Nina mpango wa kuanzisha app and website ya online learning kutoa course mbalimbali.
Nimetafuta developer hapa bongo kwa kweli bei zao zipo juu sana. Wenye uwezo mzuri wamenipa bei ya mpaka million 7.
So nimeona nitafute alternative sababu nimesikia fivver na upwork unaweza pata developer especially India na Pakistan kwa bei nzuri.
Mwenye experience wa namna ya kupata developer mzuri kwenye hizo platform na namna ya kuset bei na kupata kazi yako ikiwa nzuri yenye quality unayotaka, naomba anisaidie maelezo.
Nimetafuta developer hapa bongo kwa kweli bei zao zipo juu sana. Wenye uwezo mzuri wamenipa bei ya mpaka million 7.
So nimeona nitafute alternative sababu nimesikia fivver na upwork unaweza pata developer especially India na Pakistan kwa bei nzuri.
Mwenye experience wa namna ya kupata developer mzuri kwenye hizo platform na namna ya kuset bei na kupata kazi yako ikiwa nzuri yenye quality unayotaka, naomba anisaidie maelezo.