Wanabodi poleni kwa majukumu ya kufukuzana na shilingi inayopepea.
Ibara ya 14 ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kisasema 'Kila mtu anayo Haki ya kuishi na kupata kutoka katika jamii hifadhi ya maisha yake, kwa mujibu wa sheria' mwisho wa kunukuu.
Dunia sasa hivi inapitia wakati...