jinsi ya

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Komeo Lachuma

    Kwa mtaji wa Tsh 1,000,000 anaweza kufanya biashara gani?

    Nina ndugu yangu ambaye natamani sana msaidia sababu ana changamoto ya kazi. Sina pesa nyingi kwa sasa but nadhani angalau hiki kidogo nlicho nacho afanye kitu. Nina tsh 1,000,000. Nataka aipande hii kwenye biashara flani then aweze zalisha. Isiwe biashara ya kutembea sana sababu alipata ajali...
  2. Shadow7

    Naomba kujuzwa jinsi ya kupakua notes zilizo katika mfumo wa google drive

    Mwenye ujuzi anifahamishe tafadhari. Nawasilisha
  3. M

    Ni matumaini yangu Waziri Kabudi utakuwa umejifunza jinsi ya kutoa Hotuba fupi na yenye Mambo yote Muhimu kama aliyoitoa Rais Mwinyi wa Zanzibar

    Kwa ninavyokujua Mzee wangu Waziri wa Mambo ya Nje Profesa Palamagamba Kabudi ungepewa Wewe nafasi ya Kuzungumza Zanzibar leo usingetumia dakika 15 tu alizotumia Rais wa Zanzibar Dk Hussein Mwinyi. Hongera sana Rais wa Zanzibar Dk. Hussein Ali Mwinyi kwa Hotuba yako nzuri, fupi, yenye Mambo...
  4. Robert Heriel Mtibeli

    Jinsi ya Kufadhili Wageni nyumbani kwako

    JINSI YA KUFADHILI WAGENI WANAOKUJA NYUMBANI KWAKO. Kwa Mkono wa, Robert Heriel Kwenye familia ni jambo la kawaida kutembelewa na wageni. Wageni huja kwa sababu mbalibali kma vile kusalimia, kuja kukupongeza kwa jambo fulani, kuja kukupa faraja au kukusaidia upatwapo na madhila ya dunia; Wapo...
  5. Ngorunde

    Msaada: Jinsi ya kudhibiti ndege waharibifu kilimo cha maharage

    Habari wanajamvi. Mimi ni mkulima wa maharage ila changamoto kubwa sana ninayokutana nayo ni uharibifu mkubwa unaofanywa na ndege wanaoshabulia majani ya mimea wakati ikiwa michanga. Hawa ndege ni wa rangi ya brown, wana mkia mrefu na kichwani wana kichungi. Kweli wananiharibia sana kiasi cha...
  6. Samedi Amba

    Jinsi ya "kubounce back" baada ya kupoteza katika biashara

    Habari wanajamvi, Kichwa tajwa hapo juu. Kwa kifupi: Niliingia ubia na jamaa nikatoa hela zangu akamwomba jamaa mwingine aagize mzigo mzigo (wa nafaka) ukaja umechanganya rangi. Badala ya tani moja ikaja kilo 490, na kati ya hayo 200 tu ndo ilikuwa nzima. hata hivyo, yalikuwa size ndogo sana...
  7. lee Vladimir cleef

    Baadhi ya vyombo vya habari vya nchi jirani vinaeneza uongo, vichukuliwe hatua Kali

    Magazeti ya nchi moja jirani yanaandika habari za uongo na kusababisha taharuki, naomba mamlaka zinazohusika zichukue hatua stahiki. Mfano People Daily online hasa la leo. Ni wakati mzuri Sasa Watanzania tushikamane kuitetea nchi yetu.
  8. J

    Jinsi ya kuzuia figo zako kuwa na mawe

    Kunywa maji mengi ni jambo muhimu sana katika kuzuia mawe kwenye figo. Kunywa kati ya glasi 12-14 (zaidi ya lita tatu) kila siku Usile chumvi nyingi, chumvi nyingi katika chakula inaweza kufanya kalsiumu zaidi itoke mwilini kwa njia ya mkojo na hivyo kuongeza hatari ya mawe kutokea Punguza...
  9. monotheist

    Msaada: Jinsi ya ku-update Android 10 to Android 11/12 kwenye Oppo A9 2020

    Wajuvi natumia Oppo A9 2020 yenye RAM 8gb na ROM 128gb Mimi ni mgeni kwenye hizi simu yeyoye anayejua Jinsi ya ku-update Android kama kichwa cha habari kinavyojieleza. Nawasilisha.
  10. Azizi Mussa

    Mbinu zipi zinaweza kutumika kudhibiti uharibifu unaofanya Nguruwe Pori?

