japan

  1. Mkalukungone Mwamba

    Balozi wa Japan nchini Tanzania ameipongeza TRA kwa kufanya makusanyo makubwa ya kodi kistarabu

    Balozi wa Japan nchini Tanzania Mhe. Yasushi Misawa leo tarehe 03 Januari, 2025 amekutana na kufanya mazungumzo na Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Bw. Yusuph Juma Mwenda alipomtembelea ofisini kwake Jijini Dar es Salaam kwa lengo la kumuaga baada ya kumaliza muda wake. Katika...
  2. KING MIDAS

    Japan wako mbingu ya saba, miaka laki moja mbele ya CCM

    # Tokyo Flood Tunnels, an underground engineering marvel that protects the city from flash floods. # # These tunnels, located beneath Tokyo’s bustling streets, are a stunning example of modern Japanese engineering. # # They not only channel rainwater away from urban areas, but also provide...
  3. B

    Ridhiwani Kikwete akutana na Balozi wa Japan, wajadili kuwezesha vijana wa Kitanzania kimafunzo na ujuzi

    Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu - Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Mhe. Ridhiwani Kikwete amekutana na kuzungumza na Balozi wa Japan nchini Tanzania ambaye pia ni Mwakilishi wa Japan katika Jumuiya ya Afrika Mashariki, Mhe. Yusushi Misawa pamoja na ujumbe wake alipomtembelea katika...
  4. Komeo Lachuma

    Japan ni kama wamesahaulika katika Ulimwengu wa Vita na Silaha?

    Hawa jamaa huwaoni wakionesha onesha silaha zao. Huwasikii wakitishiana na mtu au kupiga mkwara. Lakini rudi miaka ya nyuma katika vita utawasikia kwa uzuri. Nenda kawaulize wachina. Watakuambia. Jamaa kwenye technology ni wazuri sana. Na hawana ubabaishaji. Wanatengeneza vitu vya ukweli na...
  5. Mi mi

    Nini kimewakumba Japan uzalishaji wa Magari ya Umeme?

    Nini kimewakumba Japan? Trump ana hasira nao hawa wachina balaah kati ya 10 nafasi 6 zao sio kawaida. Utawala wa DT safari hii utakuwa na vituko zaidi dhidi ya hawa wachina ana hamu nao sana.
  6. byakunu

    Magari kuchezewa Kilometa hata Japan wanachezea la msingi ni kuwa makini sana

    Ishu ya kuuziwa gari na fake kilometers ni jambo la kawaida sana kwa mtu ambae hata kuwa na umakini wa "umakini" tumezoea magari Used kuchezewa kilometa kwenye yard za bongo, lakini kumbe hata Japan wanacheza nayo vile vile. Nina mfano hapa chini wa INSPECTION CERTIFICATE na EXPORT CERTIFICATE...
  7. ward41

    California vs Japan

    USA ni habari Nyingine. Uchumi wa California tu unakaribiana na nchi tajiri ya Japan Hilo ni Jimbo moja tu katika majimbo 50 Ni haki Marekani kutawala dunia
  8. Morning_star

    Kijiji chatumia midoli kuondoa upweke Japan! Hapa mimi sijaelewa!!

    Japani ni nchi ndogo mpaka uizidishe mara 2.5 ndo uipate Tanzania (Japan ni 378 km za mraba ukilinganisha na 947 za Tanzania). Pamoja na udogo wake, japani ina watu wengi karibu mara mbili ya Tanzania (Japan ni 124million ukilinganisha 70mill). Sasa haka kakijiji upweke unatoka wapi? Bila...
  9. M

    Naomba ushauri kuhusu uagizaji magari kutoa Japan au Afrika Kusini

    Habari wadau! Mimi ni transport Manager wa shule moja hapa nchini,tunahitaji Magari mengi madogo na makwa kwajili ya kubeba wanafunzi. Swali langu kati ya hizi nchi mbili wapi nitapata Magari yenye ubora kwa bei rahisi? 1. South Africa 2. Japan KUHUSU MAKAMPUNI YA UGAIZAJI. Tunataka hii...
  10. Samatime Magari

    🚨Yes Mwaka 1991 ndo Mitsubishi RVR anazaliwa huko Japan

    Ilipofika 2002 uzalishaji ukasimama wenyewe wanaita [production halt], Huu ni usimamishaji wa uzalishaji kutokana na kushuka kwa mauzo na kutopokea order mpya. Najua umejiuliza kwanini uzalishaji ulisimama, sababu Kwenye Biashara Kubwa mauzo yakianza kushuka na usipopokea order mpya [minimum...
  11. Stephano Mgendanyi

