Watanzania hawahitaji mabadiliko ya Katiba ili kulinda miradi mkakati isiyokamilika

Nyankurungu2020

JF-Expert Member
Oct 2, 2020
4,087
6,568
Mbona kila kukicha hapa bongo yanaibuka mapya? Maana katika kupita huku na kule nimekutana na Mbunge mmoja akiomba kama kuna uwezekano basi katiba ya JMT ibadilishwe ili kuwe na kipengele cha kuhakikisha miradi mkakati inayotekelezwa awamu hii ya tano italindwa mpaka ikamilike hata kama rais Magufuli hatakuwepo madarakani.

Mbunge huyu anayo hofu kuwa miradi mkakati mingi haitakamilika awamu hii ya tano. Na baada ya rais Magufuli kutoka madarakani akija rais mwingine huenda akasaini executive order ya kutoikamilisha nae akaanza na miradi mingine. Nafikiri ni mbunge wa Mboka Manyema, Emanuel Mwakasaka.

Hoja yake inaweza kuwa ina mashiko. Maana zaidi ya JNHPP kukamilika kwa wakati, SGR ni kama ndoto.

Lakini je, sisi tunataka katiba mpya ajiri ya miradi mkakati? Hapana tunataka katiba mpya kwa ajili ya mustakabali mwema wa taifa letu kwa kila namna. Mfano ni kuwa na katiba ambayo itahakikisha kila Mtanzania anakuwa na haki sawa bila dhuluma.
 
Kama Rais anaweza kuweka sahihi ya executive order kwenye miradi iliyoachwa na Rais aliyepita ili isikamilike na huo kuwa wasi wasi mkubwa wa Magufuli.

Ni vyema wananchi wafahamishwe miradi ambayo yeye ameiwekea executive order isimalizike, miradi ikiyoanzishwa na ma Rais waliomtangulia.
 
Kama Rais anaweza kuweka sahihi ya executive order kwenye miradi iliyoachwa na Rais aliyepita ili isikamilike na huo kuwa wasi wasi mkubwa wa Magufuli.

Ni vyema wananchi wafahamishwe miradi ambayo yeye ameiwekea executive order isimalizike, miradi ikiyoanzishwa na ma Rais waliomtangulia.
Ili iweje?
 
Kama Rais anaweza kuweka sahihi ya executive order kwenye miradi iliyoachwa na Rais aliyepita ili isikamilike na huo kuwa wasi wasi mkubwa wa Magufuli.

Ni vyema wananchi wafahamishwe miradi ambayo yeye ameiwekea executive order isimalizike, miradi ikiyoanzishwa na ma Rais waliomtangulia.
Amekumbuka yeye alivyoipiga pin bagamoyo port nini?
 
Benki ya masikini ni tumbo lake.

Najua mbunge anapenda SANA KULA na analithamini mno tumbo lake kuliko kichwa chake. Ndio maana haoni haja ya katiba mpya.
 
93B76E54-BC01-4E7A-80BF-D5687FEB88C3.png
 
Mbona kila kukicha hapa bongo yanaibuka mapya? Maana katika kupita huku na kule nimekutana na Mbunge mmoja akiomba kama kuna uwezekano basi katiba ya JMT ibadilishwe ili kuwe na kipengele cha kuhakikisha miradi mkakati inayotekelezwa awamu hii ya tano italindwa mpaka ikamilike hata kama rais Magufuli hatakuwepo madarakani.

Mbunge huyu anayo hofu kuwa miradi mkakati mingi haitakamilika awamu hii ya tano. Na baada ya rais Magufuli kutoka madarakani akija rais mwingine huenda akasaini executive order ya kutoikamilisha nae akaanza na miradi mingine. Nafikiri ni mbunge wa Mboka Manyema, Emanuel Mwakasaka.

Hoja yake inaweza kuwa ina mashiko. Maana zaidi ya JNHPP kukamilika kwa wakati, SGR ni kama ndoto.

Lakini je, sisi tunataka katiba mpya ajiri ya miradi mkakati? Hapana tunataka katiba mpya kwa ajili ya mustakabali mwema wa taifa letu kwa kila namna. Mfano ni kuwa na katiba ambayo itahakikisha kila Mtanzania anakuwa na haki sawa bila dhuluma.
Huyu Mwakasaka ni mpumbavu mmoja asiejielewa ambae asili yake ya kuingia kwenye siasa ni kutokana na wimbi la mkumbo uliowasukuma wafanyabiashara weeengi kutafuta umaarufu wa kisiasa ili kupata unafuu kwa maslahi yao ya utafitaji wa pesa kupitia ubunge au udiwani.

Wimbi hili lilishamiri sana kuanzia chaguzi za miaka ya 2000 katika sehemu mbalimbali za nchi. Huyo Mwakasaka ni katika zao hilo, ni boya mmoja tu asiejua hata siasa maana yake nini ambae alitumia ujinga wa wanyanyembe wenzangu wasiojielewa walikotoka wala wanapokwenda kwa njaa walizonazo na hatimae kwa kibaba cha chakula alichonacho akapakwa mafuta hatimae akawa hapo alipo
 
Mleta mada siku uliyozaliwa ilikuwa ni siku nyeusi sana na haikuhitaji watu kuzaliwa zaidi ya watu kwenda kulima! Ndio maana akili zako ni za karne ya 8 au ya 9.
 
Mbona kila kukicha hapa bongo yanaibuka mapya? Maana katika kupita huku na kule nimekutana na Mbunge mmoja akiomba kama kuna uwezekano basi katiba ya JMT ibadilishwe ili kuwe na kipengele cha kuhakikisha miradi mkakati inayotekelezwa awamu hii ya tano italindwa mpaka ikamilike hata kama rais Magufuli hatakuwepo madarakani.

Mbunge huyu anayo hofu kuwa miradi mkakati mingi haitakamilika awamu hii ya tano. Na baada ya rais Magufuli kutoka madarakani akija rais mwingine huenda akasaini executive order ya kutoikamilisha nae akaanza na miradi mingine. Nafikiri ni mbunge wa Mboka Manyema, Emanuel Mwakasaka.

Hoja yake inaweza kuwa ina mashiko. Maana zaidi ya JNHPP kukamilika kwa wakati, SGR ni kama ndoto.

Lakini je, sisi tunataka katiba mpya ajiri ya miradi mkakati? Hapana tunataka katiba mpya kwa ajili ya mustakabali mwema wa taifa letu kwa kila namna. Mfano ni kuwa na katiba ambayo itahakikisha kila Mtanzania anakuwa na haki sawa bila dhuluma.
Paragraph yako ya mwisho inachefua. Mkuu kinachofanya ubora wa maisha ya watu ni VIONGOZI waadilifu na sio KATIBA.

UZURI wa KATIBA ni Sawa na kuwa na MASTER'S DEGREE halafu huna kazi. Au mwanamke kuwa mzuri halafu hana mume.

Tuanze kutengeneza watu wazalendo kwanza na wataokuwa waadilifu kisha hata kama KATIBA haitokuwepo mambo yatakwenda.
 
Back
Top Bottom