Prof Koboko
JF-Expert Member
- Aug 15, 2020
- 350
- 2,549
Huyu mama wa CCM jimbo la Segerea wana CCM wanamzomea kila mahali kwenye mikutano yako jimbo la Segerea. Kila anapopita anapata wakati mgumu mpaka anatamani kulia.
Katika kitu ambacho Kamati Kuu ya CCM ni sikio la kufa ilikuwa kumrudisha Bonah Kamoli Segerea bila kujua alishinda vipi, huyu mama inasemekana alimaliza na wajumbe tu ila Wana CCM hawamtaki na sasa wanamtamkia wazi wazi kuwa watachagua mbunge wa upinzani ila madiwani watachagua wa CCM.
Njia nyeupe kabisa kwa John Mrema wa CHADEMA ni sawa na Mbunge aliyepita bila kupingwa. Yaani pale ni sawa na kumsukuma mlevi yaani.
Katika kitu ambacho Kamati Kuu ya CCM ni sikio la kufa ilikuwa kumrudisha Bonah Kamoli Segerea bila kujua alishinda vipi, huyu mama inasemekana alimaliza na wajumbe tu ila Wana CCM hawamtaki na sasa wanamtamkia wazi wazi kuwa watachagua mbunge wa upinzani ila madiwani watachagua wa CCM.
Njia nyeupe kabisa kwa John Mrema wa CHADEMA ni sawa na Mbunge aliyepita bila kupingwa. Yaani pale ni sawa na kumsukuma mlevi yaani.