Kenya wana Katiba nzuri na kuna ufisadi mkubwa

Bowie

JF-Expert Member
Sep 17, 2016
4,372
6,078
Ni jambo la kushangaza sana taifa la Kenya kuwa na katiba bora Afrika Mashariki lakini Ufisadi ni mkubwa sana. Asilimia kubwa ya budget ya serikali inaishia kwenye mifuko ya viongozi wa majimbo.

Tumeona pia kuelekea uchaguzi mkuu mwakani hali ya kisiasa ikizidi kuchafuka na chuki za kisiasa kwenye jamii katika nchi hiyo ikizidi kuongezeka.

Je, Kenya inafaa kurudi kwenye mfumo wa chama kimoja ili kulinda umoja na kuondoa Ufisadi nchini humo?
 
Ni katiba nzuri inayofanya tutambue tuna ufisadi. Tungekuwa nayo ovyo kama Tanzania tungekuwa tu kama wao - yani kuna ufisadi na hatujui kama upo, tunadhani haupo.
 
Ni katiba nzuri inayofanya tutambue tuna ufisadi. Tungekuwa nayo ovyo kama Tanzania tungekuwa tu kama wao - yani kuna ufisadi na hatujui kama upo, tunadhani haupo.
Katiba Nzuri yenye kuwafanya kutambua na kubariki ufisadi, lakini haina uwezo Wa kuzuia na kupambana na ufisadi, only in Kenya hiyo ndio definition ya katiba Nzuri, kutambua bila kuzuia ufisadi.
 
Back
Top Bottom