Ibara 36 ya katiba ya Tanzania imempa Rais mamlaka ya kuteua na kutengua anavyotaka. Msimpangie kwa matakwa yenu ya kisiasa

Chagu wa Malunde

JF-Expert Member
Jul 11, 2015
8,708
5,711
Inatia aibu kuona viongozi wa chama kikubwa kama Chadema na wafuasi wao wanataka kuingilia mamlaka ya uteuzi aliyonayo rais wa JMT. Ina maana hamna muda wa kupitia na kuperuzi katiba ya JMT? Kwa namna hii mnafaa kuongoza nchi kama hata vifungu vya katiba ya JMT hamuwezi kuvipitia na kuvielewa?

Ibara ya 36 ya katiba ya JMT imempa malaka makubwa rais kuunda office za umma na kufanya uteuzi/ ketengua anavyotaka yeye mwenyewe bila kuingiliwa na mtu.

Ibara ya 36 (2) imetanabaisha wazi kuwa rais atakuwa na mamlaka ya kuteua/ kutengua watu washike nyazifa ambazo zitakiwa zishikiliwe na watu ambao lazima wateuliwe na rais.

Hivyo basi watanzania mnatakiwa muheshimu mamlaka ya uteuzi aliyonayo rais wa JMT sio kuwa mnahoji bila kuwa na hoja zenye mashiko. Vinginevyo mtapata aibu kubwa.
 
Ndo maana watu wote wenye mapenzi mema na nchi hii na watu wake wanataka katiba mpya.
 
Inatia aibu kuona viongozi wa chama kikubwa kama Chadema na wafuasi wao wanataka kuingilia mamlaka ya uteuzi aliyonayo rais wa JMT. Ina maana hamna muda wa kupitia na kuperuzi katiba ya JMT? Kwa namna hii mnafaa kuongoza nchi kama hata vifungu vya katiba ya JMT hamuwezi kuvipitia na kuvielewa?

Ibara ya 36 ya katiba ya JMT imempa malaka makubwa rais kuunda office za umma na kufanya uteuzi/ ketengua anavyotaka yeye mwenyewe bila kuingiliwa na mtu.

Ibara ya 36 (2) imetanabaisha wazi kuwa rais atakuwa na mamlaka ya kuteua/ kutengua watu washike nyazifa ambazo zitakiwa zishikiliwe na watu ambao lazima wateuliwe na rais.

Hivyo basi watanzania mnatakiwa muheshimu mamlaka ya uteuzi aliyonayo rais wa JMT sio kuwa mnahoji bila kuwa na hoja zenye mashiko. Vinginevyo mtapata aibu kubwa.
tukisema katiba mbovu wewe una tetea katiba hipo safi.itakuja kukuchulia mkeo
 
Inatia aibu kuona viongozi wa chama kikubwa kama Chadema na wafuasi wao wanataka kuingilia mamlaka ya uteuzi aliyonayo rais wa JMT. Ina maana hamna muda wa kupitia na kuperuzi katiba ya JMT? Kwa namna hii mnafaa kuongoza nchi kama hata vifungu vya katiba ya JMT hamuwezi kuvipitia na kuvielewa?

Ibara ya 36 ya katiba ya JMT imempa malaka makubwa rais kuunda office za umma na kufanya uteuzi/ ketengua anavyotaka yeye mwenyewe bila kuingiliwa na mtu.

Ibara ya 36 (2) imetanabaisha wazi kuwa rais atakuwa na mamlaka ya kuteua/ kutengua watu washike nyazifa ambazo zitakiwa zishikiliwe na watu ambao lazima wateuliwe na rais.

Hivyo basi watanzania mnatakiwa muheshimu mamlaka ya uteuzi aliyonayo rais wa JMT sio kuwa mnahoji bila kuwa na hoja zenye mashiko. Vinginevyo mtapata aibu kubwa.
Nani kapinga? Au unatafuta mtu wa kubishana nae ? Naona umemiss upinzani
 
Kama katiba haifuatwi hapa Tz tungeshuhudia mambo mabaya sana.
Mifano ya u unjifu wa Katiba yaa JMT ni Kama ifuatavyo;
1. Rais alipowateua makada wa CCM mwaka 2016 kuwa ma-DAS, DED na DC. Watumishi wa umma hawaruhusiwi kujishughulisha na shughuli za Siasa
2. Alipomteua A. Killangi kuwa AG wakati Killangi alikuwa hajakidhi matakwa ya nafasi hiyo kwa vile hakuwa na miaka 15 ya ku practice uwakili.
3. Kuwafanya ma DED kuwa wasimamizi wa uchaguzi wa 2020 wakati kisheria hawaruhusiwi
4. Kuzuia shughuli za vyama vya Siasa ambavyo vunatambuliwa kisheria
5. Kuiba uchaguzi wa 2020 na kujitangaza kuwa ameshinda kwa 82% huku akijua kuwa kura hazikuhesabiwa, mwakala wa upinzani hawakuruhusiwa kushuhudia
6. Kumteua Bashiru Ally kuwa KMK huku akijua kuwa ni kada wa CCM
7. Kutopandisha mishahara ya watumishi ambao Sheria inataka kila mwaka uongezeke sawa na mfumuko wa Bei
8. Mwaka 2016 kufanya nchi iwe na Kaimu Jaji Mkuu wakati kikatiba Kaimu atakuwapo wakati aliyekuwepo amepata Jambo la dharura.