    Nguruwe Pori ni moja ya wanyama wenye uharibifu mkubwa kwenye mazao. Ni zipi mbinu rahisi za kuwadhibiti wanyama hawa?
  11. Simeone

    Msaada wa haraka, Jinsi gani ya kutuma online SMS

    Habari zenu wakuu, ni website gani nitumie kutuma sms/mms? natumia kitochi chenye browser ya opera mini. Msaada tafadhali!
  12. Dr. Wansegamila

    Jinsi ya kujibu swali la, "Why should we hire you?" kwenye interview

    Habari wakuu. Kwa uzoefu wangu wa kufanya interviews zaidi ya 20 kwa kipindi cha miaka 6 iliyopita, moja ya swali ambalo nimekutana nalo mara nyingi ni, "WHY SHOULD WE HIRE YOU?". Kwanza, niwe wazi kuwa hili ni kati ya swali ambalo kiukweli binafsi silipendi kabisa. Kwa nini silipendi? Kwa...
  13. TheDreamer Thebeliever

    Uzi maalum jinsi ya kupata kazi miradi mikubwa kama Bwawa la Nyerere, Bomba la mafuta, Standard Gauge n.k

    Habari zenu wanabodi! Hebu tujadili leo jinsi gani unaweza ukapata kazi kwenye miradi mikubwa niliyoitaja hapo juu na mengineyo. Kwanza tumuombe Mungu aujalie uzi huu uwe na wachangiaji ambao sio wabinafsi, ambao watashare experience zao mbinu gani wanazotumia au walizotumia kupata kazi kwenye...
  14. Nafaka

    Fahamu jinsi ya kutumia LinkedIn kupata ajira

    Habari ya humu ndani. Mimi siyo HR wala mtaalam sana wa mambo ya HR ila ninataka kutoa mtazamo wangu kutokana na uzoefu wangu. Katika mitandao bora kabisa ambayo inaweza kubadili maisha yako ni Linkedin hasa kwa wanaotafuta kazi au hata wenye kazi ambao wanatafuta kazi ya ziada au kazi bora...
  15. Mbaga Jr

    Msaada jinsi ya kuondoa hizi vitu kwenye simu

    Inasikitisha sana wakuu
  16. J

    Jinsi ya kuepuka utapeli wa kazi na ajira kupitia mtandao

    Kuwa na shaka juu ya fursa za kazi, haswa zile zinazotoa ahadi ya mapato ya uhakika au zinazohitaji ulipie kabla ya kuanza. Ikiwa kazi hiyo inajumuisha kutengeneza au kuuza aina fulani ya bidhaa au huduma, ulizia kwanza ikiwa kweli kuna soko la bidhaa hiyo. Uliza mrejesho kutoka kwa watu...
  17. Mnabuduhe

    Msaada wa jinsi ya kusamehe na kuachilia

    Habari wana JF! Mimi ni Muhanga wa hali hii nimevumilia sana lakini nimeshindwa. Juzi kuna jamaa yangu amekuja hapa kunihadithia kisa kilichomkuta maishani mwake ameshindwa kabisa kusamehe na kuachilia inagawaje anadai hana shida na watu waliomuumiza na kumpiga majungu. Baada ya kunieleza...
  18. J

    Jinsi ya kutunza Watoto Njiti katika chumba maalum

    Kuhakikisha ngozi ya mtoto inakuwa imegusana na ngozi ya mama ( skin to skin contact/ kangaroo mother care). Hapa mama anashauriwa kumbeba mtoto kwa kumgusisha katk ngozi ya mama uda mwingi ili kumkinga mtoto kupoteza joto. Ii/Kumfunika mtoto kwa nguo nzito iliasipoteze joto. Nguo hizo lazima...
  19. Masokotz

    Jinsi ya kutengeneza Milioni 10 yako ya kwanza. Generating your first 10 Milions

    Habari za wakti huu; Kwa muda sasa nimekuwa nikizungumza na watu juu ya kuzalisha na kutumia Pesa. Jambo ambalo nimgundua ni kwamba imani yako kuhusu Pesa inaweza kathiri uwezo na kiwango cha PEsa ambacho unaweza kuzalisha. Wengi wetu tuna imani potofu kuhusu Pesa.Baadhi yet tunefikia hatua...
  20. J

    Jinsi ya kujikinga na maambukizi ya magonjwa yanayoathiri mfumo wa upumuaji

    Vaa barakoa mara kwa mara unapokuwa na watu wengine au unapokuwa kwenye mkusanyiko wa watu Nawa mikono yako mara kwa mara kwa maji tiririka na sabuni Epuka kusalimiana na watu kwa kushikana mikono, kukumbatiana na kubusu Ni lazima kuzingatia usafi wa mazingira, kunawa mikono kwa maji na...
Back
Top Bottom