ichumu lya
JF-Expert Member
- Aug 11, 2016
- 2,605
- 2,729
Nani aliwaroga Wahaya? Inawezeka aliyewaroga alikufa na ndumba zake, ni lini Kagera itarudisha heshima ya NSHOMILE?
Hii ni stendi kuu ya Bukoba. Kwa sasa hali iko ivi ukiingia stendi inabidi ununue mabutusi uvue viatu alafu ukunje nguo yako kwa chini ndio uingie stendi kuu.
Niaibu kwa Wahaya, niaibu kwa Serkali niaibu kwa CCM.
CHADEMA walionesha njia wakaanza kujenga stendi kuu Kyakairabwa lakini sasa ivi tayari CCM wameanza figisu hawataki kumalizia stendi ile kisa ilianzishwa na Baraza chini ya CHADEMA.
Wahaya popote mlipo pazeni sauti mpaka Rais asikie tuondoe matope katikati ya mji ambao ndiyo lango kuu la Kagera.
Nimeambatanisha mchoro wa stendi inayotelekezwa na awa wasaka tonge
Wasomi wetu tafadhali rudi nyumbani tujenge stendi kuu tuondokane na aibu hii.View attachment 1775058View attachment 1775057View attachment 1775056
Mchoro wa stendi inayotelekezwa
Hii ni stendi kuu ya Bukoba. Kwa sasa hali iko ivi ukiingia stendi inabidi ununue mabutusi uvue viatu alafu ukunje nguo yako kwa chini ndio uingie stendi kuu.
Niaibu kwa Wahaya, niaibu kwa Serkali niaibu kwa CCM.
CHADEMA walionesha njia wakaanza kujenga stendi kuu Kyakairabwa lakini sasa ivi tayari CCM wameanza figisu hawataki kumalizia stendi ile kisa ilianzishwa na Baraza chini ya CHADEMA.
Wahaya popote mlipo pazeni sauti mpaka Rais asikie tuondoe matope katikati ya mji ambao ndiyo lango kuu la Kagera.
Nimeambatanisha mchoro wa stendi inayotelekezwa na awa wasaka tonge
Wasomi wetu tafadhali rudi nyumbani tujenge stendi kuu tuondokane na aibu hii.View attachment 1775058View attachment 1775057View attachment 1775056
Mchoro wa stendi inayotelekezwa