japan

  1. Ojuolegbha

    JamiiForums Tanzania Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Tanzania na Japan waahidi kukuza ushirikiano

    MAWAZIRI WA MAMBO YA NJE WA TANZANIA NA JAPAN WAAHIDI KUKUZA USHIRIKIANO Tanzania na Japan zimekubaliana kuimarisha ushirikiano katika sekta za biashara, uwekezaji, uendelezaji rasilimali watu, miradi mikubwa ya maendeleo na miradi ya msingi (Grassroots projects), na kilimo ikiwemo ukuzaji wa...
  2. eli -DEFIANT- cohen

    JamiiForums Tanzania Kuna kijiji kinaandaliwa huko Japan kwa ajili ya wafanyakazi wahamiaji kutoka Tanzania

    Nchi inakosa nguvu kazi kwa baadhi ya mambo hadi kupelekea kutayarishia wahamiaji mazingira
  3. Ojuolegbha

    JamiiForums Tanzania Waziri Kombo awasili jijini Yokohama (Japan) kushiriki mkutano wa wakuu wa nchi na serikali wa ticad 9

    Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo (Mb.) amewasili jijini Yokohama, Japan kumwakilisha Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Mkutano wa Kimataifa wa Tokyo kuhusu Maendeleo ya Afrika (Tokyo...
  4. Mjomba Fujo

    JamiiForums Tanzania Je wajua? Tanzania ndio nchi pekee ya Africa inayo import kwa asilimia kubwa kutoka JAPAN

    Kulingana na report mbalimbali, Nchi ya Tanzaia ndio nchi pekee africa inayoshikilia record ya kuingiza bidhaa kwa wingi kutoka Japan, na hapo tunazungumzia used cars. Nitaweka viambatinisho kadhaa, kwa hivyo msione JICA wanajitutumua na misaada yao, wanajua pia sisi Tz ni wateja wao wazuri...
  5. Huihui2

    JamiiForums Tanzania Nchini Japan, unaweza kulipa ili kupotea bila kuacha alama, ni halali kwa 100%

    Yonige-ya ni Biashara za Japani zinazosaidia watu kutoweka kutoka kwa maisha yao ya sasa, mara nyingi ili kuepuka hali ngumu kama madeni, mhusiano mabaya, au shinikizo la kijamii. Wanaitwa "wahamishaji wa usiku" kwa sababu wanahamisha watu kwa siri, mara nyingi usiku, ili kuepuka kugunduliwa na...
  6. Ricky Blair

    JamiiForums Tanzania Angalia Japan ilivyokuwaga Katili

    Hebu cheki Japan ilivyokuwaga katili dhidi ya China na mataifa mengine ya Asia. Ilikuwa katili km Ujerumani na iliua wachina milioni 26; ila watu bado wanaiomea huruma kupigwa mabomu ya nuclear ambayo yote yaliua watu km 200k tu when wao wameua mamilioni
  7. Mad Max

    JamiiForums Tanzania Kwa tunaojitafuta: Mke anaweza kutoka kijijini akaletwa Mjini, Lakini Gari… Lazima litoke Japan!

    Habari za weekend wakuu. Maneno yasiwe mengi. Kichwa cha habari kinajieleza vizuri. Unaweza kumtoa mwanamke kijijini ukamleta mjini, hatasumbua sana, maisha yataenda. Lakini, gari lazima litoke Japan. Namaanisha lazima liwe Japanese. Yaani liwe Toyota, Subaru, Nissan, Honda, et al. Achana...
  8. R

    JamiiForums Tanzania Tetemeko Kuu lapiga Mashariki mwa Urusi, Tahadhari ya Tsunami yatolewa Japan, Hawaii na Visiwa vya Pasifiki

    Mapema Julai 30, 2025, imeripotiwa tetemeko kubwa la ardhi lenye ukubwa wa 8.8 Magnitude lilikumba bahari ya Pasifiki karibu na pwani ya mashariki ya Urusi, likiathiri zaidi eneo la Kamchatka na Visiwa vya Kuril. Kwa mujibu wa wanasayansi wa Chuo cha Sayansi cha Urusi, hili ni tetemeko kubwa...
  9. M

    JamiiForums Tanzania Nawezaje kununua au kuagiza baiskeli used Japan, nerthela au kwingineko

    Msaada wazoefu nawezaje kuagiza baiskeli used toka japani nakwingineko baiskeli kama hizi
  10. R

    JamiiForums Tanzania Waziri Mkuu wa Japan Shigeru Ishiba, aapa kubaki Madarakani licha ya Upinzani kushinda kwa kura nyingi za Bunge

