Jana nilikutana na mimi

Jana nilikutana na mimi

chai ya rangi

JF-Expert Member
Joined
Mar 7, 2026
Posts
1,034
Reaction score
3,076
Katika pitapita zangu jana kuna mtu nilimuona nikasema mbona yule ni kama mimi, alikua yupo kwa mbali ilibidi nimsogelee ili kumuona vizuri,

Lakini nilivomsogelea nikamkuta sijamfananisha alikua mimi kabisa nimekaa pale, nguo alizovaa zinafanana na zangu kasoro viatu ndo tofauti,

Ikabidi nimsalimie pia sauti yake ilikua ni kama ya kwangu kabisa nikamuuliza na jina ni la kwangu,

Baada ya kumuuliza mambo mengi nikagundua huyu ni mimi lakini nilishapata hofu inakuaje nijikute tena huku ?

Nikajiacha pale nikarudi home kwa sababu nilikua nawaza sana, nahisi kama wewe ungejikuta sehemu ungeota wiki nzima lakini mimi sikuota na baadae nilichukulia kawaida leo nikarudi pale ila sijajikuta.

Nitakua narudi pale mara kwa mara kuona kama nitajikuta tena sehemu hiyo
 
katika pitapita zangu jana kuna mtu nilimuona nikasema mbona yule ni kama mimi, alikua yupo kwa mbali ilibidi nimsogelee ili kumuona vizuri,

lakini nilivomsogelea nikamkuta sijamfananisha alikua mimi kabisa nimekaa pale, nguo alizovaa zinafanana na zangu kasoro viatu ndo tofauti,

ikabidi nimsalimie pia sauti yake ilikua ni kama ya kwangu kabisa nikamuuliza na jina ni la kwangu,

baada ya kumuuliza mambo mengi nikagundua huyu ni mimi lakini nilishapata hofu inakuaje nijikute tena huku ?

nikajiacha pale nikarudi home kwa sababu nilikua nawaza sana, nahisi kama wewe ungejikuta sehemu ungeota wiki nzima lakini mimi sikuota na baadae nilichukulia kawaida leo nikarudi pale ila sijajikuta.

nitakua narudi pale mara kwa mara kuona kama nitajikuta tena sehemu hiyo
shem lipa madeni ya watu 😄
 
Unasema baada ya kusogelea kioo kwa ukaribu ndiyo ukajiona vizuri
Ila Leo umerudi tena hujajiona umejaribu kuwasha taa hapo ulipo itakuwa Leo kuna Giza
yaani nilijikuta kunasehemu nime chill na nikajisalimia
 
istockphoto-155076492-2048x2048.jpg
 
Katika pitapita zangu jana kuna mtu nilimuona nikasema mbona yule ni kama mimi, alikua yupo kwa mbali ilibidi nimsogelee ili kumuona vizuri,

Lakini nilivomsogelea nikamkuta sijamfananisha alikua mimi kabisa nimekaa pale, nguo alizovaa zinafanana na zangu kasoro viatu ndo tofauti,

Ikabidi nimsalimie pia sauti yake ilikua ni kama ya kwangu kabisa nikamuuliza na jina ni la kwangu,

Baada ya kumuuliza mambo mengi nikagundua huyu ni mimi lakini nilishapata hofu inakuaje nijikute tena huku ?

Nikajiacha pale nikarudi home kwa sababu nilikua nawaza sana, nahisi kama wewe ungejikuta sehemu ungeota wiki nzima lakini mimi sikuota na baadae nilichukulia kawaida leo nikarudi pale ila sijajikuta.

Nitakua narudi pale mara kwa mara kuona kama nitajikuta tena sehemu hiyo
Ripoti ya Chande & the gang ni kiboko!Hukujipa hata hela ya togwa ili kuzuia sonona?
 
unaona we mtoa mada atasai ukienda zambia huwez kosa anayefanana nawe
 
Back
Top Bottom