Jana Sena or Jana Sena Party (JSP) (People's Army Party) is an Indian Regional political party based in Andhra Pradesh and Telangana, India. It was founded by Tollywood actor and politician Pawan Kalyan on 14 March 2014. Jana Sena means "People's Army" in Telugu. The motto of the party is "fight for the rights of each and every common person".
In short huyu dada kaongea mawazo yangu 100%.
Samia hakupaswa kuongea maneno yasiyo na busara vile. Tatizo wanawake ni watu wa visasi sana. Katonesha tu vidonda vya watu badala ya kuponya.
Hata sielewi nchi yetu inaelekea wapi
Jana Des 2, 2025 saa 7:11 mchana Watanzania wote wameona na Dunia imeshuhudia mliosilimishwa/kubatizwa na kupewa jina la Wazee wa Dsm mkipiga makofi kushangilia kauli ya mama Samia aliposema nguvu iliyotumika kukabiliana na Vijana Oct 29 ilikuwa ya kutosha.
Tumeona mlivyotumia vizuri posho...
Jana mida ya saa tisa hivi mchana. Wapasua matofali wetu wakawa wanafanya doria na lihelikopta lao moja kuukuu limechoka choka hivi. Wanapita kwa chini chini mpaka wanaonekana makomandoo wao wamekaa milangoni na mabunduki yao makubwa makubwa...
Ilikuwa ni maeneo ya soko; na watu wakawa...
"Jana usiku alisimamisha show yake kuwaambia watu waiombee Tanzania sababu ya mauaji yaliyotokea.
Meanwhile wasanii wa Tanzania wanapambana kuirudisha nchi kwenye hali ya hali ya kawaida ili waweze kupiga show tena. Kila Davido wanaumia na Tanzajia ila wasanii wa Tanzania wako busy na vibao...
Watu wanalalamika sana kuhusu uzito wa kutoa huduma
Kama mifumo imeshavamiwa watoe taarifa mapema
Pia nashauri BOT wasidharau sana maneno ya vijana , waanze kutafuta backup system .
TAhadhari ni muhimu
Sikuwahi kumsikia Sheikh Yahya Hussein, mtabiri maarufu wa Afrika Mashariki akitoa utabiri huu. Na wala hakuna mtu amewahi kuketa voice note/ video clip kuhusu maneno hayo. Lakini maneno hayo yalikuwa yana trend kila uchaguzi ulipotokea kati ya 2015, 2020 na 2025.
Sasa baada ya Rais Samia...
Inasikitisha sana ila ndo tukubali ukweli kuwa ile Tanzania ya watu wapole, wapenda amani wasiotaka fujo iliisha rasmi jana tarehe 29/10/2025. Hakutakuwa tena na kubembelezana kwenye mambo ya haki. Kila kitu kimeanza upya kuanzia jana.
Raia wamevumilia toka awamu ya kwanza hadi leo awamu ya 6...
Wewe Kombo, unawasiliana na Mataifa ya Nje na wawakilishi kama nani?
Kwa mujibu wa Katiba hii hii muda wako wa Uwaziri umekoma jana siku ya Uchaguzi na sasa wewe ni raia wa kawaida tu
JWTZ tunaomba mumuweke ndani huyu mshenzi fisadi ndugu yake na Samia Thabit Kombo aliyekuwa Waziri wa Mambo ya...
Azam TV na TBC wanatumika kuhalalisha uchafuzi wa jana tulioukataa Wananchi.
Wanajifanya kutangaza matokeo ya Uchaguzi eti walioshinda uchaguzi. Wanatumiwa na Mafisadi na Wauaji kuhalalisha upuuzi wao.
Wananchi twendeni tukavichome hivi vituo muda huu
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila ameeleza kuwa hali ya amani na utulivu inaendelea kuimarishwa jijini Dar es Salaam na kueleza kuwa vurugu kidogo zilizojaribu kutokea katika eneo la Ubungo, zimedhibitiwa
Wakuu, Mnakumbuka huyu Mpuuzi Daudi Balali ,alitoaga Twiti yake alisema 2030 Uchaguzi utakua usotabirika Kwa CCM.
Ni hivi huyu jamaani Mwanamtandaoo, na Ndie aliyemteka Mh Polepole .
Tarehe 21/8/2025 Huyu Jamaa alisimamia Mpango wa kumteka Mh BALOZI POLEPOLE, baada ya kujihakikishia kua...
Wakuu I salute you kinsmen
Kuna team ilikuwa inasifiwa sana wanajisifia sana kuwa wao watalipa ticket na uwanja watajaza mapema tu saa 8 mchana unakuwa full
Na semaji Lao likawajaza upepo kuwa ticket zimeshauzwa ni full house.
Lakini jana kilichotokea ni bora wangefanya watu waingie bure tu...
Jana kuna barua ilikuwa ina-surface mtandaoni iliongelea mambo mengi ila sehemu iliyonifikirisha sana ni pale waliposema mazingira ya siasa nchini yapo vizuri nikaachia kusoma pale sikuendelea tena sababu nilisikia uchungu mkubwa sana
Nikajiuliza familia ya polepole inajisikiaje inaposoma ile...
Nimeamua kuandika uzi huu kutokana na yale ambayo yananisikitisha sana nionayo katika jamii yetu
Huwa tunapenda kushindana na watu katika maisha yetu bila kujua kwamba mwisho wa siku tunajiumiza wenyewe na kuathirika sisi wenyewe.
Katu hata siku moja wanadamu hatuwezi kuwa sawa,ridhika na...
Je amekupost mtandaoni?
Amekupost kukushukuru vile unavyotumia muda na gharama kumuhudumia na kumaliza changamoto zake?
Nauliza tena, amekupost kuuambia ulimwengu jinsi ulivyo mwanaume mwema kwake?
Amekupost kuuambia ulimwengu jinsi anavyokupenda na wewe ndie mwanaume pekee kwenye maisha yake?
Kuna watu walichukua jezi nyingi sana badara ya kugawa wakapeleka majumbani kwao mimi nliona mtu kwa macho yangu Temeke kachukua jezi kama 5 ivi kaweka kwenye kibegi.
Hii si sawa inashangaza kwa nini mtu anataka kila kitu afaidi yeye tu kuuna watu wanatuujumu na jana walituujumu pakubwa sana...
Wanasimba jana wamefanya tukio ngumu sana ni mara baada ya msigwa kumtwangia simu mgombea urais wa CCM Samia watu waligoma kabisa kuitikia salamu ya mgombea huyo.
Kwangu ni jambo zuri sana tuko tunaenjoy zetu mpira wewe unatuletea siasa
Conclusion: Akili za watz zimeanza kuchangamka sasa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.