japan

  1. the big fish

    JamiiForums Tanzania KWANINI GARI NYINGI ZINAZOTOKA JAPAN ZINAKUJA NA ILE NAVIGATION MONITOR LAKINI INAKUWA NA RAMANI ZA JAPANI NA HUKU BONGO NAONA KAMA HAZIZINGATII

    Kwema wanajamii forum, Moja kwa moja kwenye mada kwanini hizi gari zinatoka japan nyingi kama sio zote zinakuja na ile screen inakuwa na ramani za miji na navigations za japan kwa huku Bongo watu wengi hawazitumii na zinakuwepo tu kama pambo au kwa hapa bongo hakuna fundi wa kuwepa shapefiles za...
  2. E

    JamiiForums Tanzania Kampuni gani Bora kuagiza Gari nje ya nchi? Japan, UK, Singapore etc

    Nimeona kampuni kadhaa zinatoa huduma ya kuagiza Magari used nje ya nchi. Ipi ni Bora kwa uaminifu ,huduma na ufanisi wa kutuma pesa, Kati ya hizi; 1. Be forward, 2. SBT Japan, 3. Enhance Auto.
  3. CNO

    JamiiForums Tanzania Japan

    Haha wajpn wakovzr Yani hapo kafurahitu
  4. M

    JamiiForums Tanzania Japan uses cars special thread

    Habari Pasipob kupoteza muda naomba niende kwenye mada Moja kwa Moja Nimeandaa Uzi huu Kwa lengo la kuposti magari used Toka Japan na Bei zake yakiwa bila Kodi lkn pia yakiwa yamejumuishwa Kodi na ni Kodi zipi na mtu anapaswa kulipa Kwa awamu ngapi na kutakuwa na full details za kila GARI...
  5. M

    JamiiForums Tanzania Toyota Paso from Japan agiza Sasa

    Reference Number: 24254119019 Make: TOYOTA Model: PASSO - KGC 30/35 Body Type: HATCHBACK Year of Manufacture: 2012 Country: JAPAN Fuel Type: PETROL Engine Capacity: 501 - 1000 CC Price 16M
  6. M

    JamiiForums Tanzania AGIZA Toyota Noah 2008 from Japan

    Habar Kwa wale wote WENYE uhitaji wa kuagiza gari nje ya nchi naomba tuwasiliane 0686153806 Toyota Noah 2008 Reference Number:24254118958 Make:TOYOTA Model:NOAH - ZRR 70 / 75 Body Type:WAGON Year of Manufacture:2008 Country:JAPAN Fuel Type:pETROL Engine Capacity:1501 - Price 22M
  7. M

    JamiiForums Tanzania 2016 Toyota premio all costs from Japan

    TOYOTA premio Reference Number:24254119270 Make:TOYOTA Model:pREMIO - ZRT260 / ZRT261 / ZRT265 Body Type:SEDAN Year of Manufacture:2016 Country:JAPAN Fuel Type:pETROL Engine Capacity:1501 - 2000 Price 37M
  8. M

    JamiiForums Tanzania 2010 Toyota premio for sale from Japan including all COSTS

    2010 Toyota premio Reference Number:24254119264 Make:TOYOTA Model:pREMIO - ZRT260 / ZRT261 / ZRT265 Body Type:SEDAN Year of Manufacture:2010 Country:JAPAN Fuel Type:pETROL Engine Capacity:1501 - 2000 CC Price 30M
  9. M

    JamiiForums Tanzania NISSAN civilian for sale from Japan

    Reference Number:24254079890 Make:NISSAN Model:CIVILIAN BUS - DCW41/DJW41/DVW41 Body Type:BUS Year of Manufacture:2011 Country:JAPAN Fuel Type:PETROL Engine Capacity:2501 CC Mileage 90,994km Price 45M
  10. M

    JamiiForums Tanzania Yafuatayo ni magari 9 pendwa yanayoongiza kuagizwa nchini Tanzania toka Japan

    Habari Baada ya kuiona changamoto ya watu kutokuwa na uelewa wa kuyosha hususani susla la kuagiza magari nje ya nchi Leo nimeamua kukuletea magari Rosa YANAYOONGIZA Kwa KUAGIZWA Toka nje ya nchi 1. Toyota harrier
  11. M

    JamiiForums Tanzania Agiza MAZDA VERISSA toka Japan all models DRLS from 2005-2013

    Habari Kwa wale wote WENYE ndoto za kumiliki GARI aina ya Mazda VERISSA tukutane hapa Lengo la kufungua Uzi huu ni kuweza kuweka magari yote aina ya Mazda VERISSA yaliyoko sokoni ambayo unaweza ukaaguza na kupata Kwa Bei nzuri sana magari haya yote mwaka wa matengenezo inaanzia 2005-2013...
  12. R

