Jasusi mbobezi alidai kuwa atafunga kampeni zake huko kwao.
Sijamsikia tena tokea siku hiyo.
Je, alifanikiwa kuzifunga hizi kampeni zake kama alivyoahidi au?
Na sijaona wala sijasikia popote kuwa leo alipiga kura yake.
Kuna anayejua kinachojiri kwa huyo jasusi wetu mbobezi?
Watanzania tumesubiri kwa hamu sana kauli ya Zitto Kabwe kuhusu mgombea wao wa uraisi Bernard Camilius Membe, kulikoni?
Hebu tujuzane wanabodi! Au kaweka mpira kwapani mazima?
Raia wa Marekani anayeshikiliwa nchini Venezuela kwa madai ya kufanya ujasusi nchini humo hakutumwa na serikali ya Marekani, taarifa ya kiongozi wa ngazi ya juu katika serikali ya Marekani imebainisha.
Mwendesha Mashtaka mkuu wa Venezuela, Tarek Wiliam Saab alitangaza siku ya Jumatatu kuwa...
Rais wa Venezuela, Nicolas Maduro amesema kuwa wamemkamata jasusi wa Marekani aliyekuwa akipeleleza kiwanda cha kuchakata mafuta ghafi nchini humo.
Maduro aliutangazia umma wa Wavenezuela kupitia televisheni ya taifa katika matangazo ya moja kwa moja akimweleza jasusi huyo kuwa ni mwanajeshi wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.