Kwanini Tanzania iligharamikia Uganda baada ya vita vya Kagera?

stakehigh

JF-Expert Member
Aug 9, 2019
6,383
3,494
1620486657981.png


- Kutoka wikipedia inasemekana tanzania ilibidi kugharamikia uganda baada ya vita, ikiwa ni sharti kutoka OAU, japokua walikua wanajua yote tunayofanyiwa ila walitoa sharti ilo, kwa wenye uelewa nini zaidi juu ya sharti la OAU limetumia vigezo gan atuambie.
 
Najua umefundishwa kwamba Idd Amin ndo alivamia TZ na kutaka kuchukua eneo la kagera. Historia ilipindishwa mkuu. Nyerere ndo ali mchokoza Idd Amin, na hatimaye kumuondoa madarakani.
 
Hivi kuna watu humu walioshuhudia hiyo vita? Haya mambo ya Tz kupigana kuna muda mi huwa nahisi chai.... mbona sie ni wapole, waoga, hatupendi makuu, anaetuumiza tunamuachia Mungu hao waliopigana ni kina nani? hawakuacha kizazi chao cha kishujaa? Au wote walikufa kwenye vita?

Alieshuhudia anielezee (sio aliesoma kwenye vitabu wala Wikipedia)
 
Hivi kuna watu humu walioshuhudia hiyo vita? Haya mambo ya Tz kupigana kuna muda mi huwa nahisi chai.... mbona sie ni wapole, waoga, hatupendi makuu, anaetuumiza tunamuachia Mungu hao waliopigana ni kina nani? hawakuacha kizazi chao cha kichujaa? Au wote walikufa kwenye vita?

Alieshuhudia anielezee (sio aliesoma kwenye vitabu wala Wikipedia)
Muda mwingine huwa nawaza km wee yaan.
 
Hivi kuna watu humu walioshuhudia hiyo vita? Haya mambo ya Tz kupigana kuna muda mi huwa nahisi chai.... mbona sie ni wapole, waoga, hatupendi makuu, anaetuumiza tunamuachia Mungu hao waliopigana ni kina nani? hawakuacha kizazi chao cha kishujaa? Au wote walikufa kwenye vita?

Alieshuhudia anielezee (sio aliesoma kwenye vitabu wala Wikipedia)
Waliopigana waliuliwa wote hukohuko
 
Hivi kuna watu humu walioshuhudia hiyo vita? Haya mambo ya Tz kupigana kuna muda mi huwa nahisi chai.... mbona sie ni wapole, waoga, hatupendi makuu, anaetuumiza tunamuachia Mungu hao waliopigana ni kina nani? hawakuacha kizazi chao cha kishujaa? Au wote walikufa kwenye vita?

Alieshuhudia anielezee (sio aliesoma kwenye vitabu wala Wikipedia)
Kuna namna umeandika hii kitu kinamna sana...!;Kuelewa inabidi usiwe umekata windoek.
 
Najua umefundishwa kwamba Idd Amin ndo alivamia TZ na kutaka kuchukua eneo la kagera. Historia ilipindishwa mkuu. Nyerere ndo ali mchokoza Idd Amin, na hatimaye kumuondoa madarakani.
Hakuna vita iliyowahi kupiganwa baina ya Tanzania na Uganda. Hizo ni chai tu za kijiweni. Wala hakujawahi kuwa na mtu anaitwa Idd Amini wa Nyerere.
 
Back
Top Bottom