MADA: Kati ya Amani na haki ipi ianze mwanzo

MADA: Kati ya Amani na haki ipi ianze mwanzo

Stunnaman008

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2022
Posts
384
Reaction score
413
Mimi maoni yangu
Amani ni mlango wa haki. Huwezi kudai haki kwa bunduki mkononi. Hebu kwanza tuweke amani, ndipo tuketi mezani tuzungumze haki.

MADA: Amani vs Haki - Ipi ije Kwanza?

Wadau,
Tumekuwa tukisikia watu wakisema "tunataka amani" na wengine wakisema "tunataka haki".

Swali langu ni moja tu:
Kama ni kulazimika kuchagua kimoja, ni ipi inapaswa kuja kwanza? AMANI au HAKI?

Wewe unaonaje? Toa hoja yako kwa heshima.
 
Sikuaminishi! Nasema kutokana na uzoefu wangu.
Kwenye ugomvi kuna mmoja lazima tu ndo huwa anakua chanzo, mtu akipata haki yake au asipochokozwa amani lazima iwepo
Hakuna choyo, chuki etc vinavyo sababisha ugomvi mkuu
 
Bila amani, haki haiwezi kutekelezwa.

  • Vita/vurugu haziruhusu mahakama, mazungumzo, wala sheria kufanya kazi.
  • Ili mtu apate haki yake anahitaji mazingira tulivu kwanza.
  • Mfano: Kwenye familia yenye ugomvi, lazima kwanza wakae kimya, ndipo washughulikie nani ana kosa.
 
Mimi maoni yangu
Amani ni mlango wa haki. Huwezi kudai haki kwa bunduki mkononi. Hebu kwanza tuweke amani, ndipo tuketi mezani tuzungumze haki.

MADA: Amani vs Haki - Ipi ije Kwanza?

Wadau,
Tumekuwa tukisikia watu wakisema "tunataka amani" na wengine wakisema "tunataka haki".

Swali langu ni moja tu:
Kama ni kulazimika kuchagua kimoja, ni ipi inapaswa kuja kwanza? AMANI au HAKI?

Wewe unaonaje? Toa hoja yako kwa heshima.
Kunapokuwa na Haki,Amani huja automatically (Yenyewe)bila kulazimishwa!
 
Bila amani, haki haiwezi kutekelezwa.

  • Vita/vurugu haziruhusu mahakama, mazungumzo, wala sheria kufanya kazi.
  • Ili mtu apate haki yake anahitaji mazingira tulivu kwanza.
  • Mfano: Kwenye familia yenye ugomvi, lazima kwanza wakae kimya, ndipo washughulikie nani ana kosa.
Hapo wanatafuta Haki ili Amani iendelee!
 
Kunapokuwa na Haki,Amani huja automatically (Yenyewe)bila kulazimishwa!
Nakubali haki inaleta amani. Lakini je, wakati tunasubiri haki itendeke, je tuache vurugu ziendelee? Amani ya muda inahitajika pia ili haki ipate nafasi ya kutendeka.
Pia sikatai. Lakini historia imetufundisha kuwa haki inachelewa. Kama tukisubiri haki ndipo tuwe na amani, basi tutaishi kwenye machafuko kwa miaka mingi. Amani ya haraka inatupa muda wa kudai haki."
 
Sahihi. Lakini haki ipate njia ya amani, sio njia ya vurugu
 
Mimi maoni yangu
Amani ni mlango wa haki. Huwezi kudai haki kwa bunduki mkononi. Hebu kwanza tuweke amani, ndipo tuketi mezani tuzungumze haki.

MADA: Amani vs Haki - Ipi ije Kwanza?

Wadau,
Tumekuwa tukisikia watu wakisema "tunataka amani" na wengine wakisema "tunataka haki".

Swali langu ni moja tu:
Kama ni kulazimika kuchagua kimoja, ni ipi inapaswa kuja kwanza? AMANI au HAKI?

Wewe unaonaje? Toa hoja yako kwa heshima.
Mleta mada ni zuzu ...hajui maana ya haki na kazi ya haki...kwa kifupi tu nikuelimisheni nyinyi mazuzu wa dunia ..

💥MAANA YA HAKI
Haki ni staili halali ya mtu au watu.

💥KAZI YA HAKI
Kazi ya kaki ni kuleta amani kwa wanao shairi amani na kuiondoa amani kwa wanao shairi kuondolewa amani..hii ndiyo kazi ya haki..

Hivyo mnaosema kuwa amani ni tunda la haki pia hampo sahihi sana kwa sababu haki tumeona ina kazi mbili nazo ni
1)kuleta amani
2)kuondoa amani
-kuleta amani kwa wanaostairi amani
-kuondoa amani kwa wasio stairi amani.

Hapa tuonaona majukumu mawili ya haki siyo moja mnalo linadi nyinyi, la kuleta AMANI TU...
LEO HII TANZANIA , WATU WAOVU NDIYO WENYE AMANI NA WATU WEMA WANAOKEMEA MAOVU NA KUTENDA MEMA NDIYO WAMEONDOSHEWA AMANI.

