japan

  1. Mad Max

    Kwa tunaojitafuta: Mke anaweza kutoka kijijini akaletwa Mjini, Lakini Gari… Lazima litoke Japan!

    Habari za weekend wakuu. Maneno yasiwe mengi. Kichwa cha habari kinajieleza vizuri. Unaweza kumtoa mwanamke kijijini ukamleta mjini, hatasumbua sana, maisha yataenda. Lakini, gari lazima litoke Japan. Namaanisha lazima liwe Japanese. Yaani liwe Toyota, Subaru, Nissan, Honda, et al. Achana...
  2. R

    Tetemeko Kuu lapiga Mashariki mwa Urusi, Tahadhari ya Tsunami yatolewa Japan, Hawaii na Visiwa vya Pasifiki

    Mapema Julai 30, 2025, imeripotiwa tetemeko kubwa la ardhi lenye ukubwa wa 8.8 Magnitude lilikumba bahari ya Pasifiki karibu na pwani ya mashariki ya Urusi, likiathiri zaidi eneo la Kamchatka na Visiwa vya Kuril. Kwa mujibu wa wanasayansi wa Chuo cha Sayansi cha Urusi, hili ni tetemeko kubwa...
  3. M

    Nawezaje kununua au kuagiza baiskeli used Japan, nerthela au kwingineko

    Msaada wazoefu nawezaje kuagiza baiskeli used toka japani nakwingineko baiskeli kama hizi
  4. R

    Waziri Mkuu wa Japan Shigeru Ishiba, aapa kubaki Madarakani licha ya Upinzani kushinda kwa kura nyingi za Bunge

    Waziri Mkuu wa Japan, Shigeru Ishiba, ameapa kubaki madarakani, licha ya muungano wa chama chake tawala kupata pigo kubwa katika uchaguzi wa Bunge la Juu, hali ambayo imezua mashaka ndani ya chama chake huku upinzani ukifikiria kuwasilisha hoja ya kutokuwa na imani naye Ishiba, ambaye...
  5. G

    Mwenye ujuzi wa kuagiza gari na Autocom Japan naomba msaada

    Habari wakubwa, Samahani kwa wenye experience ya kuagiza gari na hawa Autocom Japan,naomba kufahamu mambo haya:- 1. Kwenye Malipo huwa wanakuwa na Account maalumu ya Kampuni ili kufanya Malipo,au zinabadilika badilika? 2. Huwa wana namba moja maalumu kwa ajili ya mawasiliano WhatsApp au zipo...
  6. the big fish

    KWANINI GARI NYINGI ZINAZOTOKA JAPAN ZINAKUJA NA ILE NAVIGATION MONITOR LAKINI INAKUWA NA RAMANI ZA JAPANI NA HUKU BONGO NAONA KAMA HAZIZINGATII

    Kwema wanajamii forum, Moja kwa moja kwenye mada kwanini hizi gari zinatoka japan nyingi kama sio zote zinakuja na ile screen inakuwa na ramani za miji na navigations za japan kwa huku Bongo watu wengi hawazitumii na zinakuwepo tu kama pambo au kwa hapa bongo hakuna fundi wa kuwepa shapefiles za...
  7. E

    Kampuni gani Bora kuagiza Gari nje ya nchi? Japan, UK, Singapore etc

    Nimeona kampuni kadhaa zinatoa huduma ya kuagiza Magari used nje ya nchi. Ipi ni Bora kwa uaminifu ,huduma na ufanisi wa kutuma pesa, Kati ya hizi; 1. Be forward, 2. SBT Japan, 3. Enhance Auto.
  8. CNO

    Japan

    Haha wajpn wakovzr Yani hapo kafurahitu
  9. M

    Japan uses cars special thread

    Habari Pasipob kupoteza muda naomba niende kwenye mada Moja kwa Moja Nimeandaa Uzi huu Kwa lengo la kuposti magari used Toka Japan na Bei zake yakiwa bila Kodi lkn pia yakiwa yamejumuishwa Kodi na ni Kodi zipi na mtu anapaswa kulipa Kwa awamu ngapi na kutakuwa na full details za kila GARI...
  10. M

    Toyota Paso from Japan agiza Sasa

    Reference Number: 24254119019 Make: TOYOTA Model: PASSO - KGC 30/35 Body Type: HATCHBACK Year of Manufacture: 2012 Country: JAPAN Fuel Type: PETROL Engine Capacity: 501 - 1000 CC Price 16M
  11. M

