa wanyama tena zaidi ya wanyama wa mwituni.
Msidhani kwamba yanayotokea Kenya hayatakuja hapa. Kenya ni karibu na Tanzania.
Binadamu ni kiumbe kinachoiga. Mambo haya huanza kama moto ndani ya pori na kusambaza...
Japo wana mapungufu na mazabe yao, wakenya wanatushinda parefu.
Nchi yao ni chini ya nusu ya Tanzania lakini wana uchumi mkubwa kuliko wetu japo si wao bali waingereza na magabacholi.
Pili, wanajitambua wakati sisi. hatujitambui wala kutambua wengine.
Tatu, Wakenya wanajua wanachotaka kama...
Polisi wa Kenya wachezea kipigo na kuzidiwa na wananchi nchini Kenya je matukio haya yanaweza kuwa na matokeo chanya ya mabadiliko ?
Je, matukio haya yanaweza kukomesha uonevu wa mamlaka kwa wananchi ?
je, matukio haya yanaweza kukomesha mauwaji ya raia yanayofanywa na polisi ?
je, matukio...
Wakuu,
Vituo vya Televisheni vya KTN na NTV vimeondolewa hewani baada ya kuendelea kurusha matangazo ya moja kwa moja ya Maandamano, ikielezwa kuwa ni baada ya kukiuka amri ya kutoonesha matangazo hayo
Soma Pia: Kenya: Serikali yaagiza vyombo vya habari kusitisha matangazo ya moja kwa moja ya...
Wakuu
Gazeti la Daily Nation la Kenya limechapisha orodha ya watu waliofariki kutokana na maandamano ya mwaka 2024 huko Kenya ambao wengi walikuwa ni Genz.
Je kuna gazeti la Tanzania linaloweza kufanya hivi?
===
Mwaka mmoja uliopita, Kenya ilikumbwa na wimbi la maandamano yaliyosababishwa na...
Mamlaka ya Mawasiliano ya Kenya (CAK) imetoa agizo kwa vituo vyote vya runinga na redio nchini kusitisha mara moja matangazo ya moja kwa moja ya maandamano yanayoendelea ya tarehe 25 Juni.
Katika waraka ulioandikwa tarehe 25 Juni 2025 uliowasilishwa kwa "Vituo vyote vya Runinga na Redio"...
Hatimaye imewadia Jumatano iliyosubiriwa kwa hamu tarehe 25 Juni 2025, ambapo Gen Z wa Kenya wanatarajiwa kufanya maandamano, Swali niJe, waandamanaji watakuwa salama dhidi ya polisi?
HALI ILIVYO KABLA YA MAANDAMANO KUANZA
Polisi wametumia waya wenye miba kuzuia lango la kuingia Bungeni kabla...
Afisa ya Mkurugenzi wa Mashtaka ya Umma nchini Kenya (ODPP) imeidhinisha mashtaka ya mauaji dhidi ya watu 6 wakiwemo maafisa wa polisi 3 wakiongozwa na mkuu wa kituo cha polisi cha Central jijini Nairobi Samson Talaam kuhusiana na mauaji ya mwalimu Albert Ojwang kwenye seli za polisi
Hatimaye...
Kauli ya kikwete "zakuambiwa changanya na zako" na ile kauli nyengine ya kusifia uchaguzi wa Kenya kuwa wa uwazi zaidi inatupa picha gani ?
Nilimsikia kikwete anasema ukienda kupiga kura "za kuambiwa chanyanya na zako" pia alisema uchaguzi wa Kenya ni wa uwazi sana kiasi kwamba mtu anaweza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.