kagera

Kagera is one of Tanzania's 31 administrative regions. The region is located in the northwestern corner of Tanzania on the western shore of Lake Victoria. The region neighbors Uganda, Rwanda, and Burundi and lies across the lake from Kenya. The region was known as West Lake before June 1979. The regional capital is the city of Bukoba. According to the 2012 national census, the region had a population of 2,458,023, which was lower than the pre-census projection of 2,763,329. For 2002-2012, the region's 3.2 percent average annual population growth rate was tied for the third highest in the country. It was also the ninth-most densely populated region, with 97 people per square kilometer.On September 10th 2016, the region was struck by an earthquake measuring 5.9 on the moment magnitude scale.
It was the biggest earthquake to have been recorded in Tanzania.Its attempted annexation by Uganda in 1978 triggered the Uganda–Tanzania War which culminated in the overthrow of Ugandan dictator Idi Amin on April 11, 1979, at the Fall of Kampala.

View More On Wikipedia.org
  1. M

    JamiiForums Tanzania SoC01 Kagera: Jitihada za kuleta Maendeleo na kuondoa Umasikini uliokithiri

    MAENDELEO NA KAGERA Dhana ya maendeleo watu wengi huitafakari tofauti kabisa. Wataalamu wengi husema maendeleo ni ile hali ya kutoka kwenye hali duni kwenda kwenye hali bora( hali yenye unafuu kuliko ya awali) Watu wengine hudhani maendeleo ni mfano kupatikana kwa umeme, barabara safi tena za...
  2. BabaMorgan

    JamiiForums Tanzania Mkoa wa Kagera umebarikiwa kuwa na vyanzo vingi vya maji

    Tanzania ni nchi kubwa kwa eneo na wachache pekee ndio wamepata fursa ya kuizunguka na kufahamu huku wengi wetu tofauti na mazingira yanayotuzunguka tumekuwa hatuna taarifa na uelewa wa sehemu nyingine za nchi yetu pendwa Tanzania. Ni jukumu la Kila Raia wa Tanzania kwa nafasi yake kutangaza...
  3. kiwatengu

    JamiiForums Tanzania Mkoa wangu wa Kagera tunakwama wapi?

    Wakuu mambo vipi? Mimi ni mzaliwa wa Wilaya ya Misenyi mkoa wa Kagera, Kijiji cha Rusinga! Pia Nsunga ni kwetu. Nimekulia mkoa wa Kilimanjaro so Naifahamu Kagera vizuri na Naifahamu Kilimanjaro vizuri sana. Hoja yangu naileta kutokana na Spika Ndugai jana kutuzodoa wana Kagera kuwa hatuna...
  4. demigod

    JamiiForums Tanzania Je, ni Busara au kanuni ambayo Itatumika kuamua Kesi ya Mhilu (Simba SC) vs Kagera Sugar?

    Tukirudi nyuma kabisa historia inawatambua kuwa Simba SC ndiyo klabu pekee Tanzania. Tukumbuke ishu ya Singano, Yondani, Chuji na Hassan Kessy hawa wote walisepa pale kwasababu ya changamoto ya kuchezewa mikataba yao na uongozi wa Simba SC Dirisha hili la usajili wamesha fanya yao. Yaani...
  5. Linguistic

    JamiiForums Tanzania Wakuu hili la Yusuf Mhilu limekaaje kwa sheria za soka?

    Wakuu Nielewesheni Wajuzi tafadhali! Zinazuka Taarifa za kimkataba hapa kuhusu Hii ishu ya Yusuf Mhilu na Sakata la usajili wake kama si Usahili . Nasikia hii ya Release Clause ,Kwamba hii haikuwepo kimkataba kuipa nguvu Dili upande wa klabu ya Kagera , SAWA Nasikia hii ishu ya Kipengele cha...
  6. M

    JamiiForums Tanzania Bukoba: Viongozi wa CHADEMA Mjini wakamatwa na Jeshi la Polisi