    Ushirikiano wa Tanzania na Japan Kuwezesha Ujenzi wa Flyover Morocco - Dar

    USHIRIKIANO WA TANZANIA NA JAPANI KUWEZESHA UJENZI WA FLYOVER MOROCCO – DAR. Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa ameeleza kuwa Serikali ya Tanzania inaendelea kuimarisha ushirikiano na Japani hususan katika Sekta ya miundombinu ambapo Tanzania inaendelea na mazungumzo na nchi hiyo ya...
  12. T

    Kuna darasa tunaweza kujifunza kwa Japan kuelekea 2025

    Napenda siasa napenda democracy japo sidhani kama ni democracy. Napenda siasa yenye mrengo wa kiuchumi na kiusalama wa Taifa. Nimeona mabadiliko ktk serikali ya Japan nikatamani taifa langu lipate Kiongozi mwenye mirengo inafanana na Japan hasa ukizingatia dunia kwa sasa siasa ni usalama wa...
  13. F

    Tanzania kuwa moja ya nchi 10 zenye watu wengi zaidi duniani ifikapo 2100, kuizidi Mexico, Japan na Brazil!

    Ifikapo mwaka 2100 Tanzania itakuwa kati ya nchi 10 kubwa zaidi duniani kwa idadi ya watu. Pia Tanzania itakuwa moja ya nchi zenye uchumi mkubwa zaidi duniani.
  14. uhurumoja

    Japan anamteketeza China kwenye derby ya far east

    Japo China hana mpira mkubwa sana lakini hii iko ndani ya Kila mchina kuwa hapendi kupigwa au kupitwa na mjapani Hawa ni washindani wa kudumu Hapa naangalia namna Japan anampiga china najua viunga vya Beijing na Hong Kong wanchina wanaugulia kwa maumivu
  15. biznes_dealz

    INAUZWA SEIKO 5 Original 100% ya Japan imeingia

    New Arrival, Seiko 5 Original ya Japan. Saa ni mpya, original 100% ikiwa na box lake Original. Saa ni Automatic haitumii betri, inatembea muda wote wakati wote Saa haiingii maji hata uzame nayo chini ya bahari Seiko 5 utaikuta inatembea. Saa ni zaidi ya roho ya paka unatumia mpaka unazeeka...
  16. Yoda

    Tetemeko kubwa la ardhi laikumba Japan

    Ni tetemeko la ardhi la ukubwa wa ritcher 7.1, limetokea kusini mwa Japan. Tahadhari ya kutokea Tsunami yatolewa na mamlaka.
  17. Annie X6

    Naomba kujua nikiagiza Dualis from Japan hadi mlangoni kwangu Tsh ngapi

    Naogopa kupigwa naomba msaada. Kichwa hapo juu kimeongea. Naona bei kwa kule ni 3346USD Kwa nilivyosikia bei inakua mara mbili 8883630 x2 haikosi 18,000,000 Wakuu ndivyo??
  18. T

    Tunatoa usaidizi na ushauri katika kuagiza gari

    Habari wanajamvi, Nikiwa na passion, uzoefu kiasi ktk mchakato wa kuagiza magari Japan hadi mkononi. Nimedhamiria kama fursa kuleta wazo hapa namna navyoweza kuwasaidia wale wahitaji wa kuagiza magari kutoka nje..ambao pengine wanahitaji usaidizi. Mchakato uko hivi; 1)Tuwasiliane tujadili gari...
  19. Jamii Opportunities

    Personal Assistant to a Senior Diplomat at Embassy of Japan in Tanzania

    GENERAL INFORMATION 1. Position title Personal Assistant to a Senior Diplomat (There is only one post available.) 2. Period of performance ・One year (renewable. Subject to a three-month probationary period.) ・Full time (40 hours /week) 3. Working hours 7:30 to 16:30 (Lunch break: 12:30 to...
  20. FRANCIS DA DON

    Japan yatenga shs. Trillion 120 ili kushinikiza vijana kuzaa kwa wingi

    Takwimu zinaonyesha taifa la Japan (kizazi cha waJapan) kinaenda kufutika kabisa ndani ya miaka 100 ijayo. Hii inatokana na kiwango kidogo zaidi kuwahi kushuhudiwa cha uzazi huko Japan, ambapo kwa wastani mwanamke mmoja anazaa mtoto mmoja, ‘fertility rate ni 1.2’. Maana yake wanashindwa hata...
Back
Top Bottom