Hii ni list ya baadhi ya watu waovu wenye amani kwa sasa...
1)Rostam azizi na familia yake
2)muhuni shekhe mwaipopo.
3)kikwete na familia yake
4)gsm
5)Samia na familia yake
6)mafwele.

Hivyo kazi ya haki ni kuondoa amani ya watu waovu na kuleta amani kwa watu wema , ndiyo maana mnaona MASHEKH NA MAFISADI NA WAHUNI WA CCM WANACHUKIA SANA NENO HAKI .
 
Mimi maoni yangu
Amani ni mlango wa haki. Huwezi kudai haki kwa bunduki mkononi. Hebu kwanza tuweke amani, ndipo tuketi mezani tuzungumze haki.

MADA: Amani vs Haki - Ipi ije Kwanza?

Wadau,
Tumekuwa tukisikia watu wakisema "tunataka amani" na wengine wakisema "tunataka haki".

Swali langu ni moja tu:
Kama ni kulazimika kuchagua kimoja, ni ipi inapaswa kuja kwanza? AMANI au HAKI?

Wewe unaonaje? Toa hoja yako kwa heshima.
Usitupotee muda wa kuikomboa nchi.
 
Mleta mada ni zuzu ...hajui maana ya haki na kazi ya haki...kwa kifupi tu nikuelimisheni nyinyi mazuzu wa dunia ..

💥MAANA YA HAKI
Haki ni staili halali ya mtu au watu.

💥KAZI YA HAKI
Kazi ya kaki ni kuleta amani kwa wanao shairi amani na kuiondoa amani kwa wanao shairi kuondolewa amani..hii ndiyo kazi ya haki..

Hivyo mnaosema kuwa amani ni tunda la haki pia hampo sahihi sana kwa sababu haki tumeona ina kazi mbili nazo ni
1)kuleta amani
2)kuondoa amani
-kuleta amani kwa wanaostairi amani
-kuondoa amani kwa wasio stairi amani.

Hapa tuonaona majukumu mawili ya haki siyo moja mnalo linadi nyinyi, la kuleta AMANI TU...
LEO HII TANZANIA , WATU WAOVU NDIYO WENYE AMANI NA WATU WEMA WANAOKEMEA MAOVU NA KUTENDA MEMA NDIYO WAMEONFOSHEWA AMANI.

Hii ni list ya baadhi ya watu waovu..
1)Rostam azizi na familia yake
2)muhuni shekhe mwaipopo.
3)kikwete na familia yake
4)gsm
5)Samia na familia yake
6)mafwele.

Hivyo kazi ya haki ni kuondoa amani ya watu waovu na kuleta amani kwa watu wema , ndiyo maana mnaona MASHEKH NA MAFISADI NA WAHUNI WA CCM WANACHUKIA SANA NENO HAKI .
Hili ni tatizo mkuu
 
Mleta mada ni zuzu ...hajui maana ya haki na kazi ya haki...kwa kifupi tu nikuelimisheni nyinyi mazuzu wa dunia ..

💥MAANA YA HAKI
Haki ni staili halali ya mtu au watu.

💥KAZI YA HAKI
Kazi ya kaki ni kuleta amani kwa wanao shairi amani na kuiondoa amani kwa wanao shairi kuondolewa amani..hii ndiyo kazi ya haki..

Hivyo mnaosema kuwa amani ni tunda la haki pia hampo sahihi sana kwa sababu haki tumeona ina kazi mbili nazo ni
1)kuleta amani
2)kuondoa amani
-kuleta amani kwa wanaostairi amani
-kuondoa amani kwa wasio stairi amani.

Hapa tuonaona majukumu mawili ya haki siyo moja mnalo linadi nyinyi, la kuleta AMANI TU...
LEO HII TANZANIA , WATU WAOVU NDIYO WENYE AMANI NA WATU WEMA WANAOKEMEA MAOVU NA KUTENDA MEMA NDIYO WAMEONFOSHEWA AMANI.

Hii ni list ya baadhi ya watu waovu..
1)Rostam azizi na familia yake
2)muhuni shekhe mwaipopo.
3)kikwete na familia yake
4)gsm
5)Samia na familia yake
6)mafwele.

Hivyo kazi ya haki ni kuondoa amani ya watu waovu na kuleta amani kwa watu wema , ndiyo maana mnaona MASHEKH NA MAFISADI NA WAHUNI WA CCM WANACHUKIA SANA NENO HAKI .
Asante kwa kuelimisha. Nakubaliana kuwa haki ina pande mbili: kulinda wema na kukemea uovu.

Lakini lengo la mwisho la haki sio kuondoa amani, bali ni kurejesha usawa ili amani ya kudumu ipatikane kwa wote. Amani bila haki ni ukimya wa kulazimisha, na haki bila amani inakuwa kisasi.

Tukipigania haki, tuipiganie kwa njia ya sheria na hoja, sio kwa chuki za kibinafsi. Ndipo Tanzania itapata amani na haki pamoja."

Tumekuelewa. Haki ni upanga wenye makali mawili. Ila kama lengo letu ni Tanzania, basi tuitumie haki kujenga, sio kubomoa."
 
Back
Top Bottom