    Taarifa kutoka Bukoba mjini zinasema kuwa Jeshi la Polisi mkoani Kagera limewakamata viongozi wa CHADEMA na makada wa chama hicho waliokuwa wanafanya kikao cha kawaida katika ofisi za CHADEMA mkoani humo. Hivyo ndivyo Jeshi la Simon Sirro lilivyogeuka kuwa jeshi la uonevu, uonevu huu mpaka...
  7. Shadow7

    JamiiForums Tanzania Kagera: Ateketea kwa moto gesti

    MTU mmoja mkoani Kagera aliyetajwa kwa jina la Neema Bayo (49) aliyekuwa ndani ya moja ya vyumba vya nyumba ya kulala wageni inayojulikana kwa jina la Anti iliyoko wilayani Muleba mkoani Kagera amepoteza maisha kwa kuteketea kwa moto ulioteketeza nyumba hiyo ambao hadi sasa chanzo chake...
  8. Matanga

    JamiiForums Tanzania Historia ya Vita ya Kagera 1978-1979

    Luteni wa jeshi la Uganda (UPDF) alivyo ziingiza vitani Tanzania na Uganda. #Sehemu #ya - 1 Kuanzia leo nitawaletea makala mfululizo zinazohusu Vita ya Kagera kati ya Tanzania na Uganda iliyodumu kwa miezi sita kati ya mwaka 1978 hadi 1979. Vita hiyo ilianzia mkoa wa Kagera unaopatikana...
  9. mwanamwana

    JamiiForums Tanzania Kagera: Mkuu wa Mkoa apiga marufuku mikusanyiko isiyo lazima ili kukabiliana na Corona

    Mkuu wa mkoa wa Kagera, Meja Jenerali Charles Mbuge, amepiga marufuku mikusanyiko yote isiyokuwa ya lazima na kuwataka wananchi kuzingatia kanuni za afya ili kuzuia kasi ya maambukizi ya virusi vya Corona. Meja Jenerali Mbuge amesema hatua hiyo inatokana na mkoa wa Kagera kupakana na nchi nne...
  10. Hae Mosu

    JamiiForums Tanzania Kilio kwa Meneja wa PSSSF Kagera

    Habari ya kazi! Pole na majukumu.Mi nina dukuduku ambalo linasumbua watu wengi hasa watu wanaohitaji huduma hasa mafao Ya Uzazi. Tatizo lililopo ofisini kwako hapo ni kwamba kumekuwa na usumbufu mkubwa kwa watumishi wa umma wanapokuwa wanafuatilia mafao yao hasa ya uzazi kuanzia kwenye upokeaji...
  11. Komeo Lachuma

    JamiiForums Tanzania Wakati Nyerere na Familia yake (Mke na Watoto wakishiriki vita ya Kagera miaka hiyo) Marais waliofuata wanashirikiana na familia zao kutufisadi

    Nimewaza sana. Katika marais waliofuata nani angeruhusu mkewe au mtoto wake ashiriki kwenye vita kwa njia moja au nyingine? Hamna. Wanashirikiana mke na watoto/ mtoto na baba yao kutuibia mali zetu Watanzania. Kuanzisha Makampuni na kutuingiza mikataba ya Kichifu Mangungo wa Msovero. Wananchi...
  12. Red Giant

    JamiiForums Tanzania Kwanini nchi ya Rwanda imeendelea kuliko Mkoa wa Kagera?

    Habari wa ndugu. Ni swala ambalo liko wazi kuwa nchi ya Rwanda imeendelea kwa vipimo vingi ukilinganisha na mkoa wa Kagera. Hizi sehemu mbili zimepakana na hali ya hewa na mambo mengine wanafanana kwa karibu sana. Lakini ukiangalia sehemu hizi mbili utaona kama Kagera ina Advantage ya kuwa...
  13. Erythrocyte

    JamiiForums Tanzania Freeman Mbowe awasili Mkoani Kagera kuhudhuria Mazishi ya Profesa Baregu

