PAZIA 3
JF-Expert Member
- Jan 30, 2018
- 1,074
- 1,856
Kuna kijana mmoja kampeni meneja wa John Pambalu huko Mwanza ana trend Sana YouTube, anasema, " ukitaka kumuua mbwa mpe majina yote mabaya"
Hii Ina maana gani?
Kwangu Mimi, nakubaliana na slogan hii, huwezi kumuua mbwa kwa kumwita majina uyapendayo, utamhurumia, lakini ukimpakaza majina mabaya, utamuona mwepesi asiyefaa hata kumuona ama kumsaidia.
Kwenye siasa ndicho kinachotumia wa wanasiasa wanawaita wananchi wanyonge ili wasiweze kufikiri kishujaa, kusema ukweli kijana anaongea facts, inabidi aongozane na T. Lissu
Hii Ina maana gani?
Kwangu Mimi, nakubaliana na slogan hii, huwezi kumuua mbwa kwa kumwita majina uyapendayo, utamhurumia, lakini ukimpakaza majina mabaya, utamuona mwepesi asiyefaa hata kumuona ama kumsaidia.
Kwenye siasa ndicho kinachotumia wa wanasiasa wanawaita wananchi wanyonge ili wasiweze kufikiri kishujaa, kusema ukweli kijana anaongea facts, inabidi aongozane na T. Lissu