Jamhuri Day (Republic Day) is a national holiday in Kenya, celebrated on 12 December each year. Jamhuri is the Swahili word for "republic" and the holiday is meant to officially mark the date when Kenya became a republic on 12th December 1964. The country became a republic after gaining full self-governance from the United Kingdom, after gaining independence on 1st June 1963. Jamhuri Day is regarded as Kenya's most important day, marked by numerous festivities which celebrate the country's cultural heritage and looks back at her journey to independence and self-governance.The entire Kenyan
Katika hukumu iliyotolewa leo tarehe 5 Agosti, 2020, Jopo la Majaji watano wa Mahakama ya Rufani limekubaliana na Serikali kuwa kifungu cha 148(5) cha Sheria ya Mwenendo wa Mashauri ya Jinai ,Sura ya 20 ya Sheria za Tanzania kinachozuia dhamana kwa makosa makubwa ya jinai yakiwemo mauaji...
Jamhuri ya Mashariki ya Uruguay, República Oriental del Uruguay, Oriental Republic of Uruguay au República Oriental do Uruguai
Uruguay ni taifa linalopatikana bara la Amerika Kusini likiwa na mipaka na Ajentina, Brasil na rasi ya Rio de la Plata ndani ya bahari ya Atlantiki.
Bendera ya...
Tafadhali sana mheshimiwa sana, Raisi wetu, Dkt. Magufuli, yahusu huyu Tundu Lissu atakaporudi nyumbani Tanzania. Kama kweli alikuwa msaliti, ni Mungu tu ajuaye na ni Mungu tu aliye hakimu wa haki.
Mheshimiwa sana, wewe ni Mkatoliki na pia mseminari, waijua vema hadithi ya mwana mpotevu na...
SISI CUF MGOMBEA WA URAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA NA MGOMBEA RAIS WA ZANZIBAR WATAJULIKANA JULAI 27
"Mkurugenzi wa Mipango Na Uchaguzi CUF TAIFA Mhe. Juma Kilaghai ameyasema hayo Leo katika mahojiano na Waandishi wa habari kuwa Tarehe 27 mwezi huu ndiyo siku ya Mkutano Mkuu wa...
Jamhuri ya Chile | Republic of Chile au República de Chile
Chile ni taifa linalopatikana bara la Amerika Kusini likiwa na mipaka baina ya Ajentina, Bolivia, Peru, milima ya Andes na bahari ya Pasifiki.
Bendera ya Jamhuri ya Chile
Taifa hili lenye ukubwa wa Kilomita za mraba 756,950 sawa na...
Akihojiwa na mwandishi wa Habari Nape Nnauye ameipongeza Sekretariati pamoja na Kamati kuu ya CCM kwa kuandaa mkutano mkuu na amefurahia transparancy iliyooneshwa.
Mkutano Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa unaofanyika kwa siku mbili kuanzia leo Jumamosi, Julai 11, 2020 jijini Dodoma, Wajumbe 1,846 wanatarajiwa kushiriki. Mkutano huo unongozwa na Mwenyekiti wa Chama hicho ambaye pia ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, John Pombe Magufuli...
Amani iwe nanyi wadau!
Kama kichwa cha uzi kinavojielezea hapo juu hii ndo ndoto yangu kuu siku moja. Na kwa kadri siku zinavyozidi kwenda naona hii ndoto inazidi kuwa na muamko mkubwa.
kwanza kabisa Mimi ni mfuasi wa sera za kipebari kiuchumi kumaanisha kila mtu anakuwa huru kushiriki kwenye...
Bado najiuliza ni bahati iliyoje kati ya mamilioni ya watu MTU mmoja tuu unapata bahati ya kuwa rais wa Nchi,cheo ambacho unaweza kuwataka watu wote wasitoke majumbani,ukiagiza ghorofa lijengwe linajengwa japo litachelewa,
Mliosoma history za viongozi mtujuze makuzi ya watu hawa huwa yakoje...
Jamhuri ya Ajentina | Argentine Republic au República Argentina
Argentina ni taifa linalopatikana bara la Amerika Kusini likiwa na mipaka baina ya Bolivia, Brazil, Chile, Paraguái, Uruguay na bahari ya Kusini Atlantiki.
Taifa hili lenye ukubwa wa Kilomita za mraba 2,766,890 millioni sawa na...
Ndani ya jamhuri ya muungano wa Tanzania kumeshaanzishwa magufuli jogingis ushahidi Ni channel ten.
Naomba kuuliza taasisi za serikali za kiulinzi na kisheria CHADEMA wakifanya hivyo litakuwa kosa?
CHADEMA wameminywa hawana watetezi sisi wapenda haki tusioegemea upande wowote tunauliza...
| Jamhuri ya Shirikisho la Brazil, República Federativa do Brasil au Federative Republic of Brazil
Ni taifa linalopatikana bara la Amerika ya Kusini, lenye ukubwa wa eneo zipatazo millioni 8,511,965 Km2 sawa na millioni 3,286,488 Square Mile's.
Brazil iliyopakana na Argentina, Bolivia...
Ukitazama filamu iitwayo “The Dictator” iliyoingia sokoni kwa mara ya kwanza mwaka 2012 (sasa inapatikana katika mtandao wa Netflix na Youtube) utabaini kuwa kuna taifa barani Afrika linaloitwa Jamhuri ya Kidikteta ya Wadiya, maarufu kwa jina la Wadiya. Ni filamu iliyoigizwa katika nchi mbili...
| Jamhuri ya Paraguay, Republic of Paraguay, República del Paraguay au Tetã Paraguái ni taifa linalopatikana Amerika ya Kusini, likiwa na ukubwa wa eneo zipatazo 406,705 Square Kilometers sawa na 157,047 Square Mile's.
Bendera ya Jamhuri ya Paraguay
Paraguay yenye idadi ya watu takribani...
| Jamhuri ya Nicaragua, Republic of Nicaragua au República de Nicaragua ni taifa linalopatikana Amerika ya Kaskazini. Nicaragua yenye ukubwa wa 129,494 Square Kilometers sawa na 49,998 Square Mile's ni nyumbani kwa watu wapatao takribani millioni 6,625,560 kufikia 1 April 2020.
Bendera ya...
| Jamhuri ya Panama, Republic of Panama au República de Panama ni taifa linalopatikana Amerika ya Kaskazini na kwa kiasi Amerika ya Kati. Panama yenye ukubwa wa 78,200 Square Kilometers sawa na 30,193 Square Mile's ni taifa la kidemokrasia.
Bendera ya Jamhuri ya Panama
Mji mkuu wa Panama ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.