    Mwamba Freeman Mbowe , Mtemi Isike , ambaye pia ameteuliwa kuwa Kiongozi wa Wamasai na Wazee wa Arusha au MTU CHUMA kama anavyoitwa na Vijana wa kisasa , tayari amewasili mkoani Kagera kushiriki Maziko ya Mjumbe Mstaafu wa Kamati Kuu ya Chadema , Mwesigwa Baregu . Taarifa zinaonyesha kwamba...
  14. Replica

    JamiiForums Tanzania Esther Matiko: Umeme Tanzania ni Ghali sana, Kagera elfu 10 unapata unit 80 kutoka Uganda badala ya 28

    Mbunge wa viti maalum kupitia chama cha CHADEMA, Esther Matiko amelalamikia gharama kubwa za umeme Tanzania huku akitolea mfano wakazi wanaoishi Kagera na kutumia umeme kutoka Uganda wanalipia 10,000 na kupata unit 80 ilihali kwa fedha hiyo Tanzania inanunua unit 28 pekee.
  15. LAPSE RATE

    JamiiForums Tanzania DED wa Kyerwa ni tatizo kwa Watumishi

    Wapendwa habari za muda huu? Nimeona niandike uzi huu nikiwa na masikitiko kuhusu huyu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Kyerwa mkoani Kagera aitwaye Shedrack Mhagama. Huyu mheshimiwa amekuwa ni tatizo kwa watumishi wanaofanya kazi katika Halmashauri yake ambayo siyo kongwe sana...
  16. stakehigh

    JamiiForums Tanzania Kwanini Tanzania iligharamikia Uganda baada ya vita vya Kagera?

    https://sw.wikipedia.org/wiki/Vita_vya_Kagera - Kutoka wikipedia inasemekana tanzania ilibidi kugharamikia uganda baada ya vita, ikiwa ni sharti kutoka OAU, japokua walikua wanajua yote tunayofanyiwa ila walitoa sharti ilo, kwa wenye uelewa nini zaidi juu ya sharti la OAU limetumia vigezo gan...
  17. Kurzweil

    JamiiForums Tanzania Ubovu wa Stand ya Mabasi ya Bukoba

    Hii ni Stendi Kuu Bukoba Mjini, Je, kwa Ubora Huu Unaweza kuilinganisha na Stendi ipi hapa Tanzania?
  18. ichumu lya

    JamiiForums Tanzania Stendi Kuu Bukoba ni aibu tupu

    Nani aliwaroga Wahaya? Inawezeka aliyewaroga alikufa na ndumba zake, ni lini Kagera itarudisha heshima ya NSHOMILE? Hii ni stendi kuu ya Bukoba. Kwa sasa hali iko ivi ukiingia stendi inabidi ununue mabutusi uvue viatu alafu ukunje nguo yako kwa chini ndio uingie stendi kuu. Niaibu kwa Wahaya...
  19. Nyendo

    JamiiForums Tanzania Ajabu: Mbunge Florent Kyombo (CCM), adai Kagera inapakana na Sudan Kusini

    Salaam wakuu, Mbunge wa Nkenge, Misenyi, Mkoani Kagera adai Nchi ya Sudan kusini inapakana na Mkoa wa Kagera wakati akichangia bajeti ya mambo ya ndani leo. Amedai Kagera imepatikana na nchi Tano, Uganda, Rwanda, Burundi, DRC pamoja na nchi zingine na Sudani Kusini.
  20. Mathias Byabato

    JamiiForums Tanzania Frolent Kyombo: Wasiojua vema mashairi ya wimbo wa Taifa na Kiswahili mkoani Kagera wanaambiwa siyo raia wa Tanzania

    Katika mchango wake kwa Wizara ya Mambo ya Ndani ya nchi, Mbunge wa jimbo la Nkenge (CCM) Frolent Kyombo amelalamikia mateso na adha wanayoipata wakazi wa wilaya za Kyerwa, Karagwe, Missenyi na Ngara katika mkoa wa Kagera kufuatia kuwa mpakani na nchi jirani na kuwa baadhi ya watumishi wa idara...
Back
Top Bottom