Twaelekea kwenye uchaguzi. Tumtathmini rais Samia Suluhu Hassan.
Nionanvyo mimi, amfanikisha yafuatayo:
Mosi, kuwakamata wapinzani na kuwafungulia kesi za kubambikiwa,
Pili, ameweza kuwa daktari kwa muda mfupi tena bila kupoteza muda darasani,
Tatu, amejitahidi kukaa kimya na kusema sana kiasi...