Superbug
JF-Expert Member
- Jan 31, 2018
- 12,417
- 30,927
Kuna mtu aliwahi kusema humu Jamiiforums kwamba in politics everything happens for a reason. Akimaanisha kwamba lolote ulionalo kwenye siasa halitokei kwa ajali liko well calculated na linafanywa au kusemwa kwa sababu.
Nawaonya wabunge wa CCM mchezo wao na mzaha wao kwenye katiba yetu ni anguko letu sote. Mnaitoboa meli ambayo tumepanda wote, ikizama tutazama wote.
Mkapa RIP aliona mbali na kwenye kitabu chake alisema kuongeza muda wa kukaa madarakani kwa viongozi wa Afrika sio tu ni janga kwa nchi zao Bali pia regional instability ya Kanda nzima. Na akatolea mfano wa Burundi.
Pia alienda mbali akasema Salmin Amour commando alipotaka kujiongezea muda kule Zanzibar alimpinga na akamkemea.
Swali je wabunge wa CCM nyie mna exposure na ufahamu wa Mambo kuliko hayati Mkapa?
Mpaka Sasa kumbukumbu zangu zinaniambia wabunge wa CCM waliochagiza hoja hii ni Hawa wafuatao.
1. Yule wa Nkasi rtd
2.Juma Nkamia
3. Jah pipo wa njombe
4. Msukuma
Cha ajabu Rais mwenyewe kashasema yeye hataki kufanya huo ujinga nyie kwanini mnamlazimisha? Au ndio kujipendekeza kulikopitiliza?
Mtu wa karibu na Rais mh Polepole juzi tu hapa amerudia Tena dhamira ya Rais ya kutojiongezea muda Sasa nyie kimbelembele hiki mnakitoa wapi?
Chondechonde wabunge wa CCM msituharibie nchi yetu kwa upungufu wenu wa akili Kama mnajikomba kwa Rais basi fanyeni kwa Mambo yenu binafsi msilitingishe taifa letu.
Niwaombe wabunge mlioko humu Jamiiforums muwapigie simu hao wabunge wenzenu wasome andiko langu.
Pia naomba magazeti yacopi na kupest hizi hisia zangu juu ya mustakabali wa taifa letu.
Wabunge wa CCM mmetufanyia mengi ya kuudhi sisi watanzania tunawavumilia sasa msitutie vidole vya macho na mataco.
Ukimya wetu sio ujinga.
Nadhani mtatuelewa sisi watanzania wengine.
Nawaonya wabunge wa CCM mchezo wao na mzaha wao kwenye katiba yetu ni anguko letu sote. Mnaitoboa meli ambayo tumepanda wote, ikizama tutazama wote.
Mkapa RIP aliona mbali na kwenye kitabu chake alisema kuongeza muda wa kukaa madarakani kwa viongozi wa Afrika sio tu ni janga kwa nchi zao Bali pia regional instability ya Kanda nzima. Na akatolea mfano wa Burundi.
Pia alienda mbali akasema Salmin Amour commando alipotaka kujiongezea muda kule Zanzibar alimpinga na akamkemea.
Swali je wabunge wa CCM nyie mna exposure na ufahamu wa Mambo kuliko hayati Mkapa?
Mpaka Sasa kumbukumbu zangu zinaniambia wabunge wa CCM waliochagiza hoja hii ni Hawa wafuatao.
1. Yule wa Nkasi rtd
2.Juma Nkamia
3. Jah pipo wa njombe
4. Msukuma
Cha ajabu Rais mwenyewe kashasema yeye hataki kufanya huo ujinga nyie kwanini mnamlazimisha? Au ndio kujipendekeza kulikopitiliza?
Mtu wa karibu na Rais mh Polepole juzi tu hapa amerudia Tena dhamira ya Rais ya kutojiongezea muda Sasa nyie kimbelembele hiki mnakitoa wapi?
Chondechonde wabunge wa CCM msituharibie nchi yetu kwa upungufu wenu wa akili Kama mnajikomba kwa Rais basi fanyeni kwa Mambo yenu binafsi msilitingishe taifa letu.
Niwaombe wabunge mlioko humu Jamiiforums muwapigie simu hao wabunge wenzenu wasome andiko langu.
Pia naomba magazeti yacopi na kupest hizi hisia zangu juu ya mustakabali wa taifa letu.
Wabunge wa CCM mmetufanyia mengi ya kuudhi sisi watanzania tunawavumilia sasa msitutie vidole vya macho na mataco.
Ukimya wetu sio ujinga.
Nadhani mtatuelewa sisi watanzania wengine.