    JamiiForums Tanzania Nauza plastick horn used za Japan, set zipo 5.Chukua zote kwa 125,000/=

    Ninazo plastick horn used za Nje Japan.Set moja nipe elfu30 zote unapata kwa bei ya jumla.Tuwasiliane 0769618684
  13. M

    JamiiForums Tanzania TOYOTA HARRIER ALL MODELS FROM JAPAN SPECIAL THREAD

    Habari Nimeandaa Uzi huu Kwa lengo la kutangaza magari ya Toyota harrier models zote huku nikijunuisha na gharama zote kama vile Kodi za tra nk Hii itamrahisishia mtu anayetaka kununua gari aina ya Toyota harrier aweze kuzijua gari hizi Vizur lkn pia ajue ni kiasi Gani kinahitajika ili aweze...
  14. B

    JamiiForums Tanzania PM Majaliwa aikaribisha Japan kuwekeza nchini

    29 May 2025 Tokyo, Japan PM MAJALIWA - JAPAN YAKARIBISHWA KUWEKEZA NCHINI TANZANIA https://m.youtube.com/watch?v=OZi6y1z9ffE Waziri mkuu Kassim Majaliwa Majaliwa asema kuwa Japan imekubali sasa kufanya ubia na wazawa wa kiTanzania kufungua biashara na miradi mikubwa Tanzania Kimkakati...
  15. The Watchman

    JamiiForums Tanzania Picha: Waziri Mkuu Majaliwa akutana na Waziri Mkuu wa Japan

    WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amekutana na Waziri Mkuu wa Japan, Ishiba Shigeru ambaye amemuhakikishia kuwa nchi hiyo itaendelea kuimarisha ushirikiano na Tanzania jambo ambalo linalenga kuchochea ukuaji wa uchumi kutokana na fursa zitakazoendelea kupatikana kupitia mahusiano hayo. Amekutana na...
  16. Fbn

    JamiiForums Tanzania Ukifika Japan hakuna sehemu ya kutupia uchafu public na maeneo yao ni masafi

    wanasema tembea ujionee.Ndio maana mkinunua magari used yao kukuta vyakula na vitu vengine ndani ya gari ni kitu cha kawaida. Japani ukinunua kitu chochote mfano chakula basi hakikisha una cha kubebea uchafu ili ukatupie kwako. Na uchafu ambao unaweza kukuta unatakiwa kupokelewa ni chupa za...
  17. and 998 others

    JamiiForums Tanzania Japan Expo 2025: Tanzania kuwakilishwa na nani?

    1. Kama mjuavyo Japan Expo 2025 imeanza toka April 2025. Sisi wazee wa fursa tunawakilishwa na nani huko? Kwenye msafara tusisahau kubeba Korosho, Karafuu na Madera. 2. Bongo movies wasikose kwenye list tafadhali
  18. Msela Wa Kitaa

    JamiiForums Tanzania Taiwan, Koxinga na vita ya Uchina dhidi ya Japan: Historia inayodhihirisha mvutano wa leo

    Kwa sasa tunaiona Taiwan kama eneo linalovutana na China, huku kila upande ukidai uhalali. Lakini je, historia ya Taiwan ni ipi hasa? Ilikuwaje sehemu ya China? Je, Nationalists walifika vipi kule? Na walikuwa na msimamo gani wakati wa vita dhidi ya Japan? --- 1. Je, China Ilikuwa Chini ya...
  19. mcTobby

    JamiiForums Tanzania kifahamu Kitengo No.731 huko Japan.

    Japan miaka yake ikiwa kwenye peak, ilikuwa ni moja ya nchi tishio barani Asia kama tu Ujerumani ilivyokuwa tishio barani ulaya enzi zile za vita kuu ya pili ya dunia. Sasa ndani ya jeshi la Japan kulikuwa na kitengo cha kitabibu kulichokuwa mahsusi katika kufanya tafiti za kisayansi za...
  20. Frank Wanjiru

    JamiiForums Tanzania California yaipiku Japan kwa kuwa namba nne kwa uchumi mkubwa Duniani

    Jimbo la California nchini Marekani imeipiku Japan kwa kuwa na uchumi mkubwa namba NNE Duniani. Uchumi wa California umeipita Japan, na kuifanya jimbo hilo la Marekani kuwa nguvu ya nne kwa ukubwa kiuchumi duniani. Gavana Gavin Newsom alijivunia takwimu mpya kutoka Shirika la Fedha la Kimataifa...
Back
Top Bottom