Anza na hayo
 
Mifano ya u unjifu wa Katiba yaa JMT ni Kama ifuatavyo;
1. Rais alipowateua makada wa CCM mwaka 2016 kuwa ma-DAS, DED na DC. Watumishi wa umma hawaruhusiwi kujishughulisha na shughuli za Siasa
2. Alipomteua A. Killangi kuwa AG wakati Killangi alikuwa hajakidhi matakwa ya nafasi hiyo kwa vile hakuwa na miaka 15 ya ku practice uwakili.
3. Kuwafanya ma DED kuwa wasimamizi wa uchaguzi wa 2020 wakati kisheria hawaruhusiwi
4. Kuzuia shughuli za vyama vya Siasa ambavyo vunatambuliwa kisheria
5. Kuiba uchaguzi wa 2020 na kujitangaza kuwa ameshinda kwa 82% huku akijua kuwa kura hazikuhesabiwa, mwakala wa upinzani hawakuruhusiwa kushuhudia
6. Kumteua Bashiru Ally kuwa KMK huku akijua kuwa ni kada wa CCM
7. Kutopandisha mishahara ya watumishi ambao Sheria inataka kila mwaka uongezeke sawa na mfumuko wa Bei
8. Mwaka 2016 kufanya nchi iwe na Kaimu Jaji Mkuu wakati kikatiba Kaimu atakuwapo wakati aliyekuwepo amepata Jambo la dharura.

Anza na hayo
Nakusihi usichanganye mambo hasa makada kuteuliwa na kushika nyadhifa za UdC, DED au URC au hata CS maana ibara ya 36(2) imeweka wazi kabisa anayo mamlaka ya kuteua / kutengua mtu yoyte. Ana mamlaka ya kuteua persons to hold positions.

La kuiba uchaguzi halina ushahidi.

Kuzia shughuli za vyama vya siasa kasome ibara ya 30(2) (a) utapata majibu. Maana zuio lilikuwa kwa ajili ya public interest.

Kuhusu Ag ibara ya 59 (2) inasema wazi sio lazima upractice uwakili kwa zaidi ya miaka 15, bali uwe na sifa za kuwa wakili kwa zaidi ya miaka 15.


Ila naweza kusema kuna baadhi ya wateule wake na viongozi mihimili wanateleza na kusababisha uvunkifu wa katiba ya JMT. Hili linatakiwa kuangakiwa. Lawama sio kwake unayemlaumu.
 
Nakusihi usichanganye mambo hasa makada kuteuliwa na kushika nyadhifa za UdC, DED au URC au hata CS maana ibara ya 36(2) imeweka wazi kabisa anayo mamlaka ya kuteua / kutengua mtu yoyte. Ana mamlaka ya kuteua persons to hold positions.

La kuiba uchaguzi halina ushahidi.

Kuzia shughuli za vyama vya siasa kasome ibara ya 30(2) (a) utapata majibu. Maana zuio lilikuwa kwa ajili ya public interest.

Kuhusu Ag ibara ya 59 (2) inasema wazi sio lazima upractice uwakili kwa zaidi ya miaka 15, bali uwe na sifa za kuwa wakili kwa zaidi ya miaka 15.


Ila naweza kusema kuna baadhi ya wateule wake na viongozi mihimili wanateleza na kusababisha uvunkifu wa katiba ya JMT. Hili linatakiwa kuangakiwa. Lawama sio kwake unayemlaumu.
Hapa chagu wa malunde hakuna ulichojenga hoja zaidi ya KUMTETEA mtu anayeitumia KATIBA vibaya kwa manufaa yake na ndugu zake. Siwezi kujibu hoja zako leo moja moja kwa kuwa mashabiki wa Meko wanaunga mkono kila anachokosea. Ila muda utakuja sema, yote tunayolalamikia leo yatadhihiri atakapokuja Rais mwingine
 
Hapa chagu wa malunde hakuna ulichojenga hoja zaidi ya KUMTETEA mtu anayeitumia KATIBA vibaya kwa manufaa yake na ndugu zake. Siwezi kujibu hoja zako leo moja moja kwa kuwa mashabiki wa Meko wanaunga mkono kila anachokosea. Ila muda utakuja sema, yote tunayolalamikia leo yatadhihiri atakapokuja Rais mwingine
Ahaaa. Siwezi kutetea mtu akivunja katiba waziwazi.
 
Back
Top Bottom