Mkuu ulitaka iandikwe kama ilivyo?Sasa na hiyo ni sera ya chama au? Chadema wamekuwaje jamani?waswahili wanasema ukikosa hela ukiitwa bar kila mwanaume mwenzako unamwita kiongozi ili akununulie bia ha ha chadema kuweni wanaume leteni sera bambav
Ukisoma michango ya watu kwenye hii mada lazima uamini kuna watu wanalipwa ili tu kujibu ujinga.
Dalili ya chadema kuishiwa!
Itawandika waropokaji kama huyo Mwalimu! Amina!Laana ya Mungu ikutandike wewe na kizazi chako chote , Amina
Magufuli anaposema uliposimama umekanyaga mkono ndio sera ya CCM.Sasa na hiyo ni sera ya chama au? Chadema wamekuwaje jamani?waswahili wanasema ukikosa hela ukiitwa bar kila mwanaume mwenzako unamwita kiongozi ili akununulie bia ha ha chadema kuweni wanaume leteni sera bambav
Walivyo minywa mirija kuingiza fwedha chafu wameanza kubwabwaja! Mwambieni mbowe arudishe michango ya wabunge!
Huwezi kumpangia mtu afanye kitu utakavyo wewe!! Amedokeza tu kuwa linasemwa hilo. Kama ni uongo, hakuna madhara. Kama ni kweli, ameahidi kuleta ushahidi. Mbona limekuchoma hivyo?!! Hahahaha.........siasa huziwezi ndugu. Huna ngozi ngumu imstahilivyo mwanasiasa!!!!Alikuwa ana haraka gani ya KUROPOKA kabla hajamaliza kukusanya ushahidi? Kwani angesubiri hadi akapata ushahidi wote ndio aseme angepukiwa nini? Pumbavu!
Kama ataukamilisha na kuutoa hadharani, ni tag tafadhali!Kasema wanakamilisha ushahidi.
Sasa na hiyo ni sera ya chama au? Chadema wamekuwaje jamani?waswahili wanasema ukikosa hela ukiitwa bar kila mwanaume mwenzako unamwita kiongozi ili akununulie bia ha ha chadema kuweni wanaume leteni sera bambav