Weekend tulivu, Mwalimu John kapozi zake Huku akifuafua vijisarawili vyake viwili vitatu kuisindikiza. Akiwa bize kufua na kule simu inaita, kuitazama Namba ngeni. Anaipokea taratibu sauti inaongea kwa mbaaali, haisikiii vizuri.
MWANAFUNZI: Hallow Sir
MWALIMU : Habari hujambo?
MWANAFUNZI ...