    Waziri Mkuu wa Japan, Shigeru Ishiba, ameapa kubaki madarakani, licha ya muungano wa chama chake tawala kupata pigo kubwa katika uchaguzi wa Bunge la Juu, hali ambayo imezua mashaka ndani ya chama chake huku upinzani ukifikiria kuwasilisha hoja ya kutokuwa na imani naye Ishiba, ambaye...
  11. G

    JamiiForums Tanzania Mwenye ujuzi wa kuagiza gari na Autocom Japan naomba msaada

    Habari wakubwa, Samahani kwa wenye experience ya kuagiza gari na hawa Autocom Japan,naomba kufahamu mambo haya:- 1. Kwenye Malipo huwa wanakuwa na Account maalumu ya Kampuni ili kufanya Malipo,au zinabadilika badilika? 2. Huwa wana namba moja maalumu kwa ajili ya mawasiliano WhatsApp au zipo...
  12. the big fish

    JamiiForums Tanzania KWANINI GARI NYINGI ZINAZOTOKA JAPAN ZINAKUJA NA ILE NAVIGATION MONITOR LAKINI INAKUWA NA RAMANI ZA JAPANI NA HUKU BONGO NAONA KAMA HAZIZINGATII

    Kwema wanajamii forum, Moja kwa moja kwenye mada kwanini hizi gari zinatoka japan nyingi kama sio zote zinakuja na ile screen inakuwa na ramani za miji na navigations za japan kwa huku Bongo watu wengi hawazitumii na zinakuwepo tu kama pambo au kwa hapa bongo hakuna fundi wa kuwepa shapefiles za...
  13. E

    JamiiForums Tanzania Kampuni gani Bora kuagiza Gari nje ya nchi? Japan, UK, Singapore etc

    Nimeona kampuni kadhaa zinatoa huduma ya kuagiza Magari used nje ya nchi. Ipi ni Bora kwa uaminifu ,huduma na ufanisi wa kutuma pesa, Kati ya hizi; 1. Be forward, 2. SBT Japan, 3. Enhance Auto.
  14. CNO

    JamiiForums Tanzania Japan

    Haha wajpn wakovzr Yani hapo kafurahitu
  15. M

    JamiiForums Tanzania Japan uses cars special thread

    Habari Pasipob kupoteza muda naomba niende kwenye mada Moja kwa Moja Nimeandaa Uzi huu Kwa lengo la kuposti magari used Toka Japan na Bei zake yakiwa bila Kodi lkn pia yakiwa yamejumuishwa Kodi na ni Kodi zipi na mtu anapaswa kulipa Kwa awamu ngapi na kutakuwa na full details za kila GARI...
  16. M

    JamiiForums Tanzania Toyota Paso from Japan agiza Sasa

    Reference Number: 24254119019 Make: TOYOTA Model: PASSO - KGC 30/35 Body Type: HATCHBACK Year of Manufacture: 2012 Country: JAPAN Fuel Type: PETROL Engine Capacity: 501 - 1000 CC Price 16M
  17. M

    JamiiForums Tanzania AGIZA Toyota Noah 2008 from Japan

    Habar Kwa wale wote WENYE uhitaji wa kuagiza gari nje ya nchi naomba tuwasiliane 0686153806 Toyota Noah 2008 Reference Number:24254118958 Make:TOYOTA Model:NOAH - ZRR 70 / 75 Body Type:WAGON Year of Manufacture:2008 Country:JAPAN Fuel Type:pETROL Engine Capacity:1501 - Price 22M
  18. M

    JamiiForums Tanzania 2016 Toyota premio all costs from Japan

    TOYOTA premio Reference Number:24254119270 Make:TOYOTA Model:pREMIO - ZRT260 / ZRT261 / ZRT265 Body Type:SEDAN Year of Manufacture:2016 Country:JAPAN Fuel Type:pETROL Engine Capacity:1501 - 2000 Price 37M
  19. M

    JamiiForums Tanzania 2010 Toyota premio for sale from Japan including all COSTS

    2010 Toyota premio Reference Number:24254119264 Make:TOYOTA Model:pREMIO - ZRT260 / ZRT261 / ZRT265 Body Type:SEDAN Year of Manufacture:2010 Country:JAPAN Fuel Type:pETROL Engine Capacity:1501 - 2000 CC Price 30M
  20. M

    JamiiForums Tanzania NISSAN civilian for sale from Japan

    Reference Number:24254079890 Make:NISSAN Model:CIVILIAN BUS - DCW41/DJW41/DVW41 Body Type:BUS Year of Manufacture:2011 Country:JAPAN Fuel Type:PETROL Engine Capacity:2501 CC Mileage 90,994km Price 45M
Back
Top Bottom