GT
Labda mimi ni Mshamba kiukweli hakuna kitu sipendi kama marashi yenye harufu kali tena unakutana kidume kabisa kapiga da nomaa sana.
Yaani unaanza kusikia harufu akiwa umbali wa mita 15 sasa huyo mtu akusogelee hatari tupu akikaa sehemu atacha harufu ya marashi yake hata siku nzima...
DESIGN YA VYUMBA 4 ,
1. LOUNGE
2.DINNING & KITCHEN
3.2BEDROOMS SELF
4.1BEDROOM SINGLE NEAR PUBLIC BATHROOM
5.MASTER BEDROOM WITH CLOSET AND SPECIOUS BATHROOM
6.BARAZA 2, COST MPAKA KUPAUA NA VERSATILE 45M
TUNAPATIKANA SINZA PALESTINA
CALL/WHATSAP +255624004650
Hivi karibuni ulaya itasambaratika na kuwa eneo jipya la mapigano ya kivita, ulaya haifahamu kuwa Israel ambayo imekuwa ni uzio kwao wa kuwazuia itikadi kali na magaidi ambao ndio wapangaji wa machafuko ya dunia
Leo hii ulaya inajifanya kuwa "politicall correct" kwa kuwapa fursa na nafasi...
Abdullah al-Faisal (alizaliwa kama Trevor William Forrest)
Asili:
Alizaliwa mwaka 1963 huko St. James, Jamaica. Alisilimu akiwa na umri wa miaka 16, na kuchukua jina la Kiislamu: Sheikh Abdullah al-Faisal.
Alisomea Uislamu nchini Saudi Arabia katika Chuo Kikuu cha Imamu Muhammad bin Saud...
Rafiki Yetu Cheda: Alivyopotezwa na Itikadi Kali ya Dini”
Utangulizi wa Kijiweni:
Basi ndugu yangu msomaji, leo ngoja nikupe story nzito ya maisha halisi ya jamaa yetu tuliyesoma naye Minaki—jina lake Francis, ila sisi tulimzoea kumuita Cheda. Hii sio hadithi ya kufikirika, ni ukweli wa...
Lesotho usiku huu utadhani Urusi wakati wa winter.
Temperature zimeshuka hadi -4°C
Johannesburg 8° C, Cape town 13° C, Harare 14°C, Gaborone 9°C
Dar es salam 24°C
Arusha 17° C, Njombe 9°C, Majinga 13°C
https://youtube.com/shorts/zOagRFdGUsA?si=iDT6m21Z3CuZ71aQ
Mitsubishi Outlander PHEV ni moja ya magari ya plug-in hybrid yanayoongoza duniani, likiwa na mchanganyiko wa teknolojia ya engine ya petroli na mfumo wa umeme.
Mfumo wa Injini
Outlander PHEV inatumia injini ya petrol ya cc 2,000 ikiwa na 4-cylinders, pamoja na mfumo wa umeme unaotoa jumla ya...
Husika na kichwa Cha Habari
Wadau naombeni muongozo hapa, je hii kitu ni sawa?
Kwenye makazi ya watu mtu nyumbani kwake anachanganya sumu Kali zenye harufu Kali za kuua wadudu mashambani na kwenye mazao , hivyo harufu inasambaa kwa majirani na watoto are present
Hivi hizi sumu si ndio...
Hii hapa orodha ya SUV 3 za kifahari kutoka China,nmechagua chache zilizonivutia zaidi mchina anakuja vizuri sana kwenye tech gari zipo kisasa sn aisee pia zinavutia sana ndani na zinafeatures nyingi, kuna Aito M9, Li Auto L9, na Denza N9 zikiwa na bei kwa TZS.
🚙 1. Aito M9
🇨🇳 Brand: AITO...
HOUSE FOR SALE:
LOCATION: BAHARI BEACH
SQM: 1,200
Nyumba Ina vyumba vinne
PRICE: 450 Million negotiable.
Hati ipo.
Hii unfinished house ina
Sitting room: 1
Modern windows, ✅
Kitchen, ✅️
Dining room, ✅️
Parking,✅️
Garden, ✅️
Good neighbourhoods, ✅️
🇹🇿Call/WhatsApp +255758844717...
Niaje wakuu???
Isivyo bahati mimi naenjoy zaidi mziki kwa mafungu kwaio Albums na EPs ndio mambo yangu, kibongo bongo ii ndio listi yangu ya Albums na EPs ninazopenda kuskiliza;
1. MBUZI - Young Lunya
2. MONEY MONDAYS - V-Money
3. BOYFRIENDS LIFE - Bruce Africa
4. The Kid you know - Marioo...
Watu hawasomi copy zako kwa sababu ni nzuri — wanasoma kwa sababu wanajihisi kama wewe unajua tatizo lao. Copy nzuri haizungumzii bidhaa. Inaingia kichwani kwa mteja, inamgusa rohoni, kisha inamsukuma kuchukua hatua kama mtu aliyelogwa.
🧩 Subtopic 1: Fahamu Unamwandikia Nani
Maswali ya...
Kama nilivosema hapo juu, hapa shinyanga kuna soko maarufu sana linaiywa nguzo nane. Kero yangu ni kwamba, hili soko linatiririsha maji machafu yenye harufu kali sana kwenye mfereji wa barabara naomba wahusika wachukue hatu kwani ni kero kubwa lakin pia ni hatari kwa afya ya watumiaji wa soko hili
Sijui kama wanaigiza au wako Real lakini inagusa sana unaposikiliza ndani yako unaiona nia njema ya hawa watoto.
Watoto hawa si tu waimbaji, bali ni vyombo vya Mungu vinavyoleta uzima kwa sauti zao. Walipoimba, kila neno lilijaa upendo, kila sauti iligusa moyo. Waliimba kama malaika...
Wasaalam wanajukwaa nina imani mna afya njema.
Kadri miaka inavyoenda, karne, kizazi kubadilika ndivyo binadamu hubadilika. Nirudi kwenye mada.....
Wanaume wanazidi kupungua sana duniani kutokana na sababu mbalimbali kv; magonjwa, kazi ngumu, mawazo, vita ajali, migogoro, malezi n.k. nimeandika...
1. St Judy schools
2. vision fund
3. Halmashauri za wilaya
4. Akiba commercial bank
5. Tanzania commercial bank
6. Dcb bank
7. Dtb bank
8. IPP media
9. Toyota Tanzania
10 . Car & General Trading Ltd
11. Rotana Hotel
12.J eshi la Magereza
13 . Jeshi la zimamoto
14. Kampuni za ulinzi
15. Mahakama...
---
📌 Elimu kwa Wafugaji – Ugonjwa wa Ndigana Kali (East Coast Fever – ECF) kwa Ng’ombe
---
🔬 ECF ni nini?
Ni ugonjwa hatari unaowashambulia ng’ombe, husababishwa na kimelea aitwaye Theileria parva, anayeenezwa na kupe aina ya Brown Ear Tick (Rhipicephalus appendiculatus).
---
🚨 Dalili za...
Hawa ndio wanao-force watoto wenu wasome vitabu vyenye details za kishoga shoga mashuleni.
Hawa ndio wanaoforce uwezekano wa kumbadili mtoto wako jinsia ukihisi tu ana elements za jinsia ambayo sio alionayo.
Hawa ndio wanao -force mwanamke afanye abortion kwa namna na wakati wowote aupendao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.