    AGIZA Toyota Noah 2008 from Japan

    Habar Kwa wale wote WENYE uhitaji wa kuagiza gari nje ya nchi naomba tuwasiliane 0686153806 Toyota Noah 2008 Reference Number:24254118958 Make:TOYOTA Model:NOAH - ZRR 70 / 75 Body Type:WAGON Year of Manufacture:2008 Country:JAPAN Fuel Type:pETROL Engine Capacity:1501 - Price 22M
  12. M

    2016 Toyota premio all costs from Japan

    TOYOTA premio Reference Number:24254119270 Make:TOYOTA Model:pREMIO - ZRT260 / ZRT261 / ZRT265 Body Type:SEDAN Year of Manufacture:2016 Country:JAPAN Fuel Type:pETROL Engine Capacity:1501 - 2000 Price 37M
  13. M

    2010 Toyota premio for sale from Japan including all COSTS

    2010 Toyota premio Reference Number:24254119264 Make:TOYOTA Model:pREMIO - ZRT260 / ZRT261 / ZRT265 Body Type:SEDAN Year of Manufacture:2010 Country:JAPAN Fuel Type:pETROL Engine Capacity:1501 - 2000 CC Price 30M
  14. M

    NISSAN civilian for sale from Japan

    Reference Number:24254079890 Make:NISSAN Model:CIVILIAN BUS - DCW41/DJW41/DVW41 Body Type:BUS Year of Manufacture:2011 Country:JAPAN Fuel Type:PETROL Engine Capacity:2501 CC Mileage 90,994km Price 45M
  15. M

    Yafuatayo ni magari 9 pendwa yanayoongiza kuagizwa nchini Tanzania toka Japan

    Habari Baada ya kuiona changamoto ya watu kutokuwa na uelewa wa kuyosha hususani susla la kuagiza magari nje ya nchi Leo nimeamua kukuletea magari Rosa YANAYOONGIZA Kwa KUAGIZWA Toka nje ya nchi 1. Toyota harrier
  16. M

    Agiza MAZDA VERISSA toka Japan all models DRLS from 2005-2013

    Habari Kwa wale wote WENYE ndoto za kumiliki GARI aina ya Mazda VERISSA tukutane hapa Lengo la kufungua Uzi huu ni kuweza kuweka magari yote aina ya Mazda VERISSA yaliyoko sokoni ambayo unaweza ukaaguza na kupata Kwa Bei nzuri sana magari haya yote mwaka wa matengenezo inaanzia 2005-2013...
  17. R

    Nauza plastick horn used za Japan, set zipo 5.Chukua zote kwa 125,000/=

    Ninazo plastick horn used za Nje Japan.Set moja nipe elfu30 zote unapata kwa bei ya jumla.Tuwasiliane 0769618684
  18. M

    TOYOTA HARRIER ALL MODELS FROM JAPAN SPECIAL THREAD

    Habari Nimeandaa Uzi huu Kwa lengo la kutangaza magari ya Toyota harrier models zote huku nikijunuisha na gharama zote kama vile Kodi za tra nk Hii itamrahisishia mtu anayetaka kununua gari aina ya Toyota harrier aweze kuzijua gari hizi Vizur lkn pia ajue ni kiasi Gani kinahitajika ili aweze...
  19. B

    PM Majaliwa aikaribisha Japan kuwekeza nchini

    29 May 2025 Tokyo, Japan PM MAJALIWA - JAPAN YAKARIBISHWA KUWEKEZA NCHINI TANZANIA https://m.youtube.com/watch?v=OZi6y1z9ffE Waziri mkuu Kassim Majaliwa Majaliwa asema kuwa Japan imekubali sasa kufanya ubia na wazawa wa kiTanzania kufungua biashara na miradi mikubwa Tanzania Kimkakati...
  20. Just Pray

    Picha: Waziri Mkuu Majaliwa akutana na Waziri Mkuu wa Japan

    WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amekutana na Waziri Mkuu wa Japan, Ishiba Shigeru ambaye amemuhakikishia kuwa nchi hiyo itaendelea kuimarisha ushirikiano na Tanzania jambo ambalo linalenga kuchochea ukuaji wa uchumi kutokana na fursa zitakazoendelea kupatikana kupitia mahusiano hayo. Amekutana na...
Back
Top Bottom