PostGE2025 Kurejesha na kulinda heshima ya Taifa letu Rais Samia ajiuzulu, uchaguzi urudiwe tukiwa na Katiba mpya

PostGE2025 Kurejesha na kulinda heshima ya Taifa letu Rais Samia ajiuzulu, uchaguzi urudiwe tukiwa na Katiba mpya

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections

Idugunde

JF-Expert Member
Joined
May 21, 2020
Posts
7,462
Reaction score
9,470
Taifa letu limechafuka. Sio tu kuwa limepata doa kama yeye mwenyewe rais Samia alivyosema bali limechafuka.

Anaonekana kuwa sio rais halali na ameingia madarakani kwa mtutu wa Bunduki kwa kumwaga damu za raia wasiomtaka kuwa kiongozi wao.

Waangalizi toka jumuia ya SADC waliweka wazi kuwa kulikuwa hakuna uchaguzi.

Taasisi ya Thabo Mbeki rais mstaafu wa Afrika kusini amesema rais Samia sio rais halali wa Tanzania.

Huko Ulaya na Marekani ni kama sasa wanataka kututenga kisa tu hatuna rais halali bali aliyepatikana kwa mauaji ya kutisha.

Ajiuzulu na uchaguzi urudiwe na taifa letu lijisafishe.

Mafisadi wote wa CCM mtandao wafikishwe mahakamani kwa kuleta matatizo kwa taifa letu.
 
Taifa letu limechafuka. Sio tu kuwa limepata doa kama yeye mwenyewe rais Samia alivyosema bali limechafuka.

Anaonekana kuwa sio rais halali na ameingia madarakani kwa mtutu wa Bunduki kwa kumwaga damu za raia wasiomtaka kuwa kiongozi wao.

Waangalizi toka jumuia ya SADC waliweka wazi kuwa kulikuwa hakuna uchaguzi.

Taasisi ya Thabo Mbeki rais mstaafu wa Afrika kusini amesema rais Samia sio rais halali wa Tanzania.

Huko Ulaya na Marekani ni kama sasa wanataka kututenga kisa tu hatuna rais halali bali aliyepatikana kwa mauaji ya kutisha.

Ajiuzulu na uchaguzi urudiwe na taifa letu lijisafishe.

Mafisadi wote wa CCM mtandao wafikishwe mahakamani kwa kuleta matatizo kwa taifa letu.
bia zmetosha rudi nyumban sasa
 
Ndoto za alinacha, millioni 32 tumempigia kura
 
Taifa letu limechafuka. Sio tu kuwa limepata doa kama yeye mwenyewe rais Samia alivyosema bali limechafuka.

Anaonekana kuwa sio rais halali na ameingia madarakani kwa mtutu wa Bunduki kwa kumwaga damu za raia wasiomtaka kuwa kiongozi wao.

Waangalizi toka jumuia ya SADC waliweka wazi kuwa kulikuwa hakuna uchaguzi.

Taasisi ya Thabo Mbeki rais mstaafu wa Afrika kusini amesema rais Samia sio rais halali wa Tanzania.

Huko Ulaya na Marekani ni kama sasa wanataka kututenga kisa tu hatuna rais halali bali aliyepatikana kwa mauaji ya kutisha.

Ajiuzulu na uchaguzi urudiwe na taifa letu lijisafishe.

Mafisadi wote wa CCM mtandao wafikishwe mahakamani kwa kuleta matatizo kwa taifa letu.
Huyo Kitimoto hawezi kukubali labda lije WINCHI kumtoa.
 
Labda ICC wamvizie halafu wamkwapue, au akimbie nchi kwa shinikizo la Gen Z kama wataendelea kukaza. Ila kwa hiari yake tu, kamwe hawezi kujiuzulu. Huyo maza nimegundua ni mtata sana.
 
Samia ndio ametufikisha kwenye machafuko na kwa hali ilivyo machafuko hayaepukiki labda ajiuzulu.

Tangu uchaguzi bandia nchi imevurugika hii na haitawaliki na haito tawalika.
 
Subiria kwanza tupate stock mpya mwana nyamala ndo ataondoka
 
Back